Hivi EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao vipindi hadi kufanya na huyu mkaa uchi????

Ila inaonekana hana aibu kaupania sana umaarufu. Kuna picha kasambaza anachorwa tattoo ya kwenye kalio.
Yaan umaarufu huu, mtu yuko radhi kufa na tai shingoni ili mradi tu awe maarufu. Kwangu mm naona anajiaibisha tu.
 
Mbona huyu dada mwenyewe anatisha namna hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…