Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

Anae mjua msemaji wa timu ya arsenal,man u,man City,Chelsea amtaje hapa

Ndio mtajua manara Hana kariba ya usemaji wa timu at least " TEN" anakuja kuja katika usemaji wa timu
 
Hiyo slogan yenyewe imekaa kimipasho mno huo siyo mpira tena.

IGA UFE.!!

Hata waliomzunguka nao hopeless wenzie tu,sishangai wazee kuviyumbisha hivi vilabu sababu uswahili mwingi badala ya Professionalism.

Msemaji ni Idd Maganga wa Azam pekee hizi zingine takataka.

Fuatilia utagundua watu wanataka umaarufu tu.
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Watoto wanaopatikana kwa witch doctor wasumbufu. Tuvumilie
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Mlivyokuwa mnatuita wa matopeni mbona hukumuonya yule mshamba aliyekuwa anatutukana kila leo? Au hujui kuwa sasa mnatuita mikia fc? Kwasukwasu vumilieni tu hakuna jinsi nyingine
 
Alitaka awe muimbaji wa yale mahadhi ya pwani lakini BSS wakampondea kwamba sauti yake mbaya,usanii ni ubunifu.
 
Hiyo slogan yenyewe imekaa kimipasho mno huo siyo mpira tena.

IGA UFE.!!

Hata waliomzunguka nao hopeless wenzie tu,sishangai wazee kuviyumbisha hivi vilabu sababu uswahili mwingi badala ya Professionalism.

Msemaji ni Idd Maganga wa Azam pekee hizi zingine takataka.

Fuatilia utagundua watu wanataka umaarufu tu.
Tulieni dawa iwaingie fresh
 
Hiyo slogan yenyewe imekaa kimipasho mno huo siyo mpira tena.
IGA UFE.!!
Hata waliomzunguka nao hopeless wenzie tu,sishangai wazee kuviyumbisha hivi vilabu sababu uswahili mwingi badala ya Professionalism.
Msemaji ni Idd Maganga wa Azam pekee hizi zingine takataka.
Fuatilia utagundua watu wanataka umaarufu tu.
Kusanya kijiji ndio nini... acheni kumpangia namna ya kufanya kazi yake
 
Anae mjua msemaji wa timu ya arsenal,man u,man City,Chelsea amtaje hapa
Ndio mtajua manara Hana kariba ya usemaji wa timu at least " TEN" anakuja kuja katika usemaji wa timu
Soka la ulaya usilete huku bongo kwenye timu ambazo hazina viwanja.
Huyo TEN yuko Yanga na Manara yuko Simba kila mtu na moto wake, usitake wafanane mkuu.
IGA UFE
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Alipoichamba Yanga wapi?
Amekosea kuwambia mnafanya maandamano ka chama cha siasa
 
Kuna kitu Amber Rutty aliwahi kudokeza kuhusu Haji Manara, sidhani kama tuna haja ya kumlaumu, unless Madam Woo awe muongo 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom