Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Mabwana zenu USA wenyewe hawauwezi moto wake nyie makapuku mtaweza wapi
Hakuna maslahi yoyote ,USA hawaogopi nchi kama hii yenye itikadi ya mtu mmoja yaani sio ya kitaifa au kisera hivyo akifa huyo kama asipo ridhi ndungu basi na haina nguvu kiuchumi hata ukipigana na yo haiwezi sustain vita vya muda mrefu zaidi ya kuitishia marekani na korea kusini tu juzi juzi walituma mabaloon ya.mavi
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Mkapeleke amani kama mliopeleka syria na uhuru au sio?
Hivi ulishawahi kusoma story halisi ya Marekani alichokifanya pale Korea Kaskazini?
Ushawahi kusoma Marekani alichokuwa anajaribu kufanya pale vietnam?
Waacheni Korea Kaskazini na mambo yao na nyie pambaneni na ya kwenu.
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Itoshe kusema wewe ni miongoni wajinga wengi tulionao hapa nchini. Pambania maisha yako, okoa kizazi chako achana na ndoto za kipuuzi.
 
Mumvamie mtu ambaye anaongoza taifa lake kwa utashi wake? Are you mad! Lile ni taifa huru mwacheni afanye anachotaka kumvamia ndio kutafta majanga sababu yule kurusha nuclear hajiulizi mara mbili

North Korea sio taifa huru. Thats the whole point! Kim ndo yuko huru, wananchi wake hawapo
 
Lugha yetu ya kiswahili inatumika vibaya sana.

Unaona sawa kabisa kuvamia Nchi ya mwenzenu kisa Wana Nchi wake hawana uhuru wewe hapa kwako una uhuru Gani wa kumtambia raia wa Korea Kasi? Utofauti uliopo kati Yako na korea Kasi ni % chache maana wakosoaji wa serikali wote mna uawa kama mbwa tu.

Hata mkiungana china hawezi kumpiga kiduku Russia na Iran Hawa wote ni kitu kimoja.

Tukija Kwa Africa hamna Kila kitu labda uchawa.

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya TZ na North Korea.

Wale jamaa hawaruhusiwi kuangalia series za nchi nyingine, kutoka nchi nje ya nchi, kusoma vitabu, hakuna utawala wa sheria n.k

Kuna shida gani tukiwasadia hawa wananchi Milioni 26 walipo kwenye utawala dhalimu wa Kim?
 
Kaa ufahamu hakuna dola iliyowahi kudumu milele.

Huyo ataondolewa na wakorea wenyewe tu muda ukifika.

Jamaa watamchoka na vitimbi vyake watamuondoa trust me.
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Wewe kama Mtanzania, North korea kakuathili vipi mpaka uwe na wazo la kupigananae?
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Baba Yako amekutelekeza wewe na mama Yako. Unataka eti polisi wamkamate warudishe nyumbani. Hicho ndio umetuambia.

North Korea ni nchi huru, watu wake wanampenda Kiongozi wao na style ya maisha yao sio lazima yafanane na Yako.

Mfano rahisi ni Libya walikua na maneno kama Yako Leo Libya Iko wapi, same to Iraq.

Kwanza nani alisema lazima Kila mtu aishi kama hao wazungu wako wanavyotaka(westerners). Kumbuka Kila nchi na mfumo wake wa maisha hivyo watapata viongozi kulingana na mfumo wao.

Hivi Uingereza ni lini watapiga kura kumchgua King or Queen?
 
The Axis Of Evil. Wote hao wanatakiwa wang'olewe!
Wanatakiwa wang'olewe waliberali wakiongozwa na chama cha Democrats kwa kuanzia Kamala piga chini ,babu Biden akalelewe nyumba ya wazee ,,,maupinde wote wasafishwe
 
Baba Yako amekutelekeza wewe na mama Yako. Unataka eti polisi wamkamate warudishe nyumbani. Hicho ndio umetuambia.

North Korea ni nchi huru, watu wake wanampenda Kiongozi wao na style ya maisha yao sio lazima yafanane na Yako.

Mfano rahisi ni Libya walikua na maneno kama Yako Leo Libya Iko wapi, same to Iraq.

Kwanza nani alisema lazima Kila mtu aishi kama hao wazungu wako wanavyotaka(westerners). Kumbuka Kila nchi na mfumo wake wa maisha hivyo watapata viongozi kulingana na mfumo wao.

Hivi Uingereza ni lini watapiga kura kumchgua King or Queen?

Kama wana raha na kiongozi kwanini kila mwaka kuna thousands of North Koreans wanaingia South Korea?

Wewe mwenyewe ukiambiwa ukakae North Korea utaweza mkuu?
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Hilo sio jambo jema hata kidogo. Huyo na Hao wenzake ni muhimu sana kwa wao kuwepo. Hawapo kwa bahati mbaya -la hasha. Siku watakapokosekana ndo utajua umuhimu wao. Ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom