Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe ?

Je Mwenyekiti hakosei ? Je anastahili kuwepo kwenye uongozi milele

Wanachadema hatulioni hili ? Au sote ni machawa ?
Wewe unajionaje unafaa kushika nafasi yake tukuachie!? kama wew hutoshi basi tafuta mbadala umlete hapa! tumpigie kura,
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Chawa ni chawa tu hakuna tofauti!
 
Chawa ni mtu yeyote anayeunga mkono kila linalofanywa na mtu fulani bila kujali ni zuri ama baya lkn chawa huwa ananufaika. Kwa kimombo anajulikana kama yesman

Lucas Mwashambwa ni chawa wa mama, kwasabb anasifu kila jambo halafu mwisho wa siku analipwa buku 7 pale Lumumba.

Hawa akina Erythrocyte na MMM kama nao wanaunga mkono kila jambo linalofanywa na Mbowe, basi ni machawa wa Mbowe.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Wote ni CHAWA ila wengine wapo kwa maslahi binafsi zaidi.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Kuna mwanachadema ametekwa au amepotea kwa kumkosoa Mbowe?

Chawa wa CHADEMA wanafaidika kwa kodi za raia?
Ni kwasababu hana mamlaka.
Mbowe ange fanikiwa kuliongoza taifa hili tungekuwa na Museven mwingine ndani ya nchi hii.
Kuliko nchi hii iongozwe na Mbowe bora CCM iendelee kutawala tu.
Mtu mwenye sifa za kuwa rais hapo chadema ni Lisu tu.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
CHAWA NI CHAWA TU SIYO LAZIMA WAWE WA MAMA HATA WA MBOWE NI CHAWA TU TENA HAO WAMEZIDI TUNAWAITA KUPE
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Wote machawa tu
 
Chawa ni mtu yeyote anayeunga mkono kila linalofanywa na mtu fulani bila kujali ni zuri ama baya. Kwa kimombo anajulikana kama yesman

Lucas Mwashambwa ni chawa wa mama, kwasabb anasifu kila jambo. Hawa akina Erythrocyte na MMM kama nao wanaunga mkono kila jambo linalofanywa na Mbowe, basi ni machawa wa Mbowe.
Endeleeni kujadili mkimaliza niambieni
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Hawana tofauti, Wote ni chawa.
 
Ni kwasababu hana mamlaka.
Mbowe ange fanikiwa kuliongoza taifa hili tungekuwa na Museven mwingine ndani ya nchi hii.
Kuliko nchi hii iongozwe na Mbowe bora CCM iendelee kutawala tu.
Mtu mwenye sifa za kuwa rais hapo chadema ni Lisu tu.
Bora CCM wanabadirishana ila huyu bwana angetawala milele.
 
Ni kwasababu hana mamlaka.
Mbowe ange fanikiwa kuliongoza taifa hili tungekuwa na Museven mwingine ndani ya nchi hii.
Kuliko nchi hii iongozwe na Mbowe bora CCM iendelee kutawala tu.
Mtu mwenye sifa za kuwa rais hapo chadema ni Lisu tu.
Achana na mambo ya "ange", hizo ni speculations zako tu, Mbowe mwenyewe kagombea urais mara moja tu akaachana na hiyo habari.
 
Back
Top Bottom