Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

North Korea sio taifa huru. Thats the whole point! Kim ndo yuko huru, wananchi wake hawapo
Kama unafikiri upo huru...nenda kwenye mitandao ile ambayo umejitambulisha vema halafu anza kuwasema akina cc na mama yao kwa ujumla kuhusu changamoto zinazokukabili..(kwa mwamvuli wa kila raia yupo huru kutoa mawazo yake)..ili tuokaukote mwili wako ununio au hata tusiuone hata huo mwili wenyewe.
 
Hapana mkuu si sawa kwa sababu marekani hauwi watu because wanataka kuondoka nchini wala ukikutwa unaangalia filamu za North Korea nchini Marekani haupigwi risasi.

Kwa hiyo Russia hana uhalali wa kuipiga Marekani based on those premises na ndo maana nikichukua a normal person from any country atachagua kwenda Marekani kuliko North Korea.

Na ndio maana in 2021 to 2024 kuna watu Milioni 10 wameingia Marekani. Kuna watu wangapi wameenda North Korea?

Au mku unataka kusema kuua watu kwa sababu wamekutwa na Biblia au kwa sababu wanaagalia series za nchi nyingine ni value ya ku-adopt?

Nikikuletea mfumo wa Marekani na wa North Korea utachagua upi tuadopt hapa Tanzania? Mfumo upi unatesa zaidi wananchi?
Lakini fahamu kuwa hizo media kubwa kama.BBC na CNN hawawezi kuongea mazuri ya Korea Kaskazini au Urusi!
 
Kama unafikiri upo huru...nenda kwenye mitandao ile ambayo umejitambulisha vema halafu anza kuwasema akina cc na mama yao kwa ujumla kuhusu changamoto zinazokukabili..(kwa mwamvuli wa kila raia yupo huru kutoa mawazo yake)..ili tuokaukote mwili wako ununio au hata tusiuone hata huo mwili wenyewe.

Thats my whole point.

Umeona ulichoandika? Umesema sisi tuna mitandao. Kim kafungia mitandao nchini kwake. Wananchi hawana haki ya kupata taarifa.

Wewe ungekuwa North Korea ungekuwa ushapigwa risasi because umetoa mada humu jamvini.

Sisi katiba yetu inakataza kutekana na kiongozi kujichukulia sheria mkononi na ndo maana Sabaya alipelekwa kwenye mahakama.

Kufananisha North Korea na Tanzania ni fallacy
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

wewe akili huna
 
Aondolewe Ili Raisi wetu mpedwa mama yetu atawale mpka huko
 
Ukimbizini wapi?

Wakati Kim ameweka mabomu kila sehemu ya mipaka ili wasikimbie.

Au unadhani kule ni kama airport ya Tanzania unafly tu unapotaka kwenda mkuu?

Read sources especially non-western ones utaona ulichokiandika hakiko sawa
Nawaza tu kuona uwezekano hata wa kutoroka mkuu wangu. Ila Asante kutuelimisha.
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.


Wewe kama mmarekani wa Namungo Kim Jong Jr kakukosea nini?
 
Lugha yetu ya kiswahili inatumika vibaya sana.

Unaona sawa kabisa kuvamia Nchi ya mwenzenu kisa Wana Nchi wake hawana uhuru wewe hapa kwako una uhuru Gani wa kumtambia raia wa Korea Kasi? Utofauti uliopo kati Yako na korea Kasi ni % chache maana wakosoaji wa serikali wote mna uawa kama mbwa tu.

Hata mkiungana china hawezi kumpiga kiduku Russia na Iran Hawa wote ni kitu kimoja.

Tukija Kwa Africa hamna Kila kitu labda uchawa.
Unapata madhara gani kwa wakorea kukosa uhuru wa kisiasa .?
 
Lugha yetu ya kiswahili inatumika vibaya sana.

Unaona sawa kabisa kuvamia Nchi ya mwenzenu kisa Wana Nchi wake hawana uhuru wewe hapa kwako una uhuru Gani wa kumtambia raia wa Korea Kasi? Utofauti uliopo kati Yako na korea Kasi ni % chache maana wakosoaji wa serikali wote mna uawa kama mbwa tu.

Hata mkiungana china hawezi kumpiga kiduku Russia na Iran Hawa wote ni kitu kimoja.

Tukija Kwa Africa hamna Kila kitu labda uchawa.
Unapata madhara gani kwa wakorea kukosa uhuru wa kisiasa .
 
Ya kwetu tu yametushinda, nchi ina mafisadi hii na walafi wa kutosha inabidi tuanze na hao kwanza, by the way Kwa Hilo haiwezekani maana hakuna mfumo uliokamilika Kwa asilimia zote.
 
Back
Top Bottom