Kama utampata huyo dada poa na kwenda naye kufanya vipimo itakuwa vema zaidi, ila dawa hizo hazipatikani pharmacy lazima uende hospital km una rafiki yako ambaye ni health personnel ndo muda wa kumtafuta huu. Hakikisha haizidi saa 72 kabla hujaanza PEPOya eeh jana mambo km vile hayakuenda vizuri. Nlikua nasafisha rungu kwa izi dada poa asee si nkashtuka ndomu imetoka na kubaki ndani ya k bila mi kujua, bizee naendelea na kazi.
Sasa nina wasiwasi ule mda ilivovuka nilikua na direct contact na fluid zake asee. Em nisaidieni kupata dawa za PEP ili nikae kwa amani angalau. Vipi pharmacy wanauza au ?
Pole sana huzipati pharmacy ila hospitali.uko wapi ?Oya eeh jana mambo km vile hayakuenda vizuri. Nlikua nasafisha rungu kwa izi dada poa asee si nkashtuka ndomu imetoka na kubaki ndani ya k bila mi kujua, bizee naendelea na kazi.
Sasa nina wasiwasi ule mda ilivovuka nilikua na direct contact na fluid zake asee. Em nisaidieni kupata dawa za PEP ili nikae kwa amani angalau. Vipi pharmacy wanauza au ?
SIngida mkuuPole sana huzipati pharmacy ila hospitali.uko wapi ?
wakutulie nyie mna gharama sana.Mnakwama wapi tafuta demu mmoja tulia nae huyo ......! Hizo dada poa mnazotafutaga mnatupiwa hadi majini shauri zenu
Nilidhani uko mbeya nikusaidieSIngida mkuu
anza na tabs 12 za Tricozole fasta kabla siku haijaisha, Kataa Gono
Acha uongo bwanaIpo pharmacy kubwa zipooo
Usiwachomee wenziooo oohoo..!! Wanauza kimagendo haooIpo pharmacy kubwa zipooo