Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

View attachment 2764941
Angalia vizuri mama 😅
Njia ya mwongo ndefu😆😆😆
AF3331EE-6351-427D-AC87-B7480B893069.png
 
Haha juz nimetongozwa na mtoto anayetosha kuwa mwanangu. Sijui ujasiri huu kautolea wapi nlishangaa sana. Kwanza kalinipigia simu nipo kwenye bus nlivogundua maongezi haya ni magumu ikabidi nimwambie nitext nipo kwenye bus, sms fupi na rahisi kuelewa yaan nikama mtu anaomba maji ya kunywa "nataka tuwe marafiki" hapa nikirudi nataka nimtie adabu sipendi mashara mie. Nitampelekea moto mpaka aite maji mma
Kwahiyo unamtia mwanao?
 
Hivi DEREVA mwenye uzoefu Kwa kuendesha Magari Mengi Kwa mda mrefu na GARI lililoendeshwa Kwa Muda mrefu na watu wengi.. Ni kipi kinakuwa na thamani sokoni DEREVA au GARI ambayo mileage inasoma 999999999⁹⁹999..?[emoji55]‍[emoji2418] [emoji23]
Hapo umenena, maana kaandika akiachwa, ataumia endapo kama mwanaume atakuwa tajiri, mawazo ya kimalaya malaya kabisa.
 
Back
Top Bottom