Hivi binadamu anaweza kuongea na Mungu wake anayemwamini?

Hivi binadamu anaweza kuongea na Mungu wake anayemwamini?

Hili ni swali linaulizwa na mtu aliyeishia kidato Cha pili na sio member wa jamii forum
Yan uyu hata kidato cha pili hajafika.

Reproduction as topic inaanza kufundishwa standard six

Kweli ujinga ni wa kupingwa
 
Mudi alianzaga hivi hivi na hekaya zake za Allah

Jitahidi mkuu na wewe unaweza kuanza kushushiwa kitabu [emoji23]
Najitahidi mkuu,nataka nishushiwe kitabu kwa kuwaunganisha Waafrika wote.
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.
Mungu hayupo labda aongee na akili Yake mwenyewe
 
Hili ni swali linaulizwa na mtu aliyeishia kidato Cha pili na sio member wa jamii forum
Sijaishia la pili nimesoma theory zote origin of life. Tena naamini theory ya organic evolution, Natural selection as coined by Charles Darwin
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.
Mungu wako ni mmoja tu aliyekuumba kumuamini au kutomuani hiyo juu yako
 
Nijuavyo mimi ni kuwa,Mungu si jina bali ni cheo cha juu sana kuliko vyote duniani na ulimwengu wote.Yaani ikitokea chochote/mtu yeyote akaweza kukutimizia mahitaji yako yote pasipo kuzuiliwa na mtu yeyote au kitu chochote kile na pasipo kufungwa na muda,basi kitu hicho au mtu huyo unaweza kumuamini kama Mungu wako.

Kuhusu baadhi ya watu wanaoamini kuwa Mungu hayupo mi naona ni sawa tu na kusema nchi haina Rais na huku Rais akiendelea na kazi zake kama kawaida pasipo kumpunguzia chochote.

Sasa kabla hujajibu swali langu naomba kutoa mfano wangu kidogo; Nikiwa mtoto nilikuwa nasikia tu habari za Mungu/miungu mbalimbali zikitangazwa na kutolewa na kusimuliwa kwa nguvu maeneo mbalimbali,basi ikanibidi nitafiti na mimi kutafuta Mungu wangu maana niliamini kwa nguvu zangu sitaweza kupambana.

Basi,sikumoja nikiwa nimekaa nikasikia sauti ya Mungu wangu,narudia tena, nikasikia sauti ya MUNGU WANGU (si sauti hii ya kibinadamu ndiyo maana nasema ni ya Mungu wangu ninaye mwamini) ikiniambia kuwa nataka kuwa Mungu wako,nikamuuliza wewe unaitwa Mungu nani?,(akanitajia jina),nikamuuliza tena,"Je,wewe ndiye Mungu mkubwa kuliko miungu yote ninayoijua?,maana mimi sipo tayari kuwa na Mungu mdogo",akanijibu kuwa ndiye mkubwa kuliko yote,nikamuuliza tena,"Nitaaminije kuwa wewe ndiye mkubwa kuliko miungu yote?",akanijibu kwa kunieleza kuwa miungu yote hapa duniani ugomvi wao wote ni juu ya kumpigania mwanadamu awe upande wake ili amsujudie na kumwabudu (chunga sana Mungu unayemsujudia na hakikisha unamjua vizuri), hivyo nikiwa upande wake atanipigania vita vyangu vitakavyonijia kwa kumtii/kumsujudia maana miungu yote inaitaka hiyo nafasi.

Nilikubali na kweli vita vikali sana na vya kimwili na vikali zaidi vya kiroho nimeviona na kweli amenishindia vyote,nilivyoshindwa ni vile ambavyo aidha sikutii au sikufuata maelekezo yake kwa usahihi.

Mwisho ndiyo swali langu linakuja,Je, wewe kama binadamu ulishawahi au unaweza kuongea na Mungu wako unayemwamini?

NB;Mungu ni cheo na hivyo ipo miungu mingi sana yenye majina yao na lengo la kugombania cheo hicho ni ili isujudiwe na kuabudiwa na binadamu, yaani wewe ndiye mwananchi unayeamua unampa nani kura yako ili awe Mungu wako.

Ukiamini hakuna Mungu maana yake umegoma kupiga kura.
sijawahi kuongea na Mungu wangu kiuhalisia zaidi ya vile nasali nikiaminini kuwa naongea naye.
Swali kwako.
Mungu ninayemjua kuwa wa kweli anavyoelezewa na vitabu (biblia) kuna muda watu wanaomba anaweza asifanye kile unachoomba kwani yeye ni mjuzi zaidi yetu, hivyo sometimes anakuchunia-mifano ipo mingi
je wewe Mungu wako kila ombi lako anajibu kama unavyotaka wewe au yeye
 
Back
Top Bottom