Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hawq flexi cash bado watoto kuna jamaa wanaitwa Mr Finance.. ebwqnaeee wale jamaa nimeweka namba zao true caller inasoma "Malaya taperi".. tulitukanana matusi na kesho wanaamka na wewe. Nikajiapiza kuwatafuta
Yaani riba zaidi ya 50% kwa wiki! Acha watapeliwe tu.Kaka mm nilidaiwa siku ya 5 tu na nilikopeshwa elf 19 mia tano nikaja kulipa elf 33 tatu wakawa wananipigia sim nimezidisha siku hivyo nilipe hela imeongezeka elfu 5 nikalitimua vumbi la mitusi mpaka leo nawapigia mm na hawapokei wao
Naweza kuona picha ya app yaoYaani riba zaidi ya 50% kwa wiki! Acha watapeliwe tu.
Branch wazuri sana ila shida yao ukiwacheleweshea kulipa hawakupi tena kwa wakati.
Mimi namba za kampuni za kukopesha nadhani zimesharipotiwa. Wakinipigia google contact inasoma kama spam, kwahiyo najua kabisa wahuni hawa.Hawq flexi cash bado watoto kuna jamaa wanaitwa Mr Finance.. ebwqnaeee wale jamaa nimeweka namba zao true caller inasoma "Malaya taperi".. tulitukanana matusi na kesho wanaamka na wewe. Nikajiapiza kuwatafuta
Hii ya mwisho chini pembeni ya halotel. Hao wastaarabu sana, hawakupigii simu kabisa. Watakukumbusha tu ikibakia wiki kulipa na kuendelea npaka siku moja ya mwisho.Naweza kuona picha ya app yao
Hawapigii nduguHii ya mwisho chini pembeni ya halotel. Hao wastaarabu sana, hawakupigii simu kabisa. Watakukumbusha tu ikibakia wiki kulipa na kuendelea npaka siku moja ya mwisho.View attachment 3134288 Mkopo ni mwezi na hawasumbui kabisa, riba ni kama 25% au chini kama sikosei.
Ila hawataki uwe na madeni ya kampuni nyingine.
Kabla ya kudownload futa meseji za kudaiwa kwanza kwa sababu utawapa access ya kusoma meseji na na wanatumi kama kigezo cha kukupa au wasikupe. Ukilipa kabla ya muda wanakupadisha mkopo unaofuata.
Unatumia Google contact au true callerMimi namba za kampuni za kukopesha nadhani zimesharipotiwa. Wakinipigia google contact inasoma kama spam, kwahiyo najua kabisa wahuni hawa.
Hawapigii ndugu wala kutuma meseji, mkopo wako ni siri yako na wao tu. Ila ndio hivyo ukiwacheleweshea hawakupi mwingine kwa urahisi.Hawapigii ndugu
Naweza kupata link ya app yaoHawapigii ndugu wala kutuma meseji, mkopo wako ni siri yako na wao tu. Ila ndio hivyo ukiwacheleweshea hawakupi mwingine kwa urahisi.
Muda wa marejesho ni mwezi au miezi miwili unachagua mwenyewe.
Wabunge ni kwa bungeWabunge si ndio serikali. Ipo hivi Serikali ya Tanzania ipo kwaajili ya viongozi wa ccm au waliopo kwenye mfumo wao. aipo kwa ajili yako wewe mwananchi. Kwaiyo imewagusa ndugu wa wabunge ndio maana wamekemea iyo Mambo.
Natumia google phone na Google messages. Kwa hiyo simu za kampuni za mikopo kwa sababu zineshakuwa suspected kwamba ni spam, akinipigia inaonesha kabisa kwamba ni spam.Unatumia Google contact au true caller
Natumia google phone na Google messages. Kwa hiyo simu za kampuni za mikopo kwa sababu zineshakuwa suspected kwamba ni spam, akinipigia inaonesha kabisa kwamba ni spam.Unatumia Google contact au true caller
Kwa ajili ya sheria za hapa, nimekutumia PM.Naweza kupata link ya app yao
Hawa ni Hakika Loan kama sio Boba Cash. Ni hovyo sana hawa watu.View attachment 3121356wasije kusema tunawasingizia ushahidi huu apo afu sikuwsomba walianza wao kunitumua vipeperushi vyao nikaona ngoja ni click tazameni huu utapeli afu sasa wanatumua watu wangu text, nimesema sawa kama wanaona wsnadhalilisha watu mwaja huu mpaka uishe watakuwa na hasara ya kutosha nitawafanyia marketing bure kabisa si mwaka wa kwanza wanaingia vyuoni mwezi huu yaana nabandika vipeperudhi vya kukopa na kutokulipa watafurahi na roho zao waache utapeli wa kijinga.
Sijui wanavigezo gani kuajiri watoa huduma maana wote wanaakili moja ya utapeli na matusiHawq flexi cash bado watoto kuna jamaa wanaitwa Mr Finance.. ebwqnaeee wale jamaa nimeweka namba zao true caller inasoma "Malaya taperi".. tulitukanana matusi na kesho wanaamka na wewe. Nikajiapiza kuwatafuta
Baba cash ni haohao Mr FinanceHawa ni Hakika Loan kama sio Boba Cash. Ni hovyo sana hawa watu.
Hawa matapeli wana Apps nyingi sana na kamwe hawathubutu kusema ofisi zao zilipo maana wanajua watakachofanywa. Kuna washenzi wanaitwa zimacash nilishaapa ntawatafuta na ntawapata niwafunze adabu. Ntatuma hata wana wapige kibiriti ofisi yaoBaba cash ni haohao Mr Finance
Mzee acha kabisa hawa jamaa yani ningejua ofis yao iko wapi ningeenda kuwatimulia vumbi palepale. Jamaa wanaongea shiti asee