Binadamu hasa mtu mweusi ni mshenzi sana.Soka ,dogo aliyechoma picha yake yenye image inayotaka kufanana na SSH wote hao washamalizwa kama alivyomalizwa Ben saanane.
Inasikitisha sana kutoa uhai wa mtu kisa tu umetofautiana naye mtazamo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu hasa mtu mweusi ni mshenzi sana.Soka ,dogo aliyechoma picha yake yenye image inayotaka kufanana na SSH wote hao washamalizwa kama alivyomalizwa Ben saanane.
Inasikitisha sana kutoa uhai wa mtu kisa tu umetofautiana naye mtazamo.
Mtu mweusi ni rangi ya hovyo.. na moyo wake uko hivyo hivyo.Binadamu hasa mtu mweusi ni mshenzi sana.
Bado kuna mtu anaimani?
Pamoja na yote lakin hiyo siyo approach nzuri kushughulika na wapinzani wako.TUPUNGUZE UJUAJI NA KUTUMIKA KAMA LESO
Elewa neno pipa la Asidi ardhi tu ukifukiwa ukiwa hai ni pipa la Asidi tosha huchomoki sijasema wale waliofukiwa na kifusi cha ghorofa lakinihi comment kuna kitu nilitaka kusema ila ngoja kwanza nimeze mate mengi tu siku ipite.
Akitoka Animal anafuata Kunta KinteMtu mweusi ni rangi ya hovyo.. na moyo wake uko hivyo hivyo.
Unaogeshwa hapo km mtoto mchanga mpaka unapukutisha mifupa yoteKidimbwi cha acid
HahaaahaaAkitoka Animal anafuata Kunta Kinte
Ukipiga kelele kidogo tu kesho inakua zamu yakoHalafu kuna wapumbavu wanasema mitano tena,damu za hawa watu zinalia na kamwe haziwezi kumuacha salama,eti ameua sisimizi tu.
Actually it is a state of terror.Hii inatukumbusha kwamba tz is still a communist state.
Inaumiza sana.Dogo chaula daaa rest in peace
Ni Mafwele na genge lakeNi kama Sativa tu ambaye alisalimika kwa muujiza, maana walimpiga risasi akazimia halafu wakamtelekeza ndani ya msitu wenye wanyama wakali kama fisi, simba, chui, mamba, nk..
Waliohusika kwa Sativa kuna uwezekano wanafahamu kilichomtokea Soka
Hii chuki inayopandwa ni KUBWA Sana Sana, kuna siku watoto wao wataanza kufanyiwa hivi pia..... MUNGU atusaidie tusifike hukoDeusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena.
Je ndio washamalizana na Soka?
Pia soma
Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
Huyu nae ni Mtanzania, nimekunanihii Sana!Hivi mnajua chadema huwa wanatekana muulizeni Dr slaa
Inaumiza sana. Kiukweli sikutegemea kutokea ya Ben Saanane katika awamu hii. Ni mambo yaliyopaswa kubaki katika kumbukumbu pekee.Deusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena.
Je ndio washamalizana na Soka?
Pia soma
Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
🤔🤔🤔Ndiyo ameuwawa na wale wenzake alioambatana nao kuficha ushahidi. Ila yuko Mungu Shahidi mwaminifu.
Serikali ilitumia bilion 1 kuzima maandamano ya kumdai Soka na wenzake kwakuwa there was no way ya kuwapata popote.
Imagine serikali inatumia zaidi ya bilioni moja kuzima maandamano