NdioMkuu, mbona unanisemea kana kwamba tunafahamiana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioMkuu, mbona unanisemea kana kwamba tunafahamiana?
Hii definition yako mbona haendani na uzi uliofungua?Mkuu, ugaidi ni pamoja na kuuwa watu na ama kupanga njama za mauwaji ilihali watu hao hawana hatia yoyote
Mkuu, hiki ni kipande kiduchu sana kati ya habati nzima ya ugaidi
Vita vya Crusade vilipiganwa wapi?Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu,
Urusi, Ukraine na Marekani wakati wanipigana vita vyao hawasemi Bwana Yesu Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristo wakati wanajeshi wao wanaua maadui wao.Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia,
Wanasema ki moyo moyo sio lazima watamke usikie ila lengo liko pale pale.Urusi, Ukraine na Marekani wakati wanipigana vita vyao hawasemi Bwana Yesu Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristo wakati wanajeshi wao wanaua maadui wao.
Mkuu nadhani umechukulia juu juu tu ni kuwa sababu kuu ya Cruside ilikuwa Islam imevuka na kuingia bara uropa na walikuwa wakilazimisha kila mtu awe muislam Spain yote iligeuzwa kuwa nchi ya kiislam na ikaitwa Andalusia So Mateso ya waislam kwa wasio waislam yalivuka mpaka Wazungu wakastuka Habari zikamfikia Papa wa Roma akakubali kuundwa Jeshi la ukombozi likakubalika bara uropa lote ndipo vita ya cruside ikaanza Spain ikarejea kuwa Christian country Uturuki chini ya Constantine ilikwama baada ya kuzingirwa kwa muda mrefu and Papa akagoma kutuma Jeshi Njaa ikawa nyingi na wagna wa kipindi hicho walipoona Costa hana kitu wakachukua pesa na walipewa ardhi kama nchi sijawahi fuatilia hiyo nchi kwa sasa, Mehmet wa Uturuki akatoa burungutu wakamuacha mfalme akidundwa ndani ya hemaya lake na ndani ya kanisa maafuru.Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu, Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia, na hilo neno terrorist linatimika sanaa kwa Tanzania kwasbb raia wao wengi wana elimu duni.
Qisas, Jino kwa JinoHamjamboni Watanzania wenzangu
Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu
Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?
Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?
Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?
Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?
Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Ni kwamba wewe ni wadini hiyo lakini haujui kama mafundisho yenu yanafundisha hivyo Au laa.Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi?
Tena Masunni ndiyo usiseme kwa ugaidi na kuchinja wenzaoDini yeni inahitaji reforms kubwa sana, hamuwezi kuendelea kuishi kama bado mko karne ya saba bila kuleta tafrani.
Maelekezo yako yako very clear lakini utashangaa salamaleku watakuja kukubishia. Mfano Hamas hata wakati wanabaka wanawake kule Israel walikuwa wanaimba "Allahu akbar" hata mtaani raia walivyokuwa wanaona rocket zinarushwa kwenda Israel tarehe 7 October walikuwa wanafurahi wanaimba "Allahu akbar"Uislam umeanza kwa vita hadi sasa hvi ni vita; as I said, historia ina kawaida ya kujirudia, why kwa Wakristo hayajirudii? Mnaonkoteza story za vijiweni na kuviamini. Lini umewahi kusikia Wakristo wanapigana in the name of their dini? Na baada ya kuua ukawasikia wakimshukuru Mungu wao? Wakristo wanaweza kufanya mauaji, wakapigana hata vita BUT hawafanyi hivo kwa jina la dini yao, watafanya hivo kama binadamu wengine wowote tu. Tuna orodha ya ma sheikh wengi wanapigana vita in the name of Allah, husikii mchungaji, askofu, padre or whoever akipigana vita in the name of Jesus, taja moja bro then tuta taja vikundi vingi vya Kiislam.
hivi ugaidi ni nini?Hamjamboni Watanzania wenzangu
Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu
Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?
Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?
Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu
Hii humaanisha nini?
Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?
Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Mkuu kwanza ukitafuta definition ya neno ugaidi karibu dictionary zote hutapata tafsiri sahihi kutokana na uhalisia, asili ya hili neno ugaidi ama terrorist ni neno baya na la chuki ambalo limepandikizwa na wasiokuwa waislamu (Western countries and US), lengo lao kuu hasa ni kupandikiza chuki duniani ili uislam uonekane na sura mbaya kwenye uso wa ulimwengu ili watu waikatae dini ya kiislam na kuonekana ni dini ya wauwaji nk. lengo sahihi ni kupinga dini ya kiislam nyuma ya pazia.Hamjamboni Watanzania wenzangu
Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu
Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?
Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?
Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu
Hii humaanisha nini?
Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?
Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Dini ya kiislam ilikamilika toke Mtume wetu S.A.W aliposema --Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni Neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislamu uwe Dini yenu. Quran (5:3).Dini yeni inahitaji reforms kubwa sana, hamuwezi kuendelea kuishi kama bado mko karne ya saba bila kuleta tafrani.
Hitler alikuwa nani? US alipovamia nchi za kiislam na kuua yeye alikuwa nani? Iraq, Afghanistan, Taliban na sasa Palastine "...........ata ukiona muislam ameshika silaha anaingia vitani jua ameonewa na kusiginwa sana na makafiri" fuatilia vita vyote history zipo wazi zinajieleza.Uislam umeanza kwa vita hadi sasa hvi ni vita; as I said, historia ina kawaida ya kujirudia, why kwa Wakristo hayajirudii? Mnaonkoteza story za vijiweni na kuviamini. Lini umewahi kusikia Wakristo wanapigana in the name of their dini? Na baada ya kuua ukawasikia wakimshukuru Mungu wao? Wakristo wanaweza kufanya mauaji, wakapigana hata vita BUT hawafanyi hivo kwa jina la dini yao, watafanya hivo kama binadamu wengine wowote tu. Tuna orodha ya ma sheikh wengi wanapigana vita in the name of Allah, husikii mchungaji, askofu, padre or whoever akipigana vita in the name of Jesus, taja moja bro then tuta taja vikundi vingi vya Kiislam.