Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?

Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?

hi comment kuna kitu nilitaka kusema ila ngoja kwanza nimeze mate mengi tu siku ipite.
Elewa neno pipa la Asidi ardhi tu ukifukiwa ukiwa hai ni pipa la Asidi tosha huchomoki sijasema wale waliofukiwa na kifusi cha ghorofa lakini
 
Hivi mnajua chadema huwa wanatekana muulizeni Dr slaa
 
Ndiyo ameuwawa na wale wenzake alioambatana nao kuficha ushahidi. Ila yuko Mungu Shahidi mwaminifu.
Serikali ilitumia bilion 1 kuzima maandamano ya kumdai Soka na wenzake kwakuwa there was no way ya kuwapata popote.
Imagine serikali inatumia zaidi ya bilioni moja kuzima maandamano
🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom