Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mau Fundi hana Degree? Huo ufundi wake alisomea nini! Nadhani atakuwa na Degree ya Ufundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mzee CHILO ana digrii ya dini CHUO KIKUU CHA KIISLAMU MADINA
ana degree ya sheria HALAFU HUJUI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Mohammed mwikongi (frank) ana degree ya sheria sijui
halafu kaulizia BONGO MOVIE sasa Diamond ni Bongo movie tangu lini?Mtoa uzi hajaulizia maisha ya mtu kaulizia elimu. Ndiyo mambo ya Bashite haya. Anaombwa cheti anaanza kulia lia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuhusu wenye bachelor degree sijajua ila najua wenye levo ya PhD kama Hemedi, PhD na Dr. Cheni naye ni Dr wa Phd pia
[emoji16][emoji16]doh najuaana degree ya sheria HALAFU HUJUI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo uyo anatafuta ukuu wa wilayaNdo huyo huyo chiki namfahamu sana ni alikua mwenyekiti wa bongo movie kabla ya steve kinyerere mzee wa uzalendo ila huyo mwenye pua nene namwonaga sana lumumba hapa nikipata kwenda chuo D.I.T
Jini anaangalia kulia na kushoto kuvuka Barabara...Jambazi anavua viatu kabla hajavamia nyumbani kwa mtu
hatari sana hizo muvi....
Hahahahhaha waache waache walete mapambio tuNdo uyo anatafuta ukuu wa wilaya
Sio ndio yule self proclaimed "punga" kweli?David Otunga huyu km nampata hiv alikuwa WWE baadae nikamuona anatangaza na sasa sijui yuko wapi.
Bongo movie kitambo sana sijawahi kuangalia sbb za movie zao hazieleweki. Sijajua mkuu ngoja waje watazamaji
Wewe na hiyo degree yako ni kipi cha maana umekifanya kinaachoweza kukutofautisha na wengine wenye taaluma kama yako angalau Barani Afrika?!sasa na wewe, ukiwa na degree utakuwaje bongo movie? you become a bongo movie baada ya shule kushindwa na akili yako haijawa nzuri sana. mtu mwenye staha na elimu ni vigumu sana kuigiza. the worse thing ni kwamba, akili zetu zinalishwa na watu wasio na elimu na ufahamu mzuri, na ndiyo society tunayoijenga. kuna watu wanaishi maisha ya bongo movie, hawawezi kupita hapo.
hapo kwenye red, that's why we say mwende shule kabla ya kuanza kuigiza. ni ranking ya wapi Africa, na mwaka gani ambayo udsm haipo ndani ya 30s? wakati kuna kipindi ilishashika nafasi ya 11 Africa, vyuo 9 vikiwa vyote vya Africa kusini, kimoja Misri na kingine somewhere kama sikosei. go to school bro ndio urudi kuigiza.Wewe na hiyo degree yako ni kipi cha maana umekifanya kinaachoweza kukutofautisha na wengine wenye taaluma kama yako angalau Barani Afrika?!
UDSM ndicho the best university in the country! But by academic ranking, hakipo hata miongoni mwa Top 30 Africa... sasa na wenyewe wana tofauti gani na Bongo Movie?!
Ni ushamba na ulimbukeni kujaribu kukashifu kundi la hustlers kwa kutumia kigezo cha elimu wakati inafahamika wazi nchi hii hapajawahi kuwa na formal education in film production!
lakini kile wanachoigiza ujue wanahamishia kwenye maisha halisi ya watoto wa kitanzania. wao ni kioo cha jamii. wajifunze kwa wenzao wa Nigeria, wanaigiza lakini wana degree.Tunashukuru hata kama hawana elimu ya juu, lkn wanaedesha maisha yao
Emmanuel Myamba "Pastor Muyamba" ni mhitimu wa Degree ya Sociology pale UDSM mwaka 2009.Habari ya jumamosi wakuu.
Najaribu kujiuliza, katika fani hii ya uigizaji Tanzania au maarufu kama Bongo Movie, kuna muigizaji ana elimu ya kiwango cha shahada au zaidi?
Nasikia kwenye Muziki wapo waimbaji wenye shahada moja na kuendelea kama Nick Mbishi kama sijakose anasikia ana shahada ya uzamili(masters degree).
Au Tanzania sanaa ya uigizaji imebakia kua ni kipaji hata kama hujui kusoma na kuandika. Wasanii wetu hawa kiwango chao cha shule kikoje. Au ndio vile ukiwa na matako makubwa na ukajua kutembea na chupi tu na dadies nyingi unakua muigizaji mkubwa?
The Rock ana shahada ya criminology, David Otunga ana Masters degree ya sheria toka Havard university, ni sehemu wa waigizaji wakubwa wenye shule kubwa.
Je Bongo movie hali yao ikoje?
Ahsante.
yaani degree za kutafutiza?hahahaha, siwacheki kwasababu hawajasoma, kwasababu hata mimi nimesoma kwa neema ya Mungu tu kulingana na uchumi wa familia yangu ulivyokuwa....lakini hawa bongo movie wanapata hela nyingi tu lakini hawataki hata kujiendeleza. wametia aibu sana kweney script zao wanazotafsiri toka kiswahili kwenye kiingereza, ni aibu tupu, na wana hela lakini hawataki hata kuajiri mtu anayejua lugha awasaidie, kila kitu anafanya mtu mmoja, mmiliki wa movie, kuanzia director hadi mwigizaji, hani msanifu..everything. na movie moja inakamilika ndani ya miezi mitatu. wanakuambia ndani ya mwaka mmoja wanao uwezo kutengeneza movie tatu (kwa jinsi wanavyoona wanafanya kazi kwa bidii), wakati marekani movie moja inatumia miaka kadhaa.Emmanuel Myamba "Pastor Muyamba" ni mhitimu wa Degree ya Sociology pale UDSM mwaka 2009.