Hivi Couple za humu JF ziliishia wapi?



Bila kumsahau mheshimiwa sana forex hahaaaaaaaaaaaa joke
 
Tulisema wataachana tu, dadadeeki awamu ya kishindo hii!
 
Mm huwa najiuliza hivi me na ke hawawez kuwa friends tu bila kufunuana wakuu?
Wapo ila binafsi hii imenishinda kabsa
yaani nikiwa na rafiki wa kike lazima tuishie kwenye kitanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…