Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?

Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?

Magenge wenzake kama hao wa leo ndio wanamwita hivyo.

Lakini Choice mnafaidika nini mtu akifa?
Nani anaefaidika? Umewahi niona nashadidia ujamaa?

Nyie washaniki wa kina Lisu and co unadhani mkishika Dola Kwa bahati mbaya mtawafanya nini Wapinzani wenu Kwa hizo itikadi zenu za kipuuzi?

Mwisho wanasema.mdomo Huwa unaponza mwili,kama huna Nguvu chunga mdomo wako.
 
Hatari sana hii awamu ya sita.ukikosoa tu unapotezwa.
Kwanza uwe kundini kwenye rangi yetu ya mimea, then kukosoa kwa heshima na staha, nyuma ya keyboard, with fake ID na kutoa solutions ni nzuri zaidi , ukiwa na D mbili utaelewa.
 
Back
Top Bottom