Mtanzania kashindwa kuuvamia umasikini katika nchi yake, anakaa anajadili mambo ya kufikirika
pole sana mtu wangu, dunia haiendeshwi hivyo, sheria za kimataifa zipo ata serikali yenu huko mumeiba kura sana lakini bado mupo madarakani na mpango wenu wa kubiba kura bado ni ule ule tu maana ndo hakuna namnaKwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII
Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.
Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?
Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?
Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?
Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?
Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.
Hakuna China ya Xi Jinping.
Unaufahamu uhusiano wa China na NK una maslahi gani makubwa kwa China ?
Unafananisha uhusiano wa China na Tanzania na uhusiano wa China na Korea.Uhusiano wa China na North Korea hauna relation na tunachokizungumzia hapa.
Sisi Watanzania kuanzia mwaka 1969 mpaka 1985 tulikuwa na urafiki mkubwa na wachina.
Walitusaidia nini tulipokuwa tunapigana na nduli Iddi Amin?
If you think kwamba China will be ready to enjoy its economic benefit kwa sababu dunia inapigana na Kim then kuna kitu hukifahamu kuhusu China.
China is not the United States mjomba!
pole sana mtu wangu, dunia haiendeshwi hivyo, sheria za kimataifa zipo ata serikali yenu huko mumeiba kura sana lakini bado mupo madarakani na mpango wenu wa kubiba kura bado ni ule ule tu maana ndo hakuna namna
Unafananisha uhusiano wa China na Tanzania na uhusiano wa China na Korea.
Hivi hata ramani ya China na Korea umeitazama ?
Wewe na China mna mkataba wa kulindwa pale ukivamiwa ?
Ndio maana nikakuuliza unafahamu uhusiano wa China na NK una maslahi gani makubwa kwa China ? Kushindwa kujibu kwa hili swali inaonesha kwa namna gani ulivyo ufahamu chochote.
Kasome kwanza uhusiano wa China na North Korea toka mwanzo mpaka sasa una maana gani kwa China.
Huna akili unafikiri unajadiliana na watoto wenzio hapa.Again. If you think China itakuwa tayari kukosana na dunia yote kisa North Korea huijui vizuri China.
Nyie vipi mko huru?😁North Korea sio taifa huru. Thats the whole point! Kim ndo yuko huru, wananchi wake hawapo
Je unadhani ni sahihi kwa Putin kuja kuipiga Marekani kwa kigezo cha kwamba anataka Kurudisha maisha yawe normal! Aondoe mambo ya Diversity and equality!?? Unadhan Urusi akisema kuwa anataka alone Marekani ikiwa na watu wasio na mental illness ni sawa!??Marekani amezungushia fensi wananchi wake wasitoke nchini?
Marekani unauliwa kwa sababu unaamini kwenye imani fulani?
Kim inabidi aondoke and North Korea needs to be a normal nation.
I dont understand how Kim is able to put 26 million people as prisoners na bado international community inamuangalia tu
World Peace? unadhani uhalifu utafanana kutokana na mazingira?Umeenda nje ya mada mkuu.
Sisi Tanzania ni tishio kwa World Peace? Je sisiemu inatuweka kwenye concetration camps kama Kim anavyofanya kwa wananchi wake?
Uhuru wakuabudu je? Lini ulisikia sisiemu imepiga mtu risasi kwa sababu mtu anataka aondoke nchini?
Kuifananisha Tanzania na North Korea unakosea sana mkuu!
Je unadhani ni sahihi kwa Putin kuja kuipiga Marekani kwa kigezo cha kwamba anataka Kurudisha maisha yawe normal! Aondoe mambo ya Diversity and equality!?? Unadhan Urusi akisema kuwa anataka alone Marekani ikiwa na watu wasio na mental illness ni sawa!??
Kakufanya nini wewe personaly!? Au humpendi sababu habari za kusikia! Na je umeishafika kule kwa nchi yake ukadhibitisha hayo unayoyasema?....au unataarifu ukitokea wapi!?
World Peace? unadhani uhalifu utafanana kutokana na mazingira?
Nyinyi si mnateka watu huko na kuwauwa na kuwatupa, mara ngap imetokea kipindi cha mkkapa si wananchi walimiminiwa risasi kutoka kwenye ndege wao wakiwa kwenye maandamano, ushenzi ni mwingi uliko huko, Kim naye anafanya on the other way .