Hivi dawa za PEP zinapatikana kwenye pharmacy hapa Tz?

Hivi dawa za PEP zinapatikana kwenye pharmacy hapa Tz?

Mkuu mbona Nina mashaka na wewe katika maumbile yako, una kibamia au..? Ndomu haiwezi kuvulika kirahis hvyo wakati uume bado umesimama na unatwanga kwenye kinu labda case ya kupasuka.. Mm sio mtumiaji sana wa ndom Ila kwa nyakati nilizowahi kutumia ndo hii case ya kuvulika wakati unatwanga ni ngumu mno
 
Oya eeh jana mambo km vile hayakuenda vizuri. Nlikua nasafisha rungu kwa izi dada poa asee si nkashtuka ndomu imetoka na kubaki ndani ya k bila mi kujua, bizee naendelea na kazi.

Sasa nina wasiwasi ule mda ilivovuka nilikua na direct contact na fluid zake asee. Em nisaidieni kupata dawa za PEP ili nikae kwa amani angalau. Vipi pharmacy wanauza au ?
Jiangalie kwanza una michubuko
 
Ingekua inapatikana kirahisi hvyo basi kila mtu angekua nayo

Kwa maelezo yako inaonyesha una kibamia na kibamia kusababisha michubuko ni ngumu hapo deal na UTI na Gono
 
YAANI KUNAHITAJIKA THREAD YA WALIOWAHI KUKUMBWA NA GONO AMA KISONONO WTUPE NA SOLN IKITOKEA ATUHITAJI KUJATENA HUKU MNAMALIZANA NA PHARMACY
 
Back
Top Bottom