Hivi Bongo Movie kuna mtu ana elimu ya kiwango cha shahada(Degree)?

Hivi wale nao ni bongo movie kumbe mi nilidhani wanoigiza movie ndo bongo movie kumbe na waigiza tamthilia nao n kundi moja
Nasikia hiyo siri za familia watu wana mikia hatari. Sema hom nina king'amuzi cha dstv eatv haipo. Hata hivyo mimi sio mpenzi wa kuangalia tv, zaidi ya taarifa ya habari hua sina kingine cha kuangalia.

Sema jana niliwahi kuja hom kama kuku nikawa nimejichanganya sebuleni na wadau wengine, wakawa wanaangalia maisha magic bongo, baada ya kuangalia movie mbili tatu nikajiuliza hivi hawa watu wana shule kichwani kweli, mbona kama vichwa vyao viko vitupu kabisa.
 
Ukiwa unapitia profile as wasanii wa South Africa especially dancers na waigizaji zinahamasisha......
Hata wasio na degree wamesomea vitu vinavyohusiana na fani yao.
Mfano rahisi waigizaji wa isidingo.
Tunapokosea sisi tunashau kuwa na kipaji sio mbaya lakini unapopata nafasi unaitumia vizuri na kujiendeleza kielimu ili kuongeza upeo wa fani husika.
No wonder almost kila movie ni umama wifi.
Series kama siri ya mtungi ni kati ya vipindi bora kutazama vyenye uhalisia uliotukuka.
Tamthilia kama huba vinavyoigizwa havieleweki na waigizaji wenyewe kama wamekariri scripts no uhalisia at all mara mia ukaangalia mwantumu ina uhalisia mwingi na waigizaji hawatumii nguvu wanafanya usahau kama ni igizo na uweke notification kuangalia.
Kipaji + elimu never disappoint...
Gazeti refu natumai nimeeleweka japo kwa tabu
 
Exactly mantiki... ni kiasi tu cha kujiuliza tuna wanamuziki wangapi nchi hii na wangapi wamenufaika na mziki wao kiasi cha kukufanya utamani kuimba kufikia mafanikio yao???
Elimu ina umuhimu especially ukisoma kuelimika na sio kutambia grades ambazo kibongo bongo zinanunulika tu.
 
Kibongobongo bachelor degree ndio twaitaga ana degree na master degree huwa twaita ana masters, sasa huko kutokujua cjui n kup huko mjuz?
Mkuu mimi nahisi wewe ni learned brother na hata wakuu unaowaandikia hiyo comment they're also learned, sasa why using kibongobongo. Anyway, nimekupata lakini na najua hayo ni mazoea ya wabongo, sasa tusiporekebisha, mazoea hayo yanawafanya wengine wajue Masters siyo degree. Hii inatokana na kwamba, majority tunaishia first degree, hivyo tunaona hiyo ndo degree tu, lakini tungekua wengi tunaeda zaidi ya hapo, tungejua hata hizo zingine ni degree. Pamoja mkuu.
 
Degree umeanda mbali si dhani hata kama cheti tu cha chuo cha sanaa bagamoyo.
 
Hivi Gigy Money ni msanii wa nini jameni naskia yumo Fiesta?
 
Kama wana hela, hizo degree sio ishu sana. Hela ndo za msingi. Kujisifia degree ni kizamani sn mkuu. Mi mwnyw na elimu yng maisha yananipiga vitasa vya uso kichizi yn. Bora hata ile miaka mi3 ya chuo, ningekuwa nipo kitaa nasaka noti.
Dhamani ya Elimu no kubwa sana, acha kubeza elimu, kuna mambo wanaigiza na kufanya unajua kabisa kuwa huyu MTU angekuwa na Elimu asingefanya haya, na ndo maana soko linashuka maana hazina uhalisia
 
Kama wana hela, hizo degree sio ishu sana. Hela ndo za msingi. Kujisifia degree ni kizamani sn mkuu. Mi mwnyw na elimu yng maisha yananipiga vitasa vya uso kichizi yn. Bora hata ile miaka mi3 ya chuo, ningekuwa nipo kitaa nasaka noti.
Kuelimika na kutajirika ni vitu viwili tofauti. Ila elimu Mara jitihada inaongeza sana wigo wa kufanikiwa kimaisha. Ukiwa na elimu na ukiteseka kimaisha ujue Kuna baadhi ya nati haziko sawa up stairs.
Namshukuru Mungu.... sina pesa ndeeefu ila alhamdulillah. Lakini sina elimu. Ni msingi tu. Shida ya kutokua na elimu naiona sana. Wawe wabunifu na wafikirifu hawa watu wa bongo movie. Superstars wengi hawakusoma ila wabunifu wapo makini na wameajiri waliosoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…