Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Pole😆😆Kuna namna 😶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole😆😆Kuna namna 😶
😐wameanza na kunieditia kweli wamedhamiria kutufarakanisha 😂 wapewe maua yaoNaona umeedit😁😁👊👊👊
Nilishachungulia muda sana😁
Ahsante japo unajua sina uwezo huo wa kukusahau 😅Pole😆😆
Hivi DEREVA mwenye uzoefu Kwa kuendesha Magari Mengi Kwa mda mrefu na GARI lililoendeshwa Kwa Muda mrefu na watu wengi.. Ni kipi kinakuwa na thamani sokoni DEREVA au GARI ambayo mileage inasoma 999999999⁹⁹999..?[emoji55][emoji2418] [emoji23]Kama wewe
Wamefanikiwa😆😆😆😐wameanza na kunieditia kweli wamedhamiria kutufarakanisha 😂 wapewe maua yao
Uwezo yuhavuAhsante japo unajua sina uwezo huo wa kukusahau 😅
Lakini 😅Njia ya mwongo ndefu😆😆😆
View attachment 2764977
Mbona mim sijui kama nnao huo uwezoUwezo yuhavu
Watashindwa, watashindana nasi lakini hawatoshindaWamefanikiwa😆😆😆
Achana nae huyo, njoo kwangu Chakorii, uwe my wangu.Akuuuu..mpaka ukumbushwe kuwa unamai wako chakorii😌😌niwache
Tumeona ni iPhoneNjia ya mwongo ndefu[emoji38][emoji38][emoji38]
View attachment 2764977
Wengi ni wanaume wenye ID za kike.Una hakika kama hmu ndani JF kuna wanawake? Nliwahi ambiwa hmu utapata MASHANGAZI ....... hata hizo comment zao zipo 50/50
mimi niwe watatu 🫣Of course, I did this to my 2 ex boyfriends..Napenda kutoa random kiss.
Haya kama umeshaiona kaa kwa utulivuTumeona ni iPhone
Kwahiyo unamtia mwanao?Haha juz nimetongozwa na mtoto anayetosha kuwa mwanangu. Sijui ujasiri huu kautolea wapi nlishangaa sana. Kwanza kalinipigia simu nipo kwenye bus nlivogundua maongezi haya ni magumu ikabidi nimwambie nitext nipo kwenye bus, sms fupi na rahisi kuelewa yaan nikama mtu anaomba maji ya kunywa "nataka tuwe marafiki" hapa nikirudi nataka nimtie adabu sipendi mashara mie. Nitampelekea moto mpaka aite maji mma
Hapo umenena, maana kaandika akiachwa, ataumia endapo kama mwanaume atakuwa tajiri, mawazo ya kimalaya malaya kabisa.Hivi DEREVA mwenye uzoefu Kwa kuendesha Magari Mengi Kwa mda mrefu na GARI lililoendeshwa Kwa Muda mrefu na watu wengi.. Ni kipi kinakuwa na thamani sokoni DEREVA au GARI ambayo mileage inasoma 999999999⁹⁹999..?[emoji55][emoji2418] [emoji23]