Hivi binadamu anaweza kuongea na Mungu wake anayemwamini?

Hivi binadamu anaweza kuongea na Mungu wake anayemwamini?

Mimi nina Muamini Mwenyezi Mungu mkuu ambae ameumba roho mwili na nafsi yangu Mungu ambae ameumba dunia na viumbe wote waonekanao na wasio onekana huyo ndio Mungu wangu anae nipa kila hitaji linalohitajika katika uhai wangu anaenipa Muongozo wa ufahamu
Amen,unamjua jina lake lakini?
 
Na kweli,lakini si kuna Mungu mkubwa kuliko wote?au wote ni sawa?
Uungu ni mamlaka na mamlaka hutofautiana baina ya mungu na mungu.Kuna mamlaka za angani, mamlaka za ardhini, mamlaka za mitoni na baharini, mamlaka za moto.n.k.ubora utatofautiana kulingana na ufanisi wa hivyo vitu kwenye ulimwengu wa nyama.
 
Uungu ni mamlaka na mamlaka hutofautiana baina ya mungu na mungu.Kuna mamlaka za angani, mamlaka za ardhini, mamlaka za mitoni na baharini, mamlaka za moto.n.k.ubora utatofautiana kulingana na ufanisi wa hivyo vitu kwenye ulimwengu wa nyama.
Sawa sawa nimekupata.
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.

Ndio nilishawah kuongea na Mungu na alishawah kunijia katika Ndoto/ Maono na kunisemesha (Yesu Kristo) ambayo yalikua dhahiri kiasi kwamba ni miaka kadhaa imepita lakini ile picha alvyonijia katika njozi sijawah kuisahau na ile raha niliyoipata rohoni/nafsi. Sijawah kuipata sehemu yoyotee zaidi ya yeye tu akiwa karibu yako, hivyo Mungu wangu ni Yahweh/Yehova, God of Israel
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.

Lakini pia humtuma Roho wake mtakatifu naye hukaa katika moyo, na kusema kwake nasikia dhahiri kabisa pasipo kuhisi au kufikiri, yaani ni kama unaongea na mshikaji wako, hapo pembeni mnaweza anzisha mada na akawa anakupitisha Mungu wangu ninayemuamini husema na wanadamu sana saanaa ukimpendeza na kushika maagizo yake na Amri zake pamoja na hukumu zake, na njia zake ukaaamua kumuita na kujitenga na dhambi lazima atakusemesha tu
 
Namjua Mungu alie umba vitu vyote ndio jina ninalo mjua
Uko Wrong , hata shetani pia anaweza kujifanya mungu ambaye ameumba kila kitu, make sure unataja jina la Mungu wako.....Nikutajie majina ya miungu inayosadikika kuumba vitu vyote

Yahweh (in the unity with Yeshua and Holy Spirit)
Allah (God of Muhammad)
Shiva
Brahman
El
Na wengine wengi

Kata ya hawa lazima Mungu wako ni mmoja au anaweza akawa hayupo kwenye list
Ask your god to tell you his name
 
Ndio nilishawah kuongea na Mungu na alishawah kunijia katika Ndoto/ Maono na kunisemesha (Yesu Kristo) ambayo yalikua dhahiri kiasi kwamba ni miaka kadhaa imepita lakini ile picha alvyonijia katika njozi sijawah kuisahau na ile raha niliyoipata rohoni/nafsi. Sijawah kuipata sehemu yoyotee zaidi ya yeye tu akiwa karibu yako, hivyo Mungu wangu ni Yahweh/Yehova, God of Israel
Hongera sana
 
Mimi nina Muamini Mwenyezi Mungu mkuu ambae ameumba roho mwili na nafsi yangu Mungu ambae ameumba dunia na viumbe wote waonekanao na wasio onekana huyo ndio Mungu wangu anae nipa kila hitaji linalohitajika katika uhai wangu anaenipa Muongozo wa ufahamu
MUNGU..
 
Uko Wrong , hata shetani pia anaweza kujifanya mungu ambaye ameumba kila kitu, make sure unataja jina la Mungu wako.....Nikutajie majina ya miungu inayosadikika kuumba vitu vyote

Yahweh (in the unity with Yeshua and Holy Spirit)
Allah (God of Muhammad)
Shiva
Brahman
El
Na wengine wengi

Kata ya hawa lazima Mungu wako ni mmoja au anaweza akawa hayupo kwenye list
Ask your god to tell you his name
Namuulizaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.

Mudi alianzaga hivi hivi na hekaya zake za Allah

Jitahidi mkuu na wewe unaweza kuanza kushushiwa kitabu [emoji23]
 
Back
Top Bottom