Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Hii haina uhusiano wowote na kikao cha Bunge kinachofuata.
Nilitaka kujua tu, hivi wabunge wetu hawa ambao wengi walipita kwa mgongo wa Hayati JPM, ikitokea mmoja 'miongoni mwao' anapigwa chini u PM halafu linapelekwa jina lingine, wanaweza kulikataa?
Maana wanasema mwenzako akinyolewa wewe tia maji, sasa kama 'mmoja wenu' atatendewa hivi na wao wakaidhinisha, Si mwendo utakuwa huo huo 2025 kule majimboni? Wote 'watanyolewa'!
Ikitokea wamegoma kuidhinisha jina jipya itakuwaje? Bunge linavunjwa?? Tunaenda kwenye uchaguzi mkuu?
Ni tafakuri tu.
Nilitaka kujua tu, hivi wabunge wetu hawa ambao wengi walipita kwa mgongo wa Hayati JPM, ikitokea mmoja 'miongoni mwao' anapigwa chini u PM halafu linapelekwa jina lingine, wanaweza kulikataa?
Maana wanasema mwenzako akinyolewa wewe tia maji, sasa kama 'mmoja wenu' atatendewa hivi na wao wakaidhinisha, Si mwendo utakuwa huo huo 2025 kule majimboni? Wote 'watanyolewa'!
Ikitokea wamegoma kuidhinisha jina jipya itakuwaje? Bunge linavunjwa?? Tunaenda kwenye uchaguzi mkuu?
Ni tafakuri tu.