Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu

Hii humaanisha nini?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu, Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia, na hilo neno terrorist linatimika sanaa kwa Tanzania kwasbb raia wao wengi wana elimu duni.
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Dini yeni inahitaji reforms kubwa sana, hamuwezi kuendelea kuishi kama bado mko karne ya saba bila kuleta tafrani.
 
Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu, Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia, na hilo neno terrorist linatimika sanaa kwa Tanzania kwasbb raia wao wengi wana elimu duni.
Mkuu, embu fafanua vizuri zaidi

Kule Ukraine, wao si walivamiwa kijeshi?

Kuvamiwa kijeshi napo ni ugaidi kumbe..!
 
Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu, Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia, na hilo neno terrorist linatimika sanaa kwa Tanzania kwasbb raia wao wengi wana elimu duni.
Historia ina kawaida ya kujirudia; hili la VITA vya msalaba I guess huenda sio story za kweli; why matukio yale ya Crusaders hayajawahi kujirudia? Kuhusu Russia, I think nenda katafute historia yao vizuri, Russia ya Ukominist imeua sana Wakristo, imetesa sana Wakristo, Wakristo wanavoteseka kwenye nchi za Kiislam hasa zile za siasa kali kama Iran, Yemen nk ndio ilivokua huko, or you can relate with what's going on in North Korea, nenda google kam search huyu mtu Richard Wambrand utayaona mengi huko; kwa ujumla Wakristo wameteswa from the beginning of their faith to-date. Marekani, nk wanapigana vita in the name of DINI? Umewahi kusikia wakimsifu Yesu baada ya ushindi wao? Vikundi vya Kiislam vyote everywhere vikipigana vita na kuua utasikia maneno haya, "Allah akbaru" "Takribir" nk, maneno hayo yote ni ya kumtukuza mungu wenu, tofauti na Ukristo. Kubaliana na ukweli ambao upo dhahiri, kuhusu ugaidi unasema eti ni Tanzania? Stupid, neno lenyewe tumeanza kulitumia baada ya Osama kufanya yake hapa halafu unadai sisi tunalitumia sisi kwasababu hatuna elimu? Why huaga mna ongeaga uongo? Kwa faida ya nani? mungu? Neno gaidi, ugaidi tumelitoa huko unakodhani wana elimu, tukatunga hadi na sheria then why useme eti kwasababu sisi hatuna elimu?
 
1.Yule gaidi aliyeivamia Tanzania mwaka 1978 alikuwa dini ipi? 2. Waliolipua balozi za US Dar & Nairobi 1998 walikuwa dini ipi? 3. Waliolipua nyumba za ibada Arusha na kuua viongozi wa dini Zanzibar mwaka 2013 walikuwa dini ipi? tusiende mbali, tutumie matukio ya kigaidi kuwahi kutokea Bongo kujibu huu uzi.
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Kwani Iran anasemaje kuhusu hili?
 
Historia ina kawaida ya kujirudia; hili la VITA vya msalaba I guess huenda sio story za kweli; why matukio yale ya Crusaders hayajawahi kujirudia? Kuhusu Russia, I think nenda katafute historia yao vizuri, Russia ya Ukominist imeua sana Wakristo, imetesa sana Wakristo, Wakristo wanavoteseka kwenye nchi za Kiislam hasa zile za siasa kali kama Iran, Yemen nk ndio ilivokua huko, or you can relate with what's going on in North Korea, nenda google kam search huyu mtu Richard Wambrand utayaona mengi huko; kwa ujumla Wakristo wameteswa from the beginning of their faith to-date. Marekani, nk wanapigana vita in the name of DINI? Umewahi kusikia wakimsifu Yesu baada ya ushindi wao? Vikundi vya Kiislam vyote everywhere vikipigana vita na kuua utasikia maneno haya, "Allah akbaru" "Takribir" nk, maneno hayo yote ni ya kumtukuza mungu wenu, tofauti na Ukristo. Kubaliana na ukweli ambao upo dhahiri, kuhusu ugaidi unasema eti ni Tanzania? Stupid, neno lenyewe tumeanza kulitumia baada ya Osama kufanya yake hapa halafu unadai sisi tunalitumia sisi kwasababu hayuna elimu? Why huaga mna ongeaga uongo? Kwa faida ya nani? mungu?
Mkuu pole sana umeja sana masuala ya Imani hayahitaji ghathabu tulia kwanza, Spain ilikua nchi ya dini yetu hao ma terrorist waliua waumini bila huruma mwaka 900.ad kipindi cha abbasids......amna anae lisemea mpaka leo watu wa juzi juzi ndo wanaitwa terrorist ho my God lol.
 
1.Yule gaidi aliyeivamia Tanzania mwaka 1978 alikuwa dini ipi? 2. Waliolipua balozi za US Dar & Nairobi 1998 walikuwa dini ipi? 3. Waliolipua nyumba za ibada Arusha na kuua viongozi wa dini Zanzibar mwaka 2013 walikuwa dini ipi? tusiende mbali, tutumie matukio ya kigaidi kuwahi kutokea Bongo kujibu huu uzi.
Alqaida, Hezbollah,boko haram, alshabab,Isis. Hawa wote ni dini yake
 
Pia watakunywa asari uko mbiguni na kwaya masaa 24, dini yetu raha tupu unajiuliza hizo nyuki zakutengeneza asari ndo zitatangulia binguni?
Yupi mwendawazimu kumzidi mwenzake kati ya anayeamini mbinguni kuna asali na kuimba choir na anayeamini mbinguni kuna bikra 70+ na mito ya pombe?

Yaani kabisa peponi kuna ngono,kuna kulewa?sasa kule miguno ya mahaba huku walevi wanatukana ni Mungu gani anaruhusu ujinga huo?hii mambo tuishi kwa kuheshimiana tu hakuna mjanja kihiivyo.
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Ugaidi ni nini kwanza ndugu mtoa mada
 
Mkuu pole sana umeja sana masuala ya Imani hayahitaji ghathabu tulia kwanza, Spain ilikua nchi ya dini yetu hao ma terrorist waliua waumini bila huruma mwaka 900.ad kipindi cha abbasids......amna anae lisemea mpaka leo watu wa juzi juzi ndo wanaitwa terrorist ho my God lol.
Uislam umeanza kwa vita hadi sasa hvi ni vita; as I said, historia ina kawaida ya kujirudia, why kwa Wakristo hayajirudii? Mnaonkoteza story za vijiweni na kuviamini. Lini umewahi kusikia Wakristo wanapigana in the name of their dini? Na baada ya kuua ukawasikia wakimshukuru Mungu wao? Wakristo wanaweza kufanya mauaji, wakapigana hata vita BUT hawafanyi hivo kwa jina la dini yao, watafanya hivo kama binadamu wengine wowote tu. Tuna orodha ya ma sheikh wengi wanapigana vita in the name of Allah, husikii mchungaji, askofu, padre or whoever akipigana vita in the name of Jesus, taja moja bro then tuta taja vikundi vingi vya Kiislam.
 
Ugaidi ni nini kwanza ndugu mtoa mada
Mkuu, ugaidi ni pamoja na kuuwa watu na ama kupanga njama za mauwaji ilihali watu hao hawana hatia yoyote

Mkuu, hiki ni kipande kiduchu sana kati ya habati nzima ya ugaidi
 
Back
Top Bottom