Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu babe, sometimes nakua busy mno, ila tuko pamojaJf sikuiz mala moja kwa mwezi
Why? Au ndio...
[emoji2445][emoji2445][emoji2445]Tangu mwaka juzi unatafuta tuu aarh, nakubwaga mimi[emoji2960]
Laaziz wangu, kipenzi cha moyo wangu njoo umjibu Gluk
My expectations were exceeded. I couldn't ask for more 🥰
Hapo kuna mawili
Ukiona kapo ziko motomoto sana humu jeiefu, ujue hao watu hawajakutana laivu bado. Siku wakikutana na kukuta hawafanani kabisa na zile profaili pikcha wanazoweka humu mfano unakuta mdada kaweka picha ya beyonce kumbe yeye yupo kama whoopi goldberg, au mkaka kaweka picha ya will smith wakati ni kijeba kifupi, kina upara na sura kama mhogo mchungu, mahusiano huwa yanakatika ghafla na hautawasikia tena!!
Au wameshakutana na wamekulana, na kawaida watu wakishakulana ule msisimko kunakua hamna tena hapo kila mtu anaanza kutafuta sababu ya kumuacha mwenzake, atakaewahi kuipata ndio mshindi.
Njoo tucheke wote basi
Tucheke hapa
Hapa macho ya watu mengi twende kule chemba
daddy Lol! umejuaje?Zimehamia nyuma ya kibodi...