Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Ukiambiwa ukweli kaa kwa utulivu, mkubwa akivuliwa nguo anachutama. Konyagi sinywi, na hata ikitokea nikanywa ni kwa starehe, sio kupunguza stress kama nyie machawa.
unaenda kubadilisha na juice au unawauzia wadau reja reja 🤣

sasa msinywe kwenye vikao halafu mnakuja kwenye press conference na hangover...

maana maamamuzi na maazimio yenu ni pure ya kilevi,

na kwa mwendo huu hakuna mahali mnaenda gentleman 🐒
 
unaenda kubadilisha na juice au unawauzia wadau reja reja 🤣

sasa msinywe kwenye vikao halafu mnakuja kwenye press conference na hangover...

maana maamamuzi na maazimio yenu ni pure ya kilevi,

na kwa mwendo huu hakuna mahali mnaenda gentleman 🐒
Uko na disorder, kwamba kila mtu akipinga machawa ya ccm basi yupo cdm? Haya endelea kusifu na kuabudu gentleman!🤣
 
Kimantiki Erythrocite hana tofauti na Lucas Mwashamba. Wote machawa kwa wanaowaweka mjini.
 
Uko na disorder, kwamba kila mtu akipinga machawa ya ccm basi yupo cdm? Haya endelea kusifu na kuabudu gentleman!🤣
enjoy konyagi kibuwa na kischana kwa kumsifia mwamba wa kaskazini mwenye chuki na ghadhab kama nyumbu dhidi ya wapinzani wenzake huru 🐒
 
wanatofauti kubwa sana mkuu naweka mfano huu usipoelewa hapa ndo basi, chawa wa mama wamesikia toto afya card imetolewa wanashangilia na kuipongeza kwa nguvu serikali pamoja na kushambulia yeyote atayekosoa kwa aina yeyote ile. mwezi mmoja serikali inafuta uamuzi huo na kuirejesha toto afya card chawa wanaipongeza sana serikali kwa kusikia maoni ya wananchi na kwamba wamefanya jitihada kubwa kuleta ustawi katika afya (ikumbukwe hapa mwazoni wale waliokua wanakosoa waliwaita wametumwa na hawaitakii mema serikali_ na serikali ilipoirudisha wameishukuru kwa kua sikivu) chawa wakiacha hiyo tabia tajwa hapo juu ni halali kutetea chama chao kwenye vitu walivofanya vyema
Kweli !
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Uenyekiti wake unawahusu CHADEMA, sio suala la kitaifa ukizingatia CHADEMA hata sio chama tawala.
Ni utoto au ujinga tu kutaka kulifanya suala la mwenyekiti wa chama kuwa suala la kitaifa. Ukiona uenyekiti wa Mbowe unakukera sana si unahamia tu chama kingine, tatizo ni kwamba katika taifa ukiona rais anafanya mambo yasiyofaa au anang'ang'ani madaraka wengi hawa wa raia hawana fursa na hawawezi kuhama tu nchi kama unavyoweza kuhama chama.
Chawa wa Mwenyekiti mnatumia nguvu sana kutetea ujinga.

Hatuwezi kuwapa nchi nyinyi, Ni bora hawa CCM kuliko nyinyi.

Nyinyi ni sumu mbaya sana.
 
Inakera sana vyawa wa chadema kuwaona wapenda CCM ndiyo chawa, hawajitambui kabisa!

Wanachama wa vyama vya siasa Tanzania wanafanana kwa sehemu kubwa.
Kwani Si kuna wanaccm walikuwa CHADEMA wakahamia CCM na Kazi walizokuwa wanazifanya CHADEMA si ndio zilezile wanazifanya CCM.

Angalau mtu kama Lisu unaweza kusema sio Chawa. Yaani anauwezo wa kusema ukweli bila kujali kaufanya Nani.

Mtu yeyote asiyeweza kusema ukweli ni CHAWA tuu

Baadhi ya CHADEMA siku nikawaambia wamemdhalilisha Mwenyekiti wao Mbowe kwa kukataa kutoka kwenye maandamano badala wakiri ukweli wanapinga.

Mtu asiyeweza kukubali ukweli wote anatofauti gani na kina Lucas Mwashambwa
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Kuna tofauti kubwa. Chawa wa Mbowe wanasifu yale mambo bora anayosema na kutenda. Akikosea wanaminya kimya. Wanajikausha kama hakuna kilichotokea. Sijui wanapata faida gani kwa kazi hiyo.

Chawa wa Mama akikosea wanahaha kutetea na kuhalalisha kosa. Akipiga u-turn nao wanabadili biti kwenda na mtazamo mpya. Akipatia, wanabubujikwa na machozi ya sifa kabisa. Kisha wanasikilizia mchongo wa teuzi. Wengine wanaweka namba za simu na email kabisa.

Mbowe huwa anakosea, hastahili uongozi wa milele wala hajang'ang'ania uongozi. Labda wanaompigia kura waulizwe inakuwaje. Au kama kuna wizi wa uchaguzi wa mwenyekiti isemwe. Wako mashabiki wa CHADEMA kibao hapa JF wenye kujadili hali halisi ya hicho chama bila ushabiki. Wafuatilie. Usipoteze muda na machawa wa Mbowe. Utapotea.

Btw, wewe ni CHADEMA?
 
Back
Top Bottom