Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Huyo hajitambui huyo, msamehe tu nafikiri umenielewa.
 
Wakuja tabu sana wanafikiri Simba na Yanga ni maadui!Yanga ni Simba ni watani wa jadi. Na watani huwa wanataniana.Kwa hao waliofuata mkumbo tabu sana kuelewa.
 
Manara ana inferiority complex. Anapata faraja fulani kuitukana au kuidhalilisha Yanga.
Asas wamepotea sana kumfanya ambassador wao. Ataua biashara unless wanataka kupoteza sehemu kubwa ya potential market yao.
 
Huyu jamaa sasa ameanza.kuboa. kuchwa kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Yanga. Huo ni uswahili kaka. Vichambo vyako vinaboa sana. Jikite kwenye kuipromote timu yako

Maneno yako ya shombo dhidi ya Yanga yanasababisha chuki.unaweza kumuharibia hata Modewji biashara zake. Kuna mashabiki wa Yanga wata susia kununua bidhaa za Mo Enterprises kwa sababu ya maneno yako.

Be proffessional kaka. Wewe umeajiriwa kuwa msemaji wa Simba na sio mtu wa kuichamba Yanga. Kama kuiponda Yanga basi iponde kwenye performance na sio masuala mengine yasiyo husiana na mpira uwanjani.
Halafu acha ufala bana. Unakuwa unafikiri sio mtoto wa Kariakoo bana. Simba sio baba ako wala mama.ako. Mungu kakujalia kipaji cha kuongea. Kesho na.keshokutwa unaweza kutimuliwa Simba, Yanga wakakuajiri uwe msemaji wao. Usiwe kama Shabiki maandazi. Wewe kuwa proffessional.

Halafu nashangaa what has came over u. Hukuwaga hivyo wewe. Enzi za madrassa kwa Ustadh Rama pale ulikuwaga smart sana siku hizi sijui umekuwaje weye.

Wewe ni msemaji wa Simba au Mchambaji wa Yanga?

Kila saa gongowazi gongowazi. Unaboa sana kaka. Be proffessional
Mocking kwenye marketing kitu Cha kawaida Sana mkuu. Pepsi na Coca-Cola, iPhone na Samsung wote hao hupigana majungu bila chenga na haki haribiki kitu. Zama YouTube ujionee Ni mambo ya kawaida Sana ..
 
Manara ana inferiority complex. Anapata faraja fulani kuitukana au kuidhalilisha Yanga.
Asas wamepotea sana kumfanya ambassador wao. Ataua biashara unless wanataka kupoteza sehemu kubwa ya potential market yao.
Ur right mkuu
 
Back
Top Bottom