Hivi Chawa wa Mama wana tofauti gani na kina Erythrocytes, Martin Masese na wapinzani wengine?

Mimi ni msema kweli ambaye huusema ukweli bila kupepesa macho au kuchagua wa kumwambia ukweli.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?


Tatizo ni kwa uchawa ni unafiki. Huwezi kuwa mnafiki kama unapigania haki na kuongea ukweli. Lakini mtu anasema uchaguzi ulikuwa huru huyu ni chawa au mjinga. Huwezi kulinganisha hawa. Sio wote wanaotetea haki na demokrasia Tanzania ni chadema lakini ukitetea utekaji, wizi wa kura, kuzuia katiba mpya wewe ni chawa maana ni mnafiki yaani unapinga vitu ambavyo ni kwa manufaa ya nchi. Tafuta wanafiki hapa utajua machawa ni wakina nani
 
Vipi kuhusu anayesema Mwenyekiti aendelee huku kakaa madarakani zidi ya 20 kwenye chama cha Demokrasia?
 
Chawa ni Parasite lazima afaidike kitu kutoka kwa Host
 
Halafu ukigeuka upande wa pili unasema ni sawa tawa Ayatollah, Putin, Salman wa Saudia n.k kuwa viongozi wa milele!
Kalaghabao.
Usitoke nje ya mada hapa tuna mjadili mbowe.
Mbona Netanyau, Markel na malikia Elizabeth huwataji ?
Kiongozi kuwa kuongoza muda mrefu na kuwa mrafi wa madaraka ni vitu viwili tofauti.
Mbowe hata kuwa kuongozi wa nchi haja wahi lakini ana uchu wa madaraka.
Alafu suala la kiongozi aongoze muda gani hilo ni suala la ndani ya nchi mm hainihusu , mm ninawakubali kwa sababu ya sera zao kimataifa.
 
Wakuu kuna CCM isiwe dhambi wala kuwa Upinzani isiwe dhambi.

Ni lini Erythrocytes au MMM wameacha kumsifia na kumtetea Mbowe?

Je, Mwenyekiti hakosei? Je, anastahili kuwepo kwenye uongozi milele?

Wanachadema hatulioni hili? Au sote ni machawa?
Hao ni chawa wa Mbowe!
 
chama cha mapinduzi kinawapenzi kote ulimwenguni ndugu

niwakumbushe chadema zoezi la uboreshaji daftari na uwandikishaji linaendelea kuchanja mbuga endeleni kumangamanga mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…