Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Chadema Mungu anawaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe watekaji na wauaji wanajulikana?Wanamnyatia nyatia kwa nyuma mkumbushe na yule bwana matusi kule X awamu hii kaja na matusi mapya mapya
🤣 🤣 🤣Acid mbali Tz ni kubwa unaweza kuchimbiwa kaburi kwenye mapori huko na ikaisha bila mtu kujua
🤔🤔🤔Kijana ameshazikwa, Inasikitisha sana.
Kuna vitu nimetaka kuandika, ila nimefuta. SAD
😲😲😲Kijana ameshazikwa, Inasikitisha sana.
Kuna vitu nimetaka kuandika, ila nimefuta. SAD
🤔🤔Soka ,dogo aliyechoma picha yake yenye image inayotaka kufanana na SSH wote hao washamalizwa kama alivyomalizwa Ben saanane.
Inasikitisha sana kutoa uhai wa mtu kisa tu umetofautiana naye mtazamo.
😲😲😲Wamemnyonga
😲😲😲Dogo arudi tena kashatumbukizwa kwenye Asidi Muda mrefu
Anafaa, hafahamu chuki zenu. Uwe unasoma.unasema hata raisi hafahamu haya mambo... maana yake anafaa au hafai mkuu?
Mpumbavu babako na mamako fala wewe.We ndio mpumbavu, mitano ni lazima, serikali yyte duniani haiwezi kucheka na vihatarishi vya usalama wa nchi. Tiini mamlaka, ishi km raia mwema. Ukijifanya mjuaji lazima upotezwe we bwege
Yupo nchi ganYupo nasikia hayupo nchini
MuuajiWewe na nani?
Fanya home workYupo nchi gan
Serikali ya ma IBILISI hii, CCM wajaa laanaZa ndani kabisa zinasema Soka katupwa kisiwa cha mamba kile kile alichotupwa Ben Sa8.
Mara zote hua nasema ukianza uanaharakati katika siasa za nchi yoyote na ukaanza kupata pesa kupitia uanaharakati wako jua tayar wewe ni target.... Pesa chafu ni nyingi sana upande huo na huambatana na jumbe za uhainiCha kujiuliza ni kwamba soka,Ben saanane walikua wamebeba Siri Gani kubwa Hadi wapotee bila KESI ya mahakamani!!!?
Yaani kwanini washughulikiwe kimafia vile bila Sheria kuchukua mkondo wake!!?he kosa lao ni la kihaini!!?au kuhatarisha usalama was jamhuri!!?
Haya ni baadhi ya maswali ya wanajamhuri huwa tunajiuliza pia!
IpiFanya home work