KWANI HAYA MAJAMBAZI YATAISHI MILELE? NAYO YATAULIWA NA MUNGU TENA VIFO VIBAYATUPUNGUZE UJUAJI NA KUTUMIKA KAMA LESO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWANI HAYA MAJAMBAZI YATAISHI MILELE? NAYO YATAULIWA NA MUNGU TENA VIFO VIBAYATUPUNGUZE UJUAJI NA KUTUMIKA KAMA LESO
Hali imekuwa mbaya sana chini ya utawalaUkipiga kelele kidogo tu kesho inakua zamu yako
Waganga na wachawi ni scam.Kiti kimepita nae chini ya SITII.
Sijui kwann Albadili na waganga hawakusaidia kijana wetu arudi salama
Ccm ni Authoritarianism
Na yeye mnataka kumuua?Inaumiza aisee!! Mdude awe makini
NDIO MAANA WATU WANAMTAKA LISUKwa njisi serikali ilivyo kimya kwenye hili hakuna Imani tena
Kweli kabisa.Waganga na wachawi ni scam.
Wanajitapa wana uwezo wa kufanya maajabu harafu wanashindwa vitu vya kawaida.
Pengine kizimkazi amemchukua kumfanyia matambiko. Nasikia na yeye ni fundiDeusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena.
Je ndio washamalizana na Soka?
Pia soma
Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
Kuna mtu aliwahi sema, kile kiti kinanuka damu nyingi sana.
Mbowe hajali kitu ili mradi ccm wamemuahidi kumsaidia uenyekitiDeusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena.
Je ndio washamalizana na Soka?
Pia soma
Soka yupo wapi? Tuambieni kama mmemficha au mmemuua tujue moja
Ni mkakati wa dola kuwatisha vijana kuacha kuipinga serekal na kuingia kwenye siasa,Cha kujiuliza ni kwamba soka,Ben saanane walikua wamebeba Siri Gani kubwa Hadi wapotee bila KESI ya mahakamani!!!?
Yaani kwanini washughulikiwe kimafia vile bila Sheria kuchukua mkondo wake!!?he kosa lao ni la kihaini!!?au kuhatarisha usalama was jamhuri!!?
Haya ni baadhi ya maswali ya wanajamhuri huwa tunajiuliza pia!
Ni mkakati wa dola kuwatisha vijana kuacha kuipinga serekal na kuingia kwenye siasa,
Lakini tumeshtushwa na Habari kuwa aliyetoa Habari rushwa ya abdul ndani ya cdm ni marehemu
Pia Kuna connection ya Siri kati ya dola na cdm inayowapoteza wanaharakati
Huwa siamini kama thestate Huwa inahusika na haya makitu!Ni mkakati wa dola kuwatisha vijana kuacha kuipinga serekal na kuingia kwenye siasa,
Lakini tumeshtushwa na Habari kuwa aliyetoa Habari rushwa ya abdul ndani ya cdm ni marehemu
Pia Kuna connection ya Siri kati ya dola na cdm inayowapoteza wanaharakati
Inaumiza aisee!! Mdude awe makini
Ukigundulika una kipaji na kinywa chenye ushawishi na ni mwanasiasa mpinzani umekwisha, ccm kuna watu kazi ni hiyo, historia inaonyesha hivyo mfano mzuri ni Alfonsi Mawazo .
Tuendelee kuwaombe akina Soka, Mbise na MziraiNDIO MAANA WATU WANAMTAKA LISU
Ndivyo ilivyo,hata yule mjamaa wenu mnaemuitaga Mtakatifi aliwazima wengi sanaHii inatukumbusha kwamba tz is still a communist state.
Magenge wenzake kama hao wa leo ndio wanamwita hivyo.Ndivyo ilivyo,hata yule mjamaa wenu mnaemuitaga Mtakatifi aliwazima wengi sana