Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
PHD sawa anaweza kuwa nayo ila sio PhD.Mbona hemed ana PHD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PHD sawa anaweza kuwa nayo ila sio PhD.Mbona hemed ana PHD
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Akusikie chuchuHivi huyu Ray kigosi hata darasa la 7 alimaliza kweli maana.......
Kibongobongo bachelor degree ndio twaitaga ana degree na master degree huwa twaita ana masters, sasa huko kutokujua cjui n kup huko mjuz?Mkuu hata Masters ni degree, inaitwa masters degree, na hiyo nyingine ambayo ni first degree inaitwa Bachelor degree na ile ya tatu inaitwa PhD degree. Zote hizo ni degree, sasa ukisema ana degree au masters inaonekana hujui kitu.
Mkuu japo unataka tu kujua list ya graduates kwenye tasnia ya filamu(Bongo Movie),mimi niongezee swali lingine.Hivi graduates wa masuala ya filamu baada ya kupata shahada zao huwa wanaenda wapi?.Bila shaka wanaenda kufanya kazi zingine ambazo hazihusiani na filamu.Kwanini hawafanyi kazi za filamu?,mbona tasnia ya filamu inaonekana ina mapato mazuri tu?.Hata hivyo japo wasanii wengi wa bongo movie hawana elimu ya darasani,binafsi nawapa hongera sana kwa kuibeba sanaa ya uigizaji na filamu mpaka hapo ilipo.Ni wakati sasa wa wasomi wa filamu na uigizaji kutoa mchango wao.BTW,niliwahi kusikia kuwa Kanumba(R.I.P) na Mrisho Mpoto,waliwahi kupata mafunzo(short course) UDSM.Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]wengi form four na wengine hawajaenda shule kabisa ndio maana nazi zinaanguka kutoka kwenye mti wa mwembe, hata bashite hawezi kufikiria kijinga hivi
Form four ya CambridgeNaombeni Elimu ya Wema Sepetu plz... lol
Ooh nilijua aliongezea ongezea kumbe ni pale pale tu.Form four ya Cambridge
Pale pale... aliendaga Malaysia kusoma chuo ila hakugraduateOoh nilijua aliongezea ongezea kumbe ni pale pale tu.
Hajakuelewa bado itakua ni mmoja wa wanaosema mbona kitambuRisho kimeandikwa MichaeRI wakati unasema unaitwa MaikoMkuu hata Masters ni degree, inaitwa masters degree, na hiyo nyingine ambayo ni first degree inaitwa Bachelor degree na ile ya tatu inaitwa PhD degree. Zote hizo ni degree, sasa ukisema ana degree au masters inaonekana hujui kitu.
Kama nan mbona wote manunganyembeWengi wao elimu yao 4m 4 asilimia kubwa sana ila sijajua tatizo nini aisee ukiwa mzuri una dabo kibin ya kufa mtu aaah mbona bonho movie umeula utacheza muvie kama mia hvie
Mtoa uzi hajaulizia maisha ya mtu kaulizia elimu. Ndiyo mambo ya Bashite haya. Anaombwa cheti anaanza kulia lia.Hivi unafahamu kwamba Diamond hana hata diploma?
Je maisha yake yakoje? Wewe ni mjinga.
Wengi angali km siri za familia wote wanakazi za kwenda na movie kibao tu naonaga onaga misamwanda first choiceKama nan mbona wote manunganyembe
Hivi wale nao ni bongo movie kumbe mi nilidhani wanoigiza movie ndo bongo movie kumbe na waigiza tamthilia nao n kundi mojaWengi angali km siri za familia wote wanakazi za kwenda na movie kibao tu naonaga onaga misamwanda first choice
Kwa series si movie pia au ikoje hii mdau manake navyojua series ni movie kama ilvyokua power ya 50centHivi wale nao ni bongo movie kumbe mi nilidhani wanoigiza movie ndo bongo movie kumbe na waigiza tamthilia nao n kundi moja
Am not sure kama series n movie ila kibongo bongo waigizaji wa tamthilia kwenye tv au wachekeshaji hawako bongo movieKwa series si movie pia au ikoje hii mdau manake navyojua series ni movie kama ilvyokua power ya 50cent