Hivi Bunge linaweza kukataa kuidhinisha jina la Waziri Mkuu linalopendekezwa na Rais?

Mna nia gani dhidi ya Kassimu?
 
Bunge linaweza kukataa. Ndiyo maana linaulizwa.
 
Hivi mkuu Rais akitaka kuwa impeached at the same akalivunja bunge je uamuzi upi unasimama?
 
Unaota ndugu!
Hakuna bonge la namna hiyo nchi hii

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
LABDA BUNGE la KENYA hili la TANGANYIKA ni Rubber Stamp
Magufuli alivunja KATIBA kwa Kukiuka katiba juu ya Vyama Kufanya Mikutano WABUNGE walimshangilia
Magufuli alivunja Katiba kumwondoa CAG na MAHAKAMA ikathibitisha nadhani unakumbuka CAG alivyopambana na Wabunge wakiongozwa na Ndugai.
 
Bunge lina uwezo huo ila likimgomea Rais ktk uteuzi wake huo mara mbili basi atalazomika kulivunja bunge na kuitisha uchaguzi mkuu. Ni mbunge yupi wa bongo atakubali hilo litokee maana uchaguzi unakuja na mambo yake. Lakini kikatiba waziri mkuu lazima awe mbunge wa jimbo, sasa kama mazingira ya upatikanaji wao ndo huo unaousema basi hata huyo mpya atakuwa miongoni mwao. Lakini ndg usiwe mwepesi wa kusahau, ungeamini kama Polepole, Kakurwa na Ndugai wangeguswa na wabunge kushangilia anguko lao?
 
Hii haina uhusiano wowote na kikao cha Bunge kinachofuata.
[emoji3064][emoji2827][emoji848]
 
Mimi binafsi namkubali sana waziri mkuu wetu, kama nilivyosema haina uhusiano na waziri mkuu wetu.

Ni swali tu juu ya mamlaka ya bunge letu tukufu, wanaweza kukataa pendekezo la rais? Na wakikataa nini kinafuata?
Mbona majibu yanapatikana kirahisi kwenye Sheria na katiba..najua wajua Kazi na wajibu wa Bunge katika jambo hili...ila unataka either kuleta commotion au kujaribu kuwashawishi wabunge kwamba ikitokea this time kunahitajika mabadiriko ya Serikali, wamgomee RAIS kuidhinisha jina la PM .... Ushauri wangu kwako ni kuendelea kuwaamini wawakilishi wako ata kama hukuwapigia kura kwamba ikitokea suala lako likaperekwa mbele yao watafanya Kazi yao kwa mujibu wa Sheria na kanuni za Bunge....na pia naomba usisahau kwamba Bunge ndio headquarters au kitivo cha Siasa za nchi hii...PM ni nafasi ya kisiasa, aliyepo kuendelea au mpya kuingia inategemea/itategemea Big players watachezeshaje political cards zao... ANYTHING CAN HAPPEN...na Incase ulikua hujui...ukiona jambo/maamuzi yoyote yanapigiwa kura,jua kuna MATOKEO ya aina mbili. Na bahati nzuri inaonekana unajua ni nini kitafuata ikiwa Bunge litapiga kura hasi...ni Either RAIS ateue jina jingine na jingine mpaka Bunge likubaliane Naye,but ikishindikana RAIS na wabunge wote watatuletea issue yao sisi wananchi/wapiga kura kupitia uchaguzi Mkuu ili Tuitolee maamuzi kama Wenye nchi kwa ujumla..na kwa upepo uliopo na jinsi unavyovuma, sidhani kama kesi yao wanaweza kutuleta tuamue sisi wananchi, manake anything can happen.. nadhan watafanyiana lobbying wenyewe kwa wenyewe mpaka wakubaliane..na sababu pekee ni kwamba Wanasiasa hawawaamini wapiga kura wao/wananchi ata kidogo...na the only reason wanarudi kwa wananchi kuomba ridhaa/kura tena in every 5years ni kwa sababu ya Takwa la kisheria/kikatiba..If they had it their way..wangefurahia sana wawe wawakilishi wetu for life Bila ata kurudi kwetu kupewa mandate au ridhaa ya wanaowaongoza/kuwawakilisha.
 
Kwani uchaguzi ukiitishwa unakua wa wabunge peke yao?!...na kama jibu ni ndio.. unajua nini kitamtokea huyu aliyewashtaki kwa wananchi endapo wananchi wakiamua kuwarudisha wawakilishi wale wale.
 
Naona mnajitahidi kweli kumuwangia waziri wetu mkuu, jitihada njema bana, lakini eleweni huyu ndiye waziri mkuu mpaka 2030.
 
Haijawahi kutokea !! Na sio kazi rahisi kutokea maana kwenye uchaguzi ukiitishwa ni Pata potea Hiyo unaweza mbunge usirudi ikawa bye bye 👋
 
Yes ila sio kwa Bunge la Tanzania, land Bunge la Ufarabsa, au Israeli huko,
 
Kwani uchaguzi ukiitishwa unakua wa wabunge peke yao?!...na kama jibu ni ndio.. unajua nini kitamtokea huyu aliyewashtaki kwa wananchi endapo wananchi wakiamua kuwarudisha wawakilishi wale wale.
Angalia mtoa mada anasema wabunge hao walipatikanaje
 
Mafisadi na wezi wa mali za umma mnaumizwa sana na utendaji kazi wa waziri mkuu wetu.

Na bado tunamuomba mama akifanikiwa kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 amteuwe tena Majaliwa aendelee hadi 2030.
Sisi hatutaki mama tunataka ye mwenyewe majaliwa awe rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…