Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Ni Akili kubwa tu imetumika na wakubwa.

Ni sawasawa na akili ya mwizi, ni kwanini mara nyingi wezi wanaamua kuiba usiku na sio mchana? (kwanini uislamu na sio ukristo((Kutokana na nature na msimamo ya imani))

Watu wenye Akili kubwa katika baadhi Taasisi za kiusalama duniani waligundua kupitia dini ndio njia rahisi isiyo na gharama na ni njia rahisi sana kupata wafuasi kwa hiari yao wenyewe pasipo kujua ni wanatumia tu.

Mara nyingi adui Yako akitaka kukumaliza hua anaangalia udhaifu wako mkubwa uko wapi (naam weakness!)... hata hivi viwatilifu vimetengenezwa kwa kuzingatia udhaifu wa visumbufu vya mazao kwa mkulima,

Hivyo hivyo wazee wa kazi waliangalia hawa maadui zetu weaknesses zao ziko wapi wakagundua ni imani yao Kwahiyo nao wakacheza nao humohumo.

Kumbuka ukiwa mtu wa imani arafu ukakosa elimu dunia au tukawa hauna upeo(akili kubwa) wewe na mtumwa hakuna tofauti na inawezekana mtumwa wa kimwili umemzidi level ya utumwa kwasababu utumwa wako ni automatiki unajituma mwenyewe kwa Bwana wako hakushikii mtutu.

Cc: @Dr Mambo jambo"mprisonment of the mind is the worst imprisonment of all. It is without walls, bars, or chains. Its the most binding, self-imposing and self-inflicting. it has the willing of the victim."

Dini haitumiki kwenye ugaidi tu dini imetumika sehemu nyingi sana na asilimia kubwa inatumika na serikali za kiduniani ili kutawala vizuri.
 
Hii forum imekua ya kibaguzi na udini
Comment yangu imefutwa na haikua na tusi hata moja wala lugha chafu

Wakristo na washirikina wengine wanapewa freeride kutukana waislam, waislam wakijibu maneno msiyopenda comment zinafutwa

Basi isemwe tu forum hii ni kwa ajili ya wakristo kutukana waislam na si vinginevyo.
Shame
Wacha kujiliza. Wapi kuna mtu kasema yeye Mkristo? Tupo sisi mabudha tunataka tujibiwe maswali kuhusu dini yetu. Kwanini sisi tu?
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu

Hii humaanisha nini?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Nathan ni Ile ahadi ya kwenda peponi ukakutane na wanawake bikra takrban 72 ,na utapewa nguvu ya uanaume uwabonde kisawa sawa,, Kwa ivyo wengi wanapenda kuwau mapema Kwa kijtoa muhanga ili wapewe hao watot wa kike wenye macho midhili ya vikombe wawale ,,na pia Kuna ahadi ya kua ukifka wakat unatetea dini ya mwnyazi Mungu yaan ni direct peponi na utakula chakula na mtume S.A.W
 
Agha blah blah. Jibu maswali ya dini yetu mkuu na sio ngonjera. Kwanini kila siku ni dini yetu na sio dini nyingine? Duniani kuna maelfu ya dini ila kwanini dini yetu?
Msaidie mtoa mada definition ya "ugaidi" alafu tutajadili mada yake. Ila kama definition haiendani na mada husika mada inakosa uhalali
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu

Hii humaanisha nini?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Hakuna DINI hapo
 
Ni Akili kubwa tu imetumika na wakubwa.

Ni sawasawa na akili ya mwizi, ni kwanini mara nyingi wezi wanaamua kuiba usiku na sio mchana? (kwanini uislamu na sio ukristo((Kutokana na nature na msimamo ya imani))

Watu wenye Akili kubwa katika baadhi Taasisi za kiusalama duniani waligundua kupitia dini ndio njia rahisi isiyo na gharama na ni njia rahisi sana kupata wafuasi kwa hiari yao wenyewe pasipo kujua ni wanatumia tu.

Mara nyingi adui Yako akitaka kukumaliza hua anaangalia udhaifu wako mkubwa uko wapi (naam weakness!)... hata hivi viwatilifu vimetengenezwa kwa kuzingatia udhaifu wa visumbufu vya mazao kwa mkulima,

Hivyo hivyo wazee wa kazi waliangalia hawa maadui zetu weaknesses zao ziko wapi wakagundua ni imani yao Kwahiyo nao wakacheza nao humohumo.

Kumbuka ukiwa mtu wa imani arafu ukakosa elimu dunia au tukawa hauna upeo(akili kubwa) wewe na mtumwa hakuna tofauti na inawezekana mtumwa wa kimwili umemzidi level ya utumwa kwasababu utumwa wako ni automatiki unajituma mwenyewe kwa Bwana wako hakushikii mtutu.

Cc: @Dr Mambo jambo"mprisonment of the mind is the worst imprisonment of all. It is without walls, bars, or chains. Its the most binding, self-imposing and self-inflicting. it has the willing of the victim."

Dini haitumiki kwenye ugaidi tu dini imetumika sehemu nyingi sana na asilimia kubwa inatumika na serikali za kiduniani ili kutawala vizuri.
Narudia rudia kusoma mara nyingi nyingi tù, ila hapa kuna mambo mhimu na makubwa umeongea!
 
Back
Top Bottom