Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Achana na mambo ya "ange", hizo ni speculations zako tu, Mbowe mwenyewe kagombea urais mara moja tu akaachana na hiyo habari.
Uhitaji miwani kujua kuwa mbowe ana urafi wa madaraka.
 
Uhitaji miwani kujua kuwa mbowe ana urafi wa madaraka.
Halafu ukigeuka upande wa pili unasema ni sawa tawa Ayatollah, Putin, Salman wa Saudia n.k kuwa viongozi wa milele!
Kalaghabao.
 
Mbowe kagombea Urais mara moja tu,

Kama tatizo ni Mbowe mbona hamkuwapa huo Urais Slaa, Lowassa au Lissu waliogombea baada yake??
Uenyekiti vipi?

Chawa mpo kazini, hakuna tofauti kati na CCM.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Misukule ya mzee Mbowe inaamini kuwa huyu mzee ni genius aliefali masomo ya secondary kwa bahati mbaya tu ndio maana hakuweza kuendelea na elimu ya juu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Uenyekiti vipi?

Chawa mpo kazini, hakuna tofauti kati na CCM.
Uenyekiti wake unawahusu CHADEMA, sio suala la kitaifa ukizingatia CHADEMA hata sio chama tawala.
Ni utoto au ujinga tu kutaka kulifanya suala la mwenyekiti wa chama kuwa suala la kitaifa. Ukiona uenyekiti wa Mbowe unakukera sana si unahamia tu chama kingine, tatizo ni kwamba katika taifa ukiona rais anafanya mambo yasiyofaa au anang'ang'ani madaraka wengi hawa wa raia hawana fursa na hawawezi kuhama tu nchi kama unavyoweza kuhama chama.
 
Misukule ya mzee Mbowe inaamini kuwa huyu mzee ni genius aliefali masomo ya secondary kwa bahati mbaya tu ndio maana hakuweza kuendelea na elimu ya juu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ana Bachelor of Public Administration kutoka chuo kimoja maarufu sana huko London, nadhan walisoma chuo kimoja na alie wahi kua naibu waziri wa kilimo na baadae kua Waziri mkuu wa Tanzania, wakati hayati Agustino Mrema akisoma bachelor hiyo hiyo online 🐒
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Hilo nalo NENO 😅😂👍
Kila mtu anayehusika itabidi acheke tu japo kimoyomoyo 😳 !

Hii namba 6 huwa ni ya ajabu, kwa maana husomeka tofauti kila upande !!
Mimi Asili yangu ni Mkweli ndio maana kazi za Siasa siziwezi 😳🙌
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
wanatofauti kubwa sana mkuu naweka mfano huu usipoelewa hapa ndo basi, chawa wa mama wamesikia toto afya card imetolewa wanashangilia na kuipongeza kwa nguvu serikali pamoja na kushambulia yeyote atayekosoa kwa aina yeyote ile. mwezi mmoja serikali inafuta uamuzi huo na kuirejesha toto afya card chawa wanaipongeza sana serikali kwa kusikia maoni ya wananchi na kwamba wamefanya jitihada kubwa kuleta ustawi katika afya (ikumbukwe hapa mwazoni wale waliokua wanakosoa waliwaita wametumwa na hawaitakii mema serikali_ na serikali ilipoirudisha wameishukuru kwa kua sikivu) chawa wakiacha hiyo tabia tajwa hapo juu ni halali kutetea chama chao kwenye vitu walivofanya vyema
 
Ana Bachelor of Public Administration kutoka chuo kimoja maarufu sana huko London, nadhan walisoma chuo kimoja na alie wahi kua naibu waziri wa kilimo na baadae kua Waziri mkuu wa Tanzania, wakati hayati Agustino Mrema akisoma bachelor hiyo hiyo online 🐒
Haaa ,embu tuwekee matokea yake ya elimu ya sekondari hapa ya kidato cha sita ,hiyo elimu kwa njia ya posta hata lyatonga mrema alikuwa nayo
 
Kuna tofauti.Kuna wale walioamua kujiita kwa hiyari yao ni chawa.Na wengine ni wapambe tu.Haiwezekani ubaya ubwela wawe sawa na mwiko nyuma.
 
Haaa ,embu tuwekee matokea yake ya elimu ya sekondari hapa ya kidato cha sita ,hiyo elimu kwa njia ya posta hata lyatonga mrema alikuwa nayo
Nazungumzia kusoma elimu ya juu gentleman,

hakusoma online, alisoma cumpus tena full time kabisa gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom