Hivi Bunge linaweza kukataa kuidhinisha jina la Waziri Mkuu linalopendekezwa na Rais?

Hivi Bunge linaweza kukataa kuidhinisha jina la Waziri Mkuu linalopendekezwa na Rais?

Hii haina uhusiano wowote na kikao cha Bunge kinachofuata.

Nilitaka kujua tu, hivi wabunge wetu hawa ambao wengi walipita kwa mgongo wa Hayati JPM, ikitokea mmoja 'miongoni mwao' anapigwa chini u PM halafu linapelekwa jina lingine, wanaweza kulikataa?

Maana wanasema mwenzako akinyolewa wewe tia maji, sasa kama 'mmoja wenu' atatendewa hivi na wao wakaidhinisha, Si mwendo utakuwa huo huo 2025 kule majimboni? Wote 'watanyolewa'!

Ikitokea wamegoma kuidhinisha jina jipya itakuwaje? Bunge linavunjwa?? Tunaenda kwenye uchaguzi mkuu?

Ni tafakuri tu.
Hakipo kitu kama hicho.

Majaliwa is there to stay😃😃😃
 
Sisi hatutaki mama tunataka ye mwenyewe majaliwa awe rais
Sipingani na wewe katika hili, ila kwa vile sasa hivi mama ndio alieshika mpini, basi acha Majaliwa aendelee kuwa karibu yake japo kwa post aliyopo sasa hadi 2030.

Akitolewa pale hali itakuwa mbaya zaidi maana atakosekana mtu makini wa kupambana na wabadhirifu wa mali za umma.
 
Back
Top Bottom