ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Jan 1, 2025 #121 Bush Dokta said: Magenge wenzake kama hao wa leo ndio wanamwita hivyo. Lakini Choice mnafaidika nini mtu akifa? Click to expand... Nani anaefaidika? Umewahi niona nashadidia ujamaa? Nyie washaniki wa kina Lisu and co unadhani mkishika Dola Kwa bahati mbaya mtawafanya nini Wapinzani wenu Kwa hizo itikadi zenu za kipuuzi? Mwisho wanasema.mdomo Huwa unaponza mwili,kama huna Nguvu chunga mdomo wako.
Bush Dokta said: Magenge wenzake kama hao wa leo ndio wanamwita hivyo. Lakini Choice mnafaidika nini mtu akifa? Click to expand... Nani anaefaidika? Umewahi niona nashadidia ujamaa? Nyie washaniki wa kina Lisu and co unadhani mkishika Dola Kwa bahati mbaya mtawafanya nini Wapinzani wenu Kwa hizo itikadi zenu za kipuuzi? Mwisho wanasema.mdomo Huwa unaponza mwili,kama huna Nguvu chunga mdomo wako.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 1, 2025 #122 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
Moshi25 JF-Expert Member Joined May 6, 2022 Posts 2,555 Reaction score 4,118 Jan 1, 2025 #123 Sappire said: Hatari sana hii awamu ya sita.ukikosoa tu unapotezwa. Click to expand... Kwanza uwe kundini kwenye rangi yetu ya mimea, then kukosoa kwa heshima na staha, nyuma ya keyboard, with fake ID na kutoa solutions ni nzuri zaidi , ukiwa na D mbili utaelewa.
Sappire said: Hatari sana hii awamu ya sita.ukikosoa tu unapotezwa. Click to expand... Kwanza uwe kundini kwenye rangi yetu ya mimea, then kukosoa kwa heshima na staha, nyuma ya keyboard, with fake ID na kutoa solutions ni nzuri zaidi , ukiwa na D mbili utaelewa.
I implicit memory JF-Expert Member Joined Nov 14, 2024 Posts 806 Reaction score 926 Jan 1, 2025 #124 Mmh makubwa
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 4, 2025 #125 .
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 6, 2025 #126 Tunafuatilia bado
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 28, 2025 #127 Dah mwisho wa siku haki lazima ipatikane.