Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Hivi..! Dini yetu sisi, inaushirika gani na ugaidi?

Mkuu kwanza ukitafuta definition ya neno ugaidi karibu dictionary zote hutapata tafsiri sahihi kutokana na uhalisia, asili ya hili neno ugaidi ama terrorist ni neno baya na la chuki ambalo limepandikizwa na wasiokuwa waislamu (Western countries and US), lengo lao kuu hasa ni kupandikiza chuki duniani ili uislam uonekane na sura mbaya kwenye uso wa ulimwengu ili watu waikatae dini ya kiislam na kuonekana ni dini ya wauwaji nk. lengo sahihi ni kupinga dini ya kiislam nyuma ya pazia.

Ingawa sisi waislamu tunafahamu katika mafundisho ya Quran kwamba "............. sisi waislam dini yetu imetukataza kuua ila kwa haki" lakini swali linakuja kama tafsiri ya ugaidi ni kuua je hao makafiri walioleta hilo neno wao si wauwaji?
Jiulize swali nani aliuwa watu wengi zaidi duniani ama anayesababisha mauaji nakupa mfano wa Hitler aliuwa watu zaidi ya elfu 6, US ameuwa watu Iraq wanawake na watoto, Afghanistan, Taliban, na sasa mayahaudi wanauwa kwa makusudi wapalestina wasio na hatia na dunia inaona na kujua lakini wamekataa kutumia neno ugaidi na wakampachika nalo Netanyahu mpaka Mahakama ya ICC imetoa hati ya kukamatwa kiongoziwa Israel lakini bado hawajaweza kumwita ni gaidi na kama utafuatilia kote duniani mauaji yanaanzishwa ni nchi za magharibi na US duniani,

Toka hapo zamani sisi dini yetu imetufundisha kuwa wapole na wenye subira, Utakapo muona muislam ameshika mtutu wa bunduki kuingia vitani jua ni kwa ajili ya kujilinda kwamba tayari ameshachokozwa na kuonewa ambapo ndio asili ya hivi vita unavyoviona, "musilam hajawahi kuingia vitani ila atakuwa amesiginwa sana na makafiri" na dini yetu inaturuhusu kupambana nao, hata Mtume wetu Muhammad S.A.W alipigana vita vingi. US ndio gaidi No.1 ulimwenguni
Huwezi kwenda kulipua raia katika nchi zao kwa sababu zako za kisiasa, kibaguzi au kidini tu halafu uache kuitwa gaidi.
Ni sababu gani zilizopelekea Osama na wapuuzi wenzake kufanya shambulio la September 11 2001 kule Marekani?
Ni sababu gani zilizopelekea shambulio la bomu St Petersburg mwaka 2017, Taj Mahal 2008, Dar es Salaam na Nairobi 1998, Kampala 2010?
 
Hamjamboni Watanzania wenzangu

Siku za hivi karibuni, nimekuwa sina furaha, kila nikifungua mitandaoni, Kwenye luninga na sehemu mbali mbali za mitandao nakutana na tarifa za ugaidi zikiwa zinahusisha watu wa upande wa dini yangu tu

Sasa najiuliza, haya mambo ni kweli kabisaa au kuna namna tunapakaziwa?

Yaani wenzetu wa dini ile ya kwanza kuja, wao na ugaidi hawahusiki kabisa?

Inakuweje iwe sisi tu, Mafundisho yetu mengi ndio yanaelekeza hivi au tabia tu za baadhi ya wenzetu kupenda kujihusisha na ugaidi? Nasema hivi kwa sababu, kuna kipindi, baadhi ya nyumba zetu hizi za Ibada, zilikutwa vijana mbali mbali wakipikwa vizuri kimafunzo ya karate n.k badala ya EIlimu iliyokusudiwa na kiongozi wetu

Hii humaanisha nini?

Kwa sasa nipo njia panda, sielewi iwapo nitaendelea kuwa wa dini hii?

Mola mlezi wetu, tupe mwisho mwema waja wako
Tatizo ni asili. Muasisi wa hiyo dini ni muasisi wa ugaidi pia. Na maandiko yako wazi kuhusu hilo. Bwana Yesu alisema hivi:
"Mwivi haji ila kuiba, kuchinja na kuharibu, mimi nalikuja ili wawe na uzima tele" Yohana 10:10-12.
Tena maandiko yanasema:
"Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za Ibilisi" 1Yohn 3:8.
Ibilisi shetani ndiye gaining namba moja. Hivyo, ukiona dini yako ina element za ugaidi ufahamu kwamba kuna mafundisho na mafunuo ambayo mnafundishwa lakini yanatoka kwa Ibilisi shetani mwenyewe. Yesu Kristo ndiye Jibu uje kwake ili upate uzima wa milele. Nje ya Yesu Kristo hakuna uzima ni mauti tu. Ugaidi ni mauti!
 
Hitler hakufanya mambo yake kwa jina la Ukristo au dini bali kwa kuendeshwa na ubaguzi(racism).
Swali ni aliuwa watu ama hakuuwa? Jee aliitwa gaidi?
 
Vita vya msalamba crusades 1352 ad walitumia mapanga kueneza hiyo Dini kwa kumwanga Damu, Urusi na Ukurain ni nchi ya Dini yetu inaua watu kila ukicha, US ni nchi ya Dini yetu ila imesambaza vita kila mahara Congo Iraq afaghanistan nk wasio kua na hatia wanakufa.....neno Gaidi lina tumika kama propaganda kwa raia mbumbumbu wasio jua kuchambua masuala ya dunia, na hilo neno terrorist linatimika sanaa kwa Tanzania kwasbb raia wao wengi wana elimu duni.
Ndan ya USA kuna watu wanaua kwa jina la yesu ? bado una ujinga wa kujitia upofu kweny ukwel
 
Huwezi kwenda kulipua raia katika nchi zao halafu uache kuitwa gaidi.
Ni sababu gani zilizopelekea Osama na wapuuzi wenzake kufanya shambulio la September 11 2001 kule Marekani?
Ni sababu gani zilizopelekea shambulio la bomu St Petersburg mwaka 2017, Taj Mahal 2008, Dar es Salaam na Nairobi 1998, Kampala 2010?
Ni Mahakama ipi ilithibitisha Osama kuhusika na hiyo milipuko?
Je Osama ni kiongozi wa waislamu duniani? kwanini anatajwa Osama kwa niaba ya waislamu wote duniani
Sadam Hussein yeye aliripua wapi mbona US na washirika wake walivamia Iraq na kuuwa watu maelfu kwa maelfu? Taliban, Afghanistan na Sasa mauaji yamehamia Palastine na Wapalestina hawajaanza kuuliwa leo ni tokea Israel wapewe uhuru bandia 1948 wanaangusha majengo na kuuwa watu, je tafsiri ya neno gaidi ni kuripua ama kuuwa watu
Hitler ataitwa nani? kwanini kwenye mauaji tu wanashabihishwa waislamu?
 
Swali ni aliuwa watu ama hakuuwa? Jee aliitwa gaidi?
je ni sahihi kuua huku unamtaja Allah ? kun vitu ukibisha unazid kuonesha wehu wako , Hitler alikuwa na vitamm kiuchumi na kisias na sio kuua kwasabb yesu kamtuma kama wafanyavyo waislam wanaua watu wanasema mtume ndo kaacha maagizo hayo
 
Ni Mahakama ipi ilithibitisha Osama kuhusika na hiyo milipuko?
Je Osama ni kiongozi wa waislamu duniani? kwanini anatajwa Osama kwa niaba ya waislamu wote duniani
Sadam Hussein yeye aliripua wapi mbona US na washirika wake walivamia Iraq na kuuwa watu maelfu kwa maelfu? Taliban, Afghanistan na Sasa mauaji yamehamia Palastine na Wapalestina hawajaanza kuuliwa leo ni tokea Israel wapewe uhuru bandia 1948 wanaangusha majengo na kuuwa watu, je tafsiri ya neno gaidi ni kuripua ama kuuwa watu
Hitler ataitwa nani? kwanini kwenye mauaji tu wanashabihishwa waislamu?
we mpumbav una ubish wa kis3ng sn , watu wanaua huku wanasena allah akbar yaan wanahusanisha mauaji yao na mungu wao , je hao unaowataja lin walimuhusisha yesu na mauaji yao , mauaji yapo tangu zamani ila hoja hapa kwann mnuhusisha mungu kweny mauaji yenu je ndo matakwa ya mungu wenu ?
 
Swali ni aliuwa watu ama hakuuwa? Jee aliitwa gaidi?
hv upo timamu kwel ? Unaambiwa kwann mnahusisha dini yenu na mauaji ya raia wema , hao unaowataj hawakuhusisha matendo yao na dini zao na dini zao zilikemea vikali matendo yao ila nyiny misikitini ndo mahala pa kupanga mikakati ya kulipua na kuchinj watu
 
Ni Mahakama ipi ilithibitisha Osama kuhusika na hiyo milipuko?
Je Osama ni kiongozi wa waislamu duniani? kwanini anatajwa Osama kwa niaba ya waislamu wote duniani
Sadam Hussein yeye aliripua wapi mbona US na washirika wake walivamia Iraq na kuuwa watu maelfu kwa maelfu? Taliban, Afghanistan na Sasa mauaji yamehamia Palastine na Wapalestina hawajaanza kuuliwa leo ni tokea Israel wapewe uhuru bandia 1948 wanaangusha majengo na kuuwa watu, je tafsiri ya neno gaidi ni kuripua ama kuuwa watu
Hitler ataitwa nani? kwanini kwenye mauaji tu wanashabihishwa waislamu?
Osama mwenyewe na Al-Qaeda yake walikiri kuhusika na ugaidi wa September 11 na wakahidi wangefanya mashambulizo mengine zaidi kama Marekani isingebadilika na kuacha ku support Israel, nafikiri alikuwa hajui vizuri moto aliokuwa anacheza nao na jinsi gani alikuwa anauponza ulimwengu mzima wa Kiislamu na zaidi sana Waarabu.
 
we mpumbav una ubish wa kis3ng sn , watu wanaua huku wanasena allah akbar yaan wanahusanisha mauaji yao na mungu wao , je hao unaowataja lin walimuhusisha yesu na mauaji yao , mauaji yapo tangu zamani ila hoja hapa kwann mnuhusisha mungu kweny mauaji yenu je ndo matakwa ya mungu wenu ?
mpumbav ni wewe unayelishwa ni propaganda za magharibi, ni wapi zilisikika sauti Osama anaripua Tanzania, Nairobi, Washington nk sauti zikisema Allah Akbar, lete hapa hizo voices. Umekuwa mtumwa wa magharibi kila unacholishwa unameza tu, huelewi na hufahamu chochote,

Sasa nchi za magharibi na US zimekuja na hoja wanaume kwa wanaume waonane je na hili nalo limo katika akili yako?
 
Sasa nchi za magharibi na US zimekuja na hoja wanaume kwa wanaume waonane je na hili nalo limo katika akili yako?
Acha uongo wako,
Hakuna nchi za magharibi zinazolazimisha watu waoane, waoe au waolewe.
 
Wapigania Dini Hawa

1. Al-Qaeda


2. ISIS/ISIL (Islamic State)


3. Boko Haram


4. Al-Shabaab


5. Taliban


6. Jemaah Islamiyah


7. Ansar al-Sharia


8. Hezbollah (inatajwa katika baadhi ya muktadha)


9. Hamas (pia inatajwa katika baadhi ya muktadha)


10. Islamic Jihad Movement in Palestine (PIJ)


11. Ansarullah (Houthis)


12. Abu Sayyaf Group (ASG)


13. Jaish-e-Mohammed (JeM)


14. Lashkar-e-Taiba (LeT)


15. Tehrik-i-Taliban Pakistan (TTP)


16. Khorasan Group


17. Harakat-ul-Mujahideen (HuM)


18. Islamic Movement of Uzbekistan (IMU)


19. Ansar Bait al-Maqdis


20. Fatah al-Islam
 
Dini ya kiislam ilikamilika toke Mtume wetu S.A.W aliposema --Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na Nimekutimizieni Neema Yangu, na Nimekuridhieni Uislamu uwe Dini yenu. Quran (5:3).

Fuatilia vizuri na jiufunze ambaye anaanzisha hizo tafrani, hakuna muislamu duniani ambaye anaamua tu kulala na kuamka asubuhi akashika bunduki na kuingia vitani, fuatilia vizuri.
Hilo suala la dini yenu kukamilika linawahusu wenyewe ila ni vizuri mkafahamu kwamba kuna mambo hamuwezi kwenda nayo tena kirahisi katika ulimwengu wa leo bila kuzua tafrani kubwa kutoka watu wasio wa dini yenu. Mambo kama ya jihadi , sharia na fatwa kwa comedians, wachora katuni, na waandishi wakosoaji hayawezi kukubalika kabisa katika enzi hizi.
 
Osama mwenyewe na Al-Qaeda yake walikiri kuhusika na ugaidi wa September 11 na wakahidi wangefanya mashambulizo mengine zaidi kama Marekani isingebadilika na kuacha ku support Israel, nafikiri alikuwa hajui vizuri moto aliokuwa anacheza nao na jinsi gani alikuwa anauponza ulimwengu mzima wa Kiislamu na zaidi sana Waarabu.
Lete tafsiri ya neno gaidi kwanza hapa ili nianze kukupa hizi details
 
Hii forum imekua ya kibaguzi na udini
Comment yangu imefutwa na haikua na tusi hata moja wala lugha chafu

Wakristo na washirikina wengine wanapewa freeride kutukana waislam, waislam wakijibu maneno msiyopenda comment zinafutwa

Basi isemwe tu forum hii ni kwa ajili ya wakristo kutukana waislam na si vinginevyo.
Shame
 
Hii forum imekua ya kibaguzi na udini
Comment yangu imefutwa na haikua na tusi hata moja wala lugha chafu

Wakristo na washirikina wengine wanapewa freeride kutukana waislam, waislam wakijibu maneno msiyopenda comment zinafutwa

Basi isemwe tu forum hii ni kwa ajili ya wakristo kutukana waislam na si vinginevyo.
Shame
Wataanzia wapi kubagua watu mkuu

Hata hivyo, bila ya shaka sisi kama sisi hapa Tanzania, hatuna ubaguzi wa Kidini,

Tunaoleana, tunakaribishana hadi kwenye nyumba za Ibada, ifike mahali, nchi zingine zije kujifunza kwetu namna ya kuwa wafuasi wa dini tofauti tofauti

Hakuna nchi ambayo viongozi wake wa Dini wakutane then wafanye tamasha la pamoja kama ilivyo kwetu
 
Back
Top Bottom