Hivi CHADEMA wamemuelewa kweli Rais wetu? Kwamba hicho wanachozunguka kukihubiri ni ukiukaji wa malengo ya kuruhusu mikutano ya hadhara

Hivi CHADEMA wamemuelewa kweli Rais wetu? Kwamba hicho wanachozunguka kukihubiri ni ukiukaji wa malengo ya kuruhusu mikutano ya hadhara

Baada ya bunge kuridhia mkataba tata wa IGA kati ya JMT na DP World, tarehe 10 June 2023, watanzania wengi wa nyanja mbali mbali walijitokeza kujadili suala hili. Mjadala ulipamba moto na serikali kuamua kukusanya maoni yaliyokuwa yanatolewa na wananchi kusuhu mkataba huu kwa lengo la kuyafanyia kazi. Mjadala uliendelea vizuri kwa takribani miezi miwili. Ghafla chadema wakadandia na kupoka mjadala huu na kuufanya kuwa sera yao kwenye mikutano ya hadhara waliyokuwa wakiifanya sehemu mbali mbali ya nchi. Hivyo sakata la bandari likawa ni la mapambano ya kisiasa kati ya chadema na serikali ya ccm. Hii ikasababisha wananchi kusitisha mjadala waliokuwa wanafanya wa kutoa maoni yao kwa serikali. Kwani sasa mwananchi akipinga mkataba huu, alionekana ni mwana chadema na yule aliyekubaliana na mkataba huu alionekana ni mwana ccm! Mjadala ukafa na serikali ikaacha kukusanya maoni ya wananchi kwani serikali haiwezi kukusanya maoni ya chadema au wanachadema.

Hivyo ndivyo chadema ilichofanya kwa katiba mpya na wamasai kuhama kwa hiari kutoka Ngorongoro Crater ili kuepuka kupotea kwa hifadhi hiyo kutokana kuongezeka sana kwa shughuli za kibinadamu kwenye Crater hiyo ambayo iliorodheshwa kwenye Seven Wonders of the World.



Wafuate sheria, kanuni na taratibu za nchi yetu, pamoja na kuzingatia maadili ya mtanzania, mila na desturi za mtanzania. Maoni na mapendekezo yao yawakilishwe bungeni kupitia kwa wabunge wao wa kuchaguliwa na wananchi na wale wa viti maalum vyao wasiowapenda.

Wakazane kutumia hiyo fursa waliyopewa ya mikutano ya hadhara kukijenga chama chao kwa kunadi sera za chama chao (kama wanzo), ili itakapofika mwaka 2025 waweze kuwa na wabunge wengi bungeni. Ikiwezekana washinde hata hicho kiti cha uraisi. Wahakikishe wanajipanga vizuri kulinda kura zao kwa kuweka mawakala waaminifu na wanaowalipa vizuri katika kila kituo cha kupigia kura. Uzoefu wa nyuma umeonesha kuwa chadema hutumia vijana waganga njaa kama mawakala wao na huwa hawalipwi hata senti moja na chama chao kusimamia kura kwenye vituo. Hivyo huwa ni rahisi sana kununuliwa na CCM kwa pesa kidogo cha kama laki tano tu. Chadema watunze hiyo ruzuku ili muda utakapofika waweze kuwalipa hawa mawakala wao angalao Sh. million tatu kila mmoja. Sasa hivi wanatumia vibaya ruzuku hii kwa kulipana posho ya kuzunguka ovyo ovyo kila mahali. Watajikuta wakati ukifika hawana risasi aka posho kwa mawakala wa kulinda kura zao na kuambulia kifo cha mende.

Nguvu ya chama cha siasa chochote inatokana na wingi wa wabunge wao ndani ya bunge kwani bungeni ndipo mahali pekee pa maamuzi ya yote serikali inayopaswa kuyafanya. Hivyo hizo ndoto zao za katiba mpya na mengine zitawezekana tu kama watakuwa na majority bungeni na kushinda kiti cha uraisi. Hivyo kwa sasa zibaki tu kuwa ndoto na wasitake kushinikiza CCM yenye majority bungeni kutekeleza ndoto zao, hilo haliwezekani po pote duniani na hata huko ahera.


Umesema Serikali iliacha kukusanya maoni ya wananchi juu ya mjadala wa Bandari za Tanganyika na mwekezaji DP World kwa sababu CHADEMA walianza kuzungumzia, hao CHADEMA sio sehemu ya wananchi?

Maoni yao sio Sawa na maoni ya watanzania wengine?

Wanachama wa CHADEMA na viongozi wao sio wananchi wa Tanzania?



Kwanza huo mkataba si ulivuja?

Kwani Serikali iliuleta lini kwa wananchi? Kabla ama baada ya kisainiwa?

Mkataba wa 2022 unakusanywa maoni ya wananchi 2023?







Unasema CHADEMA wanatumia vibaya pesa zao za Ruzuku.

Unashauri wakae watulie wasifanye mikutano ya hadhara ili wapate pesa za kuwalipa vijana wanaotumika katika uchaguzi pesa Nzuri ili kuwaepusha kuhongwa laki 5 na CCM?

Kumbe ndio huwa kinatokea mpaka CHADEMA kuibiwa kura na kushindwa kila Mwaka wa uchaguzi?





Unawazuiaje CHADEMA kuyasemea haya yanayoendelea katika nchi waliyomo kihalali?

Kazi ya CHADEMA ni Siasa, unataka leo waanze kuzunguka na kuelezea Sera na Malengo ya Chama, kwani kupinga Ufisadi sio sehemu ya Siasa?

Kutetea maslahi ya wananchi sio Siasa?

Kusimamia na kulinda rasilimali na maliasili za nchi sio sehemu ya Siasa?





Wakati Rais Samia anakaa chini na viongozi wa vyama vya upinzani na kukubaliana kusonga mbele na kuruhusu wafanye Siasa za majukwaani, aliwapangia ya kuongelea na ambayo sio ya kuongelea?


Rais Samia sio mgeni hapa nchini, anawajua vizuri CHADEMA na kipindi cha uongozi wa Rais mstaafu Jakaya alikuwepo Ikulu na mwenendo wa Siasa zao anaujua, kipi kilimfanya aamini kwamba sasa watafanya tofauti kwenye hili la DP World kama walivyofanya kwenye lile la Richmond?



Kosa pekee wanalofanya wanasiasa (unfortunately wa pande zote) ni kutoa maneno machafu na kuitana majina ya kutweza Utu.

Na hii inapelekea wote kutokutaka kushindwa na matokeo yake mara nyingi huwa ni mabaya maana casualties wa Siasa chafu huwa ni wengi na wananchi ndio wahanga wakubwa.
 
Duniani kote upinzani unaikosoa serikali, kama SSH anategemea vyama vya upinzani watangaze sera zao bila kukosoa mapungufu ya serikali iliyopo madarakani basi nayeye anaviashiria vya udikteta.
Kwanza nawauliza Maccm: Kuna kipengele cha Sheria ya vyama vya siasa au Sheria ya uchaguzi inayowalazimisha wapinzani mikutanoni au sehemu nyingine kuzungumzia sera zao tu na si kukosoa mapungufu ya serikali?
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Kukubali upumbavu na ujinga basi na wewe utakuwa mpumbavu na mjinga.
 
Kukosoa mapungufu ya serikali hakukatazwi kwa mtu yeyote yule. Hawa chadema hawakosoi serikali bali wanaishinikiza serikali ifanye kile ambacho chadema wanataka, laa sivyo wanakiwasha ndani na duniani kote.

Chadema hawatangazi sera yao ya chama ya utawala wa majimbo. Wanajua sera yao hiyo ya utawala wa majimbo haina mashiko kwa watanzania.
Hatutaki Mkataba wa DP World Tanganyika.
 
Umesema Serikali iliacha kukusanya maoni ya wananchi juu ya mjadala wa Bandari za Tanganyika na mwekezaji DP World kwa sababu CHADEMA walianza kuzungumzia, hao CHADEMA sio sehemu ya wananchi?

Maoni yao sio Sawa na maoni ya watanzania wengine?

Wanachama wa CHADEMA na viongozi wao sio wananchi wa Tanzania?



Kwanza huo mkataba si ulivuja?

Kwani Serikali iliuleta lini kwa wananchi? Kabla ama baada ya kisainiwa?

Mkataba wa 2022 unakusanywa maoni ya wananchi 2023?







Unasema CHADEMA wanatumia vibaya pesa zao za Ruzuku.

Unashauri wakae watulie wasifanye mikutano ya hadhara ili wapate pesa za kuwalipa vijana wanaotumika katika uchaguzi pesa Nzuri ili kuwaepusha kuhongwa laki 5 na CCM?

Kumbe ndio huwa kinatokea mpaka CHADEMA kuibiwa kura na kushindwa kila Mwaka wa uchaguzi?





Unawazuiaje CHADEMA kuyasemea haya yanayoendelea katika nchi waliyomo kihalali?

Kazi ya CHADEMA ni Siasa, unataka leo waanze kuzunguka na kuelezea Sera na Malengo ya Chama, kwani kupinga Ufisadi sio sehemu ya Siasa?

Kutetea maslahi ya wananchi sio Siasa?

Kusimamia na kulinda rasilimali na maliasili za nchi sio sehemu ya Siasa?





Wakati Rais Samia anakaa chini na viongozi wa vyama vya upinzani na kukubaliana kusonga mbele na kuruhusu wafanye Siasa za majukwaani, aliwapangia ya kuongelea na ambayo sio ya kuongelea?


Rais Samia sio mgeni hapa nchini, anawajua vizuri CHADEMA na kipindi cha uongozi wa Rais mstaafu Jakaya alikuwepo Ikulu na mwenendo wa Siasa zao anaujua, kipi kilimfanya aamini kwamba sasa watafanya tofauti kwenye hili la DP World kama walivyofanya kwenye lile la Richmond?



Kosa pekee wanalofanya wanasiasa (unfortunately wa pande zote) ni kutoa maneno machafu na kuitana majina ya kutweza Utu.

Na hii inapelekea wote kutokutaka kushindwa na matokeo yake mara nyingi huwa ni mabaya maana casualties wa Siasa chafu huwa ni wengi na wananchi ndio wahanga wakubwa.
Pole sana ndugu yangu, kumbe hujui tofauti ya vyama vya siasa na vikundi au vyama vya wanaharakati (activists). Goja nijaribu kukuelewesha:

Vyama vya siasa hufanya kazi kwa utaratibu niliouelezea hapo juu kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi pamoja na mila, desturi na maadili ya wananchi.

Kama likitokea jambo linaloelekea kutokuwa na masilahi ya taifa, hususani hili la mkataba wa IGA; chama hufanya kwanza utafiti wa kina wa kisayansi wakitumia watalaamu wao mahili. Baada ya hapo vikao vya chama (CC na NEC) hukaa kuchambua kwa makini utafiti huo na kutoa tamko la chama lililosheheni weledi mkubwa kuhusu jambo hilo pamoja na maoni na mapendekezo ya utatuzi wake. Vyama vya siasa huwa havikurupuki. Upinzani wa kisiasa siyo sawa na mchezo wa ngumi wa kurushiana makonde. Upinzani wa kisiasa ni wa kushindanisha nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu.

Vikundi ama vyama vya wanaharakati havina sheria wala kanuni na taratibu za kufanya kazi yao. Wao hufanya kazi kwa matukio. Havifanyi utafiti. Wao wakisikia jambo lo lote lililofanywa au kukusudiwa kufanywa na serikali, hulirukia na kuishambulia serikali kwa nguvu kubwa bila hata uthibitisho wa kile walichokisikia. Huropoka maneno makali na mabaya kwa serikali na kwa viongozi wa serikali yakiwamo matusi na maneno mengine machafu. Hushambulia serikali ndani ya nchi na nje ya nchi na taasisi za kimataifa hususani European Union, World Bank na kadhalika. Lengo ni kuichafua nchi na kuitishia iwekewe vikwazo vya kimataifa kwa kile serikali ilichofanya. Wanaharakati hawatambui kwamba nchi yetu ni sovereign state yenye uhuru wa kuendesha mambo yake. Hawa wanaharakati hupeleka haraharaka mambo yetu BBC na Al Jazera na kadhalika. Wanaamini Tanzania inatawaliwa na mabeberu wa Ubiligiji, Ujerumani, USA na EU.

Chama cha chadema kiko kundi hili la wanaharakati. Hakina tofauti yo yote na vikundi vingine vya wanaharakati hususani kile cha Sauti ya Watu kinachoendeshwa na Maria Sarungi ambacho Dr Slaa kajiunga. Raisi Salmia kawaelekeza wanachotakiwa kufanya cha siasa. Sidhani kama wamemuelewa. Maamuzi ni ya kwao, waendelee kuwa chama cha wanaharakati au wajirekebishe na kurudi kuwa chama cha siasa kama vile chama cha Zitto Kabwe au kile cha Prof. Lipumba. Wakiendelea kuwa wanaharakati wasitegemee kupata ha mbunge mmoja 2025.
 
Pole sana ndugu yangu, kumbe hujui tofauti ya vyama vya siasa na vikundi au vyama vya wanaharakati (activists). Goja nijaribu kukuelewesha:

Vyama vya siasa hufanya kazi kwa utaratibu niliouelezea hapo juu kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi pamoja na mila, desturi na maadili ya wananchi.

Kama likitokea jambo linaloelekea kutokuwa na masilahi ya taifa, hususani hili la mkataba wa IGA; chama hufanya kwanza utafiti wa kina wa kisayansi wakitumia watalaamu wao mahili. Baada ya hapo vikao vya chama (CC na NEC) hukaa kuchambua kwa makini utafiti huo na kutoa tamko la chama lililosheheni weledi mkubwa kuhusu jambo hilo pamoja na maoni na mapendekezo ya utatuzi wake. Vyama vya siasa huwa havikurupuki. Upinzani wa kisiasa siyo sawa na mchezo wa ngumi wa kurushiana makonde. Upinzani wa kisiasa ni wa kushindanisha nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu.

Vikundi ama vyama vya wanaharakati havina sheria wala kanuni na taratibu za kufanya kazi yao. Wao hufanya kazi kwa matukio. Havifanyi utafiti. Wao wakisikia jambo lo lote lililofanywa au kukusudiwa kufanywa na serikali, hulirukia na kuishambulia serikali kwa nguvu kubwa bila hata uthibitisho wa kile walichokisikia. Huropoka maneno makali na mabaya kwa serikali na kwa viongozi wa serikali yakiwamo matusi na maneno mengine machafu. Hushambulia serikali ndani ya nchi na nje ya nchi na taasisi za kimataifa hususani European Union, World Bank na kadhalika. Lengo ni kuichafua nchi na kuitishia iwekewe vikwazo vya kimataifa kwa kile serikali ilichofanya. Wanaharakati hawatambui kwamba nchi yetu ni sovereign state yenye uhuru wa kuendesha mambo yake. Hawa wanaharakati hupeleka haraharaka mambo yetu BBC na Al Jazera na kadhalika. Wanaamini Tanzania inatawaliwa na mabeberu wa Ubiligiji, Ujerumani, USA na EU.

Chama cha chadema kiko kundi hili la wanaharakati. Hakina tofauti yo yote na vikundi vingine vya wanaharakati hususani kile cha Sauti ya Watu kinachoendeshwa na Maria Sarungi ambacho Dr Slaa kajiunga. Raisi Salmia kawaelekeza wanachotakiwa kufanya cha siasa. Sidhani kama wamemuelewa. Maamuzi ni ya kwao, waendelee kuwa chama cha wanaharakati au wajirekebishe na kurudi kuwa chama cha siasa kama vile chama cha Zitto Kabwe au kile cha Prof. Lipumba. Wakiendelea kuwa wanaharakati wasitegemee kupata ha mbunge mmoja 2025.


Please, don’t insult my intelligence due to your own misapprehension.



CHADEMA ni Chama cha Uanaharakati? Toka lini? Una uthibitisho juu ya hili?


Kwahiyo Msajili wa vyama vya siasa hapa nchini nae hana ufahamu kiasi hicho? Mbona hajakifutilia mbali?


Rais Samia pia hajui tofauti kati ya Chama cha Siasa na uanaharakati? Kwanini analalamika badala ya kufanya maamuzi magumu?




Hivi umejiuliza endapo Kama CHADEMA wangehudhuria Mkutano wa jana, hotuba ya Rais Samia ingekua tofauti kiasi gani?
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Kwani walipangiwa cha kuhutubia?
 
Kumbe ndio huwa kinatokea mpaka CHADEMA kuibiwa kura na kushindwa kila Mwaka wa uchaguzi?
Sasa wewe au mwakilishi wako hayupo kwenye kusimamia upigaji wa kura na kuhesabu kura, unategemea kipi? Utabaki unalaumu bure tume ya uchaguzi, kwani hiyo tume inakuwaga ipo kwenye vituo vya kupigia kura? Utalaumu bure wakurugenzi wa halmashauri, kwani wanakuwagapo kwenye vituo vya kupigia kura?

Kwanza Tume ya Uchaguzi ina watu saba tu. Hawa kazi yao wakishirikiana na wakurugenzi wa halmashauri ni kuhakikisha vifaa vya kupigia kura vinakuwepo vya kutosha kwenye vituo vyote nchini vya kupigia kura. Zoezi la kupiga kura na kuhesabu kura vituoni linasimamiwa na wawakilishi wa kila chama cha siasa hapo kwenye kituo. Matokeo ya kura hutangazwa pale pale kituoni mara tu baada yakuhesabu kura na hubandikwa pale kituoni kwa kutumia Form A ambayo wawakilishi wa kila chama wamesaini kukubali matokeo hayo.

Nakala za matokeo ya kila kituo hupelekwa jimboni kufanyiwa majumulisho. Hapo jimboni wawakilishi wa kila chama husimamia upokeaji na ujumulishaji wa hizo form. Sasa kama chadema kinakusanya vibaka wa mitaani kuwa wawakilishi wao na hawawalipi cho chote cha maana, unategemea nini? Huyo kibaka hapo kituoni si anatarajia kuwachomoa simu au pesa mfukoni hao wapiga kura. Si anatarajia kuwauzia kura CCM ambao ni chama tajiri, kila kura ya chadema anawauzia ccm buku tano au hata buku moja. Akifanikiwa kuuza kura 100 kwa buku tano tano anatoka na kibunda cha laki 5 ambacho hajawahi kukipata maishani yake. Ataishukuru chadema kwa kumpa fursa hiyo ya ulaji na ataimba Piiipoziiiii Pawa! Hata ungalikuwa wewe au mimi tungalifanya hivyo hivyo. Wewe mlinzi nyumbani kwako kama humpi mshahara wake, akikuibia atakuwa hajafanya kosa kwani kachukua ujira wake. Muache kushutumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi wala hao wakurugenzi wa halmashauri kwa sababu ya uzembe wenu.
 
Please, don’t insult my intelligence due to your own misapprehension.



CHADEMA ni Chama cha Uanaharakati? Toka lini? Una uthibitisho juu ya hili?


Kwahiyo Msajili wa vyama vya siasa hapa nchini nae hana ufahamu kiasi hicho? Mbona hajakifutilia mbali?


Rais Samia pia hajui tofauti kati ya Chama cha Siasa na uanaharakati? Kwanini analalamika badala ya kufanya maamuzi magumu?




Hivi umejiuliza endapo Kama CHADEMA wangehudhuria Mkutano wa jana, hotuba ya Rais Samia ingekua tofauti kiasi gani?
Everybody knows this except you and likes. Rais kawapa onyo, hamukumuelewa kwa sababu katumia lugha ya kiungwana ambayo kwenu ni ngumu kuielewa. Angalikuwa Jiwe angaliwaambia kwa lugha mnayoijua na kuwapiga ban ya kufanya mikutano ya hadhara mara moja, mkashitaki huko kwa mabeberu wenu.

Mkiendelea na huo uanaharakati wenu hata raisi huyu atawachoka na kuwapiga ban kufanya hiyo mikutano, na ana uwezo wa kukifuta hiko chama mkashitaki kwenye hiyo mnayoiita dunia. Hakuna anayewaogopa. Bahati nzuri Mr Mbowe ameshajirekebisha kwa kiwango kikubwa, hata katibu mkuu wenu. Amebakia hasa Bw. Tundu Lissu, yeye anaweza kudhibitiwa pekee yake.
 
Sasa wewe au mwakilishi wako hayupo kwenye kusimamia upigaji wa kura na kuhesabu kura, unategemea kipi? Utabaki unalaumu bure tume ya uchaguzi, kwani hiyo tume inakuwaga ipo kwenye vituo vya kupigia kura? Utalaumu bure wakurugenzi wa halmashauri, kwani wanakuwagapo kwenye vituo vya kupigia kura?

Kwanza Tume ya Uchaguzi ina watu saba tu. Hawa kazi yao wakishirikiana na wakurugenzi wa halmashauri ni kuhakikisha vifaa vya kupigia kura vinakuwepo vya kutosha kwenye vituo vyote nchini vya kupigia kura. Zoezi la kupiga kura na kuhesabu kura vituoni linasimamiwa na wawakilishi wa kila chama cha siasa hapo kwenye kituo. Matokeo ya kura hutangazwa pale pale kituoni mara tu baada yakuhesabu kura na hubandikwa pale kituoni kwa kutumia Form A ambayo wawakilishi wa kila chama wamesaini kukubali matokeo hayo.

Nakala za matokeo ya kila kituo hupelekwa jimboni kufanyiwa majumulisho. Hapo jimboni wawakilishi wa kila chama husimamia upokeaji na ujumulishaji wa hizo form. Sasa kama chadema kinakusanya vibaka wa mitaani kuwa wawakilishi wao na hawawalipi cho chote cha maana, unategemea nini? Huyo kibaka hapo kituoni si anatarajia kuwachomoa simu au pesa mfukoni hao wapiga kura. Si anatarajia kuwauzia kura CCM ambao ni chama tajiri, kila kura ya chadema anawauzia ccm buku tano au hata buku moja. Akifanikiwa kuuza kura 100 kwa buku tano tano anatoka na kibunda cha laki 5 ambacho hajawahi kukipata maishani yake. Ataishukuru chadema kwa kumpa fursa hiyo ya ulaji na ataimba Piiipoziiiii Pawa! Hata ungalikuwa wewe au mimi tungalifanya hivyo hivyo. Wewe mlinzi nyumbani kwako kama humpi mshahara wake, akikuibia atakuwa hajafanya kosa kwani kachukua ujira wake. Muache kushutumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi wala hao wakurugenzi wa halmashauri kwa sababu ya uzembe wenu.


Naona unafanya siasa za mduara.

Nilichouliza Mimi na unayoeleza wewe ni Sawa?



Turudi kwenye swali la msingi….

Kuhusu hizo laki 5 CCM inazowahonga vijana wasimamizi wa CHADEMA wakati wa uchaguzi, ndio mojawapo wa kisababishi cha kushindwa kwa CHADEMA kila chaguzi?

Ni utaratibu wa Chama kuhonga vijana wa upinzani ili kufanikisha malengo yao?

Sera ya Chama na Serikali inasemaje kuhusu Rushwa?
 
Everybody knows this except you and likes. Rais kawapa onyo, hamukumuelewa kwa sababu katumia lugha ya kiungwana ambayo kwenu ni ngumu kuielewa. Angalikuwa Jiwe angaliwaambia kwa lugha mnayoijua na kuwapiga ban ya kufanya mikutano ya hadhara mara moja, mkashitaki huko kwa mabeberu wenu.

Mkiendelea na huo uanaharakati wenu hata raisi huyu atawachoka na kuwapiga ban kufanya hiyo mikutano, na ana uwezo wa kukifuta hiko chama mkashitaki kwenye hiyo mnayoiita dunia. Hakuna anayewaogopa.

Let me stop you right here!

“hamukumuelewa “ “ kwenu “ “ mnayoijua nyie” “mabeberu wenu” “mkiendelea” ……..


You seem like a reasonably bright fella, hapo juu hao unaowazungumzia kwa kuni-quote Mimi ni akina nani? Mimi na nani?


Are insinuating that I’m part of CHADEMA? Una tatizo la projection?


Umenisoma vizuri kabla ya kunijibu? Umerudia angalau mara mbili?


Kwahiyo yeyote muuliza maswali/ mtoa hoja inayokugusa tofauti na upendavyo ni CHADEMA?


Siasa ni sayansi, jibu hoja ya mada uliyoweka mezani.
 
Naona unafanya siasa za mduara.

Nilichouliza Mimi na unayoeleza wewe ni Sawa?



Turudi kwenye swali la msingi….

Kuhusu hizo laki 5 CCM inazowahonga vijana wasimamizi wa CHADEMA wakati wa uchaguzi, ndio mojawapo wa kisababishi cha kushindwa kwa CHADEMA kila chaguzi?

Ni utaratibu wa Chama kuhonga vijana wa upinzani ili kufanikisha malengo yao?

Sera ya Chama na Serikali inasemaje kuhusu Rushwa?
Lini rushwa ilishaisha duniani? Lini wizi na ufisadi ulishaisha duniani? Hujasikia kama hata huko Amerika kura zinaibiwa hadi wanafikishana mahakamani na kurudia kuhesabu kura manually. Kura zinaibiwa licha ya kuweka sophisticated electronic election systems zenye kila ulinzi wa ki electronic. Sasa sembuse hizi za chadema zinazolindwa na vibaka. Yaani wala ccm siyo wezi, wanachukua tu kidogo zile ambazo zimeachwa peke yake bila ulinzi. Wakati mwingine vibaka hawa walioaminiwa na chadema huzitembeza na kuwashawishi wanachama wa ccm wazinunue hapo kwenye kituo cha kupigia kura.

Kama ni ufisadi nadhani chadema ndiyo inashika namba one kwenye vyama vya siasa nchini. Pesa wanayokusanya kwenye michango ya wanachama wakati wa mikutano yao huwa haiwekwi wazi. Ile wanayoipata kutoka kwa washirika wao ughaibuni huwa haiwekwi wazi. Hata ile ruzuku wanayopokea kutoka serikalini haiwekwi wazi. Kiasi kikubwa cha pesa hiyo bila shaka hutumbukia kwenye matumbo ya viongozi wa chama.
 
Lini rushwa ilishaisha duniani? Lini wizi na ufisadi ulishaisha duniani? Hujasikia kama hata huko Amerika kura zinaibiwa hadi wanafikishana mahakamani na kurudia kuhesabu kura manually. Kura zinaibiwa licha ya kuweka sophisticated electronic election systems zenye kila ulinzi wa ki electronic. Sasa sembuse hizi za chadema zinazolindwa na vibaka. Yaani wala ccm siyo wezi, wanachukua tu kidogo zile ambazo zimeachwa peke yake bila ulinzi. Wakati mwingine vibaka hawa walioaminiwa na chadema huzitembeza na kuwashawishi wanachama wa ccm wazinunue hapo kwenye kituo cha kupigia kura.

Kama ni ufisadi nadhani chadema ndiyo inashika namba one kwenye vyama vya siasa nchini. Pesa wanayokusanya kwenye michango ya wanachama wakati wa mikutano yao huwa haiwekwi wazi. Ile wanayoipata kutoka kwa washirika wao ughaibuni huwa haiwekwi wazi. Hata ile ruzuku wanayopokea kutoka serikalini haiwekwi wazi. Kiasi kikubwa cha pesa hiyo bila shaka hutumbukia kwenye matumbo ya viongozi wa chama.


Ungekua unajibu hoja kwa hoja ingekua poa sana, tatizo unauzunguka mbuyu!

Unaogopa nini?



Kwahiyo Kama mpaka Amerika kuna Wizi na Ufisadi ndio CCM imehalalisha hizo laki 5 kwa vijana wa CHADEMA ili kuvuruga chaguzi kila mara?


Hakuna sehemu nimekuuliza ni Chama gani kinaongoza kwa ufisadi na Rushwa kiasi useme Chadema inashika namba moja.


Nimekuuliza Kama Chama na Serikali vinabariki utoaji wa hongo za laki 5 kwenda kwa vijana wa CHADEMA ili kuvuruga chaguzi?


Sera za Chama na Serikali zinasemaje kuhusu Rushwa?


Jitahidi sana kukaa kwenye mstari wa mada uliyoanzisha mwenyewe.
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Samia sio katiba. Tena CCM komeni kutumia kauli ya Rais kuruhusu mikutano ya hadhara yeye hana ruhusa ya kukataa wala kukubali. Sheria ipo wazi.
 
Pole sana ndugu yangu, kumbe hujui tofauti ya vyama vya siasa na vikundi au vyama vya wanaharakati (activists). Goja nijaribu kukuelewesha:

Vyama vya siasa hufanya kazi kwa utaratibu niliouelezea hapo juu kwa kuzingatia sheria na kanuni za nchi pamoja na mila, desturi na maadili ya wananchi.

Kama likitokea jambo linaloelekea kutokuwa na masilahi ya taifa, hususani hili la mkataba wa IGA; chama hufanya kwanza utafiti wa kina wa kisayansi wakitumia watalaamu wao mahili. Baada ya hapo vikao vya chama (CC na NEC) hukaa kuchambua kwa makini utafiti huo na kutoa tamko la chama lililosheheni weledi mkubwa kuhusu jambo hilo pamoja na maoni na mapendekezo ya utatuzi wake. Vyama vya siasa huwa havikurupuki. Upinzani wa kisiasa siyo sawa na mchezo wa ngumi wa kurushiana makonde. Upinzani wa kisiasa ni wa kushindanisha nguvu za hoja na siyo hoja za nguvu.

Vikundi ama vyama vya wanaharakati havina sheria wala kanuni na taratibu za kufanya kazi yao. Wao hufanya kazi kwa matukio. Havifanyi utafiti. Wao wakisikia jambo lo lote lililofanywa au kukusudiwa kufanywa na serikali, hulirukia na kuishambulia serikali kwa nguvu kubwa bila hata uthibitisho wa kile walichokisikia. Huropoka maneno makali na mabaya kwa serikali na kwa viongozi wa serikali yakiwamo matusi na maneno mengine machafu. Hushambulia serikali ndani ya nchi na nje ya nchi na taasisi za kimataifa hususani European Union, World Bank na kadhalika. Lengo ni kuichafua nchi na kuitishia iwekewe vikwazo vya kimataifa kwa kile serikali ilichofanya. Wanaharakati hawatambui kwamba nchi yetu ni sovereign state yenye uhuru wa kuendesha mambo yake. Hawa wanaharakati hupeleka haraharaka mambo yetu BBC na Al Jazera na kadhalika. Wanaamini Tanzania inatawaliwa na mabeberu wa Ubiligiji, Ujerumani, USA na EU.

Chama cha chadema kiko kundi hili la wanaharakati. Hakina tofauti yo yote na vikundi vingine vya wanaharakati hususani kile cha Sauti ya Watu kinachoendeshwa na Maria Sarungi ambacho Dr Slaa kajiunga. Raisi Salmia kawaelekeza wanachotakiwa kufanya cha siasa. Sidhani kama wamemuelewa. Maamuzi ni ya kwao, waendelee kuwa chama cha wanaharakati au wajirekebishe na kurudi kuwa chama cha siasa kama vile chama cha Zitto Kabwe au kile cha Prof. Lipumba. Wakiendelea kuwa wanaharakati wasitegemee kupata ha mbunge mmoja 2025.
Ila kutawaliwa na Zanzibar ni sawa siyo?
 
Samia sio katiba. Tena CCM komeni kutumia kauli ya Rais kuruhusu mikutano ya hadhara yeye hana ruhusa ya kukataa wala kukubali. Sheria ipo wazi.
Jiwe alikataa katiba mpya na alipiga marufuku hiyo mikutano ya hadhara na mliufyata.

Ila kutawaliwa na Zanzibar ni sawa siyo?
Wewe unaona kutawaliwa na Moshi au Mwanza au Bagamoyo ni sawa?




Sera za Chama na Serikali zinasemaje kuhusu Rushwa?
Sera za vyama vya siasa, sheria za nchi, tekinolojia na hata imani na mahubiri ya dini mbali mbali hazijaweza na hazitaweza kukomesha wizi wa aina yo yote tangia mwanzo wa dunia. Katika bustani ya Adeni, ibilisi alimshawishi Eva kuiba lile tunda la Mungu na alifanya hivyo, akaliiba, akakamatwa na kuadhibiwa yeye na Adamu wake. Tangia hapo wizi unaendelea kwa ushawishi wa ibilisi, wanaokamatwa huadhibiwa, wengi hawakamatwi na dini zinahubiri adhabu yao wataikuta huko ahera watakapoenda.


Kwahiyo Kama mpaka Amerika kuna Wizi na Ufisadi ndio CCM imehalalisha hizo laki 5 kwa vijana wa CHADEMA ili kuvuruga chaguzi kila mara?
Nimekudokeza tu mfano rahisi wa mbinu moja wapo inayoweza kutumiwa kama chadema hawaweki mawakala thabiti wa kusimamia upigaji kura na uhesabu kura kwenye hivyo vituo. Mbinu ziko nyingi tu duniani za kuibiwa kura ukizembea. Huo ni mfano tu (abstract) wa great thinker, usiuchukulie kama ni wa ukweli na kwamba mimi ndiyo shahidi. Kwanza mimi si mwanachama wa chama cho chote cha kisiasa.

Ulisikia na kuona huko Kenya kwenye chaguzi zao walivyolalamika kura zao kuibiwa juu kwa juu kwa njia ya kidijitari za mtandao wakati wa transmission za data kwenda National Election Commission. Walifikishana hadi Mahakama ya juu lakini ikawa ngumu kuthibitisha wizi huo wa mtandao beyond reasonable doubt.

Bila shaka ulisikia huko USA wakilalamika jinsi Russia ilivyobadili electronically kura za Mama Clinton na kumwezesha rafiki yao Trump kuwa rais wa USA.

Leo umemsikia mwanaharakati wa kimataifa, Bw. Tundu Lissu alivyotorokea USA/ Belgium kutokea Ngorongoro hadi Nairobi International Airport baada ya alichotumwa kufanya huko Ngorongoro Crater na Tanzania kwa ujumula kusitishwa na jeshi la Wambura. Ameenda kutoa ripoti ya kile alichoweza kukikusanya hapa Tanzania. Huyu mtu nyie mnamuita ni mwanasiasa. Wenye akili wanamuita ni mwanaharakati na jasusi wa nchi za ulaya na Amerika. Ni kibaraka wa hao wazungu wanaotaka kumsimika awe raisi wa Tanzania kwa masilahi yao.
 
Rais aliruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ili vikatangaze sera za vyama vyao kwa wananchi ili kuwavutia kuwaunga mkono kwenye harakati za kushika dola kwenye chaguzi zijazo.

Chama cha siasa ni sera yake na si vinginevyo. Rais aliruhusu ruzuku ya Serikali kwa Chadema iliyokuwa imegomewa ya bilion mbili (inasemekana) kwa mwezi kuanza kutolewa.

Cha ajabu Chadema wamekuwa wanazunguka kila mahali wakipinga serikali kwa kila kitu inachokifanya, wakikashifu, kudhalilisha na hata kuwatutana na kuwatezwa viongozi wakuu wa serikali ikiwamo raisi wa nchi, kuchochea vurugu na uvunjaji wa amani. Wamekuwa wakitishia kwamba watakiwasha hapa ndani na duniani kote kwani waungwa mkono na dunia aka mabeberu wa dunia ie EU, USA etc.

Wamekuwa wakidandia masuala hususani ya maboresho ya katiba ya nhi, mkataba wa bandari zetu na DP World na uboreshaji wa hifadhi ya Ngorongoro na kuyafanya kuwa ndiyo sera yao wakati kuna vyombo halali vinavyo shughulikia mambo haya.

Leo Rais kasema na kutoa maelekezo, sidhani kama hawa chadema wamemuelewa. Watapinga maelekezo haya kama kawaida yao. Ikumbukwe kwa mila zetu, tamaduni zetu na sheria zetu, maelekezo ya mkuu wa nchi ni maagizo na ni amri. Hawa jamaa watayapinga na kumteza aliyeyatoa. Ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu.
Hao wanaelewa sana lakini dini zao na mila zao ni za kudidimiza wanawake, haiwaingii akilini mwanamke kuwa Mkuu wao. Ni wajinga wajinga tu.

"It's easy to learn but very difficult to unlearn".
 
Kuna sheria, kanuni na
taratibu za vyama vya upinzani kuikosoa au kuipinga serikali. Kila nchi ina sheria, kanuni na taratibu zake, siyo copy & paste za nchi zingine. Principle yake ni wengi wape, wachache wasikilizwe.

Upingaji na ukosoaji wenye tija hasa hufanyika bungeni. Na kama chama kina wingi wa wawakilishi bungeni, hoja zao hupita na kutekelezwa bungeni. Chama kilicho na wawakilishi wachache bungeni, hoja zao husikilizwa lakini haziwezi kupitishwa kama hazijaungwa mkono na walio wengi bungeni.

Sasa chama kikiwa na wawakilishi wachache bungeni, kinajua kwamba hoja zao hazitapita bungeni, kikaamua kutumia ruzuku yake kuzunguka nchi nzima majukwaani kuilazimisha serikali kukubali hoja zake; huu ni uvunjifu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi. Lazima ukemewe na hatua stahiki za kisheria zinaweza kuchukuliwa dhidi ya chama hicho au dhidi ya baadhi ya viongozi wa chama hicho. Jambo hili ni la muhimu sana kwani wakiachwa waendelee litasababisha vurugu na uvunjifu wa amani kama inavyotokea kwa jirani zetu huko Kenya.

Chama kilichojaa mijitu kama wewe, iliyokosa malezi mema ya wazazi wao na jamii yake, moto lazima utakuwa unwaka ndani ya chama hicho. Huwezi kuamini kama midomo ya mijitu haya inayotoa haya maneno, inatumika pia kulia chakula au kusema "baby I love you"! Inahitaji rehabilitation.
Kama unaamini tuna bunge basi wewe ni punguani wa kiwango kisichoelezeka.
 
Back
Top Bottom