Hivi dishi la Joe Biden limeyumba?

Mbona hayo mambo ya kawaida sana, isitoshe hiyo ni Halloween, mambo kama hayo ni kawaida being scary and weired.

Angeng'ata kweli ningekubaliana na hoja yako.
 
Mbona hayo mambo ya kawaida sana, isitoshe hiyo ni Halloween, mambo kama hayo ni kawaida being scary and weired.

Angeng'ata kweli ningekubaliana na hoja yako.
Kulamba mguu wa mtoto ambaye si wako ni kawaida?
 
Wajanja wanajiingizia pesa za wajinga ndiyo waliwao.
 
Ukiwa Rais au mtu maarufu unakuwa katika assessment ya macho ya watu wengi jambo lolote ukilifanya kila mtu anaweza kuku assess kulingana na akili yake inavyoona zaidi kutokana Mila na desturi za mtu alipokulia lakini Mimi kama Mimi sioni neno baya Kwa Rais ambaye ni kama babu na wajukuu zake .
 
Babu yako aliwahi kukulamba mguu wako?
 
Sleepy Joe....

Ukizeeka akili inarudia utoto....😂😂😂
 
Your browser is not able to display this video.
 
Biden vituko anavo ila hivi mmemsingizia ..kwanza yuko kwenye sherehe alafu hivo ni kucheza na watoto kila mtu anafanya hivo
 
Biden vituko anavo ila hivi mmemsingizia ..kwanza yuko kwenye sherehe alafu hivo ni kucheza na watoto kila mtu anafanya hivo
Kucheza na watoto hakuna ubaya.

Kuingiza mguu wa mtoto wa mwenzio mdomoni mwako si sawa.

Wewe unaona ni sawa kabisa mtu akiingiza mguu wa mwanao mdomoni mwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…