Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidimbwi cha acidPipa la Asidi
Mzee Kibao alikua na ujuaji gani na alikua anatumika kama leso?TUPUNGUZE UJUAJI NA KUTUMIKA KAMA LESO
Inasikitisha sana ,madogo hawana effect yeyote ,yaani kutoa maoni tu wanaenda kumalizwa.Wametumbukizwa kwenye pipa la Asidi kibari Mkemia Mkuu
hi comment kuna kitu nilitaka kusema ila ngoja kwanza nimeze mate mengi tu siku ipite.Acid mbali Tz ni kubwa unaweza kuchimbiwa kaburi kwenye mapori huko na ikaisha bila mtu kujua
Hii Habari Umeniumiza sana aisee!!!Nimemlilia Mungu njia nzima kwa hili .Kijana ameshazikwa, Inasikitisha sana.
Kuna vitu nimetaka kuandika, ila nimefuta. SAD
Cha kujiuliza ni kwamba soka,Ben saanane walikua wamebeba Siri Gani kubwa Hadi wapotee bila KESI ya mahakamani!!!?
Yaani kwanini washughulikiwe kimafia vile bila Sheria kuchukua mkondo wake!!?he kosa lao ni la kihaini!!?au kuhatarisha usalama was jamhuri!!?
Haya ni baadhi ya maswali ya wanajamhuri huwa tunajiuliza pia!
Na vile habari nilivyoenda viral mpaka DW na BBC wakareport nikajua hawarudi hawa, mtu pekee nilikuwa naimani wanaweza muacha ni yule aliyechoma picha ila hawa wa Chadema, niliamini hawarudi. Chaula angeweza kupigwa biti na asiongee ila ni tofauti kwa hawa wengine.Soka ndiyo imeisha hiyo.
Kwani Tanzania unahitaji kufanya kosa kubwa kumalizwa?
Huhitaji kosa kubwa.
Wanakufanya mfano tu kwa wengine iki watu wasijione wako huru sana.
Mkijifikiria mko huru tu. Mnakumbushwa.
"Not to that extent" alishasema Magufuli.
Au mmesahau?
Vipi wale wa kariakooZa ndani kabisa zinasema Soka katupwa kisiwa cha mamba kile kile alichotupwa Ben Sa8.
Aisee inasikitisha sana.Deusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena.
Je ndio washamalizana na Soka?
Pia soma
Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
Serikali ikiamua inawadaka hata kesho. Something is wronghuku kwetu kuna washikaji wetu wanne walienda dar kununua mizigo ya biashara,...hawajarudi mpaka leo ni zaidi ya miezi saba mpaka sasa,.. police nchi nzima inataarifa,....kubarikiwa kwa haya matukio na serikali, kumetengeneza madhingira ya hofu kwa jamii pia imekuwa ni fursa kwa watu wenye nia ovu