NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Pep zipo uingereza pale man city kwa guardiolla.KUWA MAKINI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha dahProf mwwnyeewe alikuwa mwingi kinoma atuache tu...
Mkuu ulichukua huyo dada pale kirima au ubungo??SIngida mkuu
Tatizo binadamu wabishi mnoMnakwama wapi tafuta demu mmoja tulia nae huyo ......! Hizo dada poa mnazotafutaga mnatupiwa hadi majini shauri zenu
CHeap are expensive🥲wakutulie nyie mna gharama sana.
Naunga mkono japo kinachowakimbiza wanaume ni tabia za wadada kuwafanya wanaume ni ATM na hii ndio hufanya wapende hit and run kutoka kwa dada poa.Mnakwama wapi tafuta demu mmoja tulia nae huyo ......! Hizo dada poa mnazotafutaga mnatupiwa hadi majini shauri zenu
Hapana sio kimagendo wameruhusiwa na kibali kipo wanacho hakuna dawa Kwa Hilo duka linauzwa kimagendo wangesema. Ipo wazi kwakila mtu wanasemaga tu Moshi , Arusha wamepewa vibali kama ndio hamna wamebadilisha mfumo.Usiwachomee wenziooo oohoo..!! Wanauza kimagendo haoo
Wanaume hatuwezi kutulia na mmoja tunataka kubadilisha ladha tofauti tofauti ndo raha yetuMnakwama wapi tafuta demu mmoja tulia nae huyo ......! Hizo dada poa mnazotafutaga mnatupiwa hadi majini shauri zenu
Mkuu ukishakojoa, ndomu inatoka kirahis sana htkm ukiwa na mashine km pundaMkuu mbona Nina mashaka na wewe katika maumbile yako, una kibamia au..? Ndomu haiwezi kuvulika kirahis hvyo wakati uume bado umesimama na unatwanga kwenye kinu labda case ya kupasuka.. Mm sio mtumiaji sana wa ndom Ila kwa nyakati nilizowahi kutumia ndo hii case ya kuvulika wakati unatwanga ni ngumu mno
Shida hata wakioa watachepuka nadhan ni hulka ya mtu tuNaunga mkono japo kinachowakimbiza wanaume ni tabia za wadada kuwafanya wanaume ni ATM na hii ndio hufanya wapende hit and run kutoka kwa dada poa.
Ungeshauri waoe kabisa ila hiyo ya Kutulia na mmoja kwa kiafrika bado ni ndoto .....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dj walete wachangiaji kwa wimbo wa ferooz- starehe