Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Umejibubwapi? Nitajuaje umejibu na si jwamba unakimbia swali tu? Unajuaje kwamba jibu lako halina makosa? Unaweza kuweka link hapa kwenye jibu lako?

Jibu langu halikuwa na makosa na halitakuwa na makosa sababu ni ukweli mtupu. Sababu siwezi kuweka kwa muda huu.

Kwa kuokoa muda ngoja nikujibu kwa ufupi. Kwanza uwepo wa Mola aliyetuumba unathibitishwa kwa hoja za kiakili yaani kwa kutumia akili (Hapa inaingia milango ya fahamu) na ushahidi wa kimaandiko (Sababu mimi ni muislamu natumia Qur'an,hadithi na kauli za waja wema walio tangulia). Hapa nafafanua kidogo,hapa ni akili ndio inatakiwa kuyatafakari maandiko.

Yaani yana anza maandiko kisha akili. Kwa ushahidi wa kimaandiko Mola wetu sisi alituambia katika Qur'an tuyaangalie maumbile ya mbingu na ardhi vyote vilivyomo humo tutapata kujua na kuamini uwepo ila watajua hilo na kuamini hilo wale wote wenye kutumia akili na kuzingatia juu ya yale yaliyomo katika ulimwengu huu.
 
Umejibubwapi? Nitajuaje umejibu na si jwamba unakimbia swali tu? Unajuaje kwamba jibu lako halina makosa? Unaweza kuweka link hapa kwenye jibu lako?

......Muendelezo wa jibu la uthibitsho wa uwepo wa Mola.

Sasa ukiona kama hujaona chochote au kuamini uwepo wake kwa kutazama ardhi na mbingu na vyote vilivyomo. Wewe bila shaka utakuwa katika hali zifuatazo.

1. Hujaitumia akili yako kutafakari na kukizingatia haya uyaonayo.

2. Unatumia milango ya fahamu pekee kuupata ukweli na fikra za watu.

3. Umechagua kuwa mjinga.
 
Mungu wako dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.

Umeshindwa kuitatua contradiction hiyo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kama unabisha, tatua contradiction ya kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaumbaulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hujajibu swali hili.

Hujatatua contradiction hii.


Kaka jitahidi kutumia tamko "dhana" vizuri. Mimi sipo kwenye dhana bali nipo kwenye hakika,sasa utachagua kwenda na mimi kwa hakika au uache ?
 
Jibu langu halikuwa na makosa na halitakuwa na makosa sababu ni ukweli mtupu. Sababu siwezi kuweka kwa muda huu.

Kwa kuokoa muda ngoja nikujibu kwa ufupi. Kwanza uwepo wa Mola aliyetuumba unathibitishwa kwa hoja za kiakili yaani kwa kutumia akili (Hapa inaingia milango ya fahamu) na ushahidi wa kimaandiko (Sababu mimi ni muislamu natumia Qur'an,hadithi na kauli za waja wema walio tangulia). Hapa nafafanua kidogo,hapa ni akili ndio inatakiwa kuyatafakari maandiko.

Yaani yana anza maandiko kisha akili. Kwa ushahidi wa kimaandiko Mola wetu sisi alituambia katika Qur'an tuyaangalie maumbile ya mbingu na ardhi vyote vilivyomo humo tutapata kujua na kuamini uwepo ila watajua hilo na kuamini hilo wale wote wenye kutumia akili na kuzingatia juu ya yale yaliyomo katika ulimwengu huu.
Qiran inaji cintradict. Kwa sababu si kitabu cha Mungu. Ni kitabu cha watu tu.

Kwa mfano. Quran inasema, kuna watu Allah kawafanya mioyo yao iwe migumu na macho yao kawafunga wasimjue Allah. Hao msihangaike nao sana. Allah atawahukumu.

Sasa hapo kwa kutumia logic ndogo tu utaona kwamba Mungu wa haki kubwa hawezi kumfunga mtu macho na kumfanya huyo mtu asimjue yeye Allah, halafu Allah akamhukumu mtu huyo huyo, eti kwa sababu hajamjua Allah.

Nibkama Baba anayemkataza mwanawe kwenda shule na kujifunza kusoma, halafu eti amhukumu mtoto huyo huyo kwa kutojua kusoma.

Hapo utaona Quran ni kitabu kimeandikwa na watu tu. Na huyo Mungu anayesemwa katika Quran hayupo.
 
Kaka jitahidi kutumia tamko "dhana" vizuri. Mimi sipo kwenye dhana bali nipo kwenye hakika,sasa utachagua kwenda na mimi kwa hakika au uache ?
Thibitisha Mungu wako yupo kama kweli upo katika hakika.
 
Mungu wako dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.

Umeshindwa kuitatua contradiction hiyo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kama unabisha, tatua contradiction ya kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaumbaulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hujajibu swali hili.

Hujatatua contradiction hii.

Ona sasa unavyo ruka ruka,umetaka ujibiwe kuhusu thabati ya uwepo wa Mola wetu kwanza.

Sasa subiri tumalize hili la uwepo wake kwanza kisha tuje kujadili la ukamilifu wake.

Hivi ndivyo wanaume tunajadiliana hoja baada ya hoja.
 
Ona sasa unavyo ruka ruka,umetaka ujibiwe kuhusu thabati ya uwepo wa Mola wetu kwanza.

Sasa subiri tumalize hili la uwepo wake kwanza kisha tuje kujadili la ukamilifu wake.

Hivi ndivyo wanaume tunajadiliana hoja baada ya hoja.
Hujathibitisha Mungu wako yupo. Thibitisha.
 
Thibitisha Mungu wako yupo kama kweli upo katika hakika.


Nithibitishe mara ngapi ? Wewe si una akili au pia unakataa kama huba akili ?

Kama una kubali una akili tumia akili yako kutafakari jibu nililokupa hivi punde juu ya uthibitisho wa uwepo wa Mola aliye juu.
 
Nithibitishe mara ngapi ? Wewe si una akili au pia unakataa kama huba akili ?

Kama una kubali una akili tumia akili yako kutafakari jibu nililokupa hivi punde juu ya uthibitisho wa uwepo wa Mola aliye juu.
Hakuna jibu ulilonipa linalothibitisha kwamba Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote yupo.

Na zaidi, huu mjadala wenyewe tu wa kujadiki kama Mungu huyo yupo, unaonesha hayupo.

Angekuwepo, jambo hilo lingekuwa wazi sana kiasi kwamba hakuna mtu angeweza kuhoji.

Kwa nini Mungu hiyo ajiweke kwa utata wa kufahamika kiasi cha kuhutaji mjadala kama kweli yupo, ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote?

Kwa nini asijiweke wazi kwa namna ambayo kila mtu na kila kiumbe atajua Mungu huyo yupo bila ya kuwa na utata wowote?
 
......Muendelezo wa jibu la uthibitsho wa uwepo wa Mola.

Sasa ukiona kama hujaona chochote au kuamini uwepo wake kwa kutazama ardhi na mbingu na vyote vilivyomo. Wewe bila shaka utakuwa katika hali zifuatazo.

1. Hujaitumia akili yako kutafakari na kukizingatia haya uyaonayo.

2. Unatumia milango ya fahamu pekee kuupata ukweli na fikra za watu.

3. Umechagua kuwa mjinga.
Hujathibitisha Mungu wako yupo, unahubiri, na hata huko kuhubiri kwenyewe unalazimisha.

Unaniambia nitazame ardhi na mbingu.

Ardhi imejaa anthrax, radioactivity na uchafu unaosababisha magonjwa mengi.

Mungu wako alishindwa kuumba ardhi ambayo haina sumu na uchafu unaosababisha magonjwa na vifo?

Kila unachotaja kuwa ni ushahidi kwamba Mungu yupo, kinaonekana ni ushahidi kwamba hayupo.
 
Sijawahi kuona mtu mwenye maarifa madogo kama wewe,ifike hatua muwe mnaficha ujinga wenu,hii hufanywa baada ya kujitambua na kujua kama hujui jambo fulani,sasa kwa kutokujijua wewe kunakupelekea kuandika ujinga uliotuka.

Kwa ufupi upeo ni mdogo sana kufahamu jambo linalojadiliwa sasa bali sio wewe hata huyu unaye muunga mkono kibubusa.

Yaani kwa upeo wako mdogo eti kiumbe lazima kiwe kina zaa,kiwe kinatembea na kina jamiiana ?

Huu ndio ujinga uliotukuka na kufikiri huku sisi tumekuacha zamani sana. Hatufikiri kinadharia na kwa kanuni za watu mtu ambae dhaifu kuliko udhaifu wenyewe.

Sasa mtu kama wewe inabidi tuanze kukufundisha KIUMBE ni nini na tukupe na mifano,hili ndio tatizo la kutegemea MILANGO YA FAHAMU NA AKILI pekee kama chanzo cha maarifa na kuupata ukweli
ndio maana unaonekana taahira ...hoja nikwamba thibitisha kuwa upepo ni kiumbe hai ...hakuna aliyesema kuwa upepo sio kiumbe "" mbona unajitoa ufahamu ..halafu wajiona una akili wakati "" sisi tunaona kuwa akili zako zimechacha
 
achana nao hao ...nimeshasikiliza sana mawaiza yao ..huwa wanasema jua linatokaga mashariki na kwenda magharibi "".. .so usishangae kusikia kwamba " jiwe na upepo vina uhai
Jiwe na upepo vina uhai.

Watu wanasemajiwe na upepovina uhai, wanaishi katikaulimwengu wa njozi zao hawa.
 
Kwa sababu hakuna huyo nani. Kuna nini. Kuna process. Hakuna mtu/ being.

Kama unasema yupo, thibitisha.

Kuuliza nani ni sawa na kuuliza rangi ya wimbobwa taifa ni rangi gani?

Swali hakina maana. Kwa sababu limeuliza kitu ambacho hakipo. Jibu lake hakiwezi juwa rangi fulani. Jibu lake ni kueleza swali limekosewa, wimbo hauna rangi.

Kama unabisha, thibitisha vinginevyo.

Thibitisha kuna "nani" na siyo "nini".

Thibitisha huyo Mungu wako yupo

Halafu utueleze huyo Mungu wako ameshindwa vipi kuwa efficient na kuhitaji 200 million sperm cells ku fertilize yai moja na mwanamke?

Huyo Mungubwako hajui hesabu? Zile sperm cwlls nyingine zote 200 million anazioeleka wapi? Wale watoto 200 million wengine (kwa kila anayezaliwa) ambao hawajazaliwa amewatendea haki?.
ha haha haha...hii aya ya mwisho bwana
 
Qiran inaji cintradict. Kwa sababu si kitabu cha Mungu. Ni kitabu cha watu tu.

Kwa mfano. Quran inasema, kuna watu Allah kawafanya mioyo yao iwe migumu na macho yao kawafunga wasimjue Allah. Hao msihangaike nao sana. Allah atawahukumu.

Sasa hapo kwa kutumia logic ndogo tu utaona kwamba Mungu wa haki kubwa hawezi kumfunga mtu macho na kumfanya huyo mtu asimjue yeye Allah, halafu Allah akamhukumu mtu huyo huyo, eti kwa sababu hajamjua Allah.

Nibkama Baba anayemkataza mwanawe kwenda shule na kujifunza kusoma, halafu eti amhukumu mtoto huyo huyo kwa kutojua kusoma.

Hapo utaona Quran ni kitabu kimeandikwa na watu tu. Na huyo Mungu anayesemwa katika Quran hayupo.
Kwani anashindwa kuona mapungufu kama hayo "" .. mungu Mwenye rehema na upendo kwa watu wote " anaweza vipi kuwafanya watu kuwa na mioyo migumu kisha awachome moto "" huo upendo kwa watu wote uko wapi .ikiwa kuna wengine amewafanya na mioyo migumu " ili akawachome moto kwa makusudi
 
ha haha haha...hii aya ya mwisho bwana
Tatizo unaweza kuta hiyo habari ya kwamba yai moja la mwanamke linakuwa fertilized na one out of 200 million sperm cells mtu haijui.

Halafu anabishana kwa kutumia Quran au Biblia!
 
Jiwe na upepo vina uhai.

Watu wanasemajiwe na upepovina uhai, wanaishi katikaulimwengu wa njozi zao hawa.
hahaha ..yaani MTU anapaza kabisa mishipa ya shingo Anataka tumuone ni GT "" HALAFU anasema kwamba upepo nikiumbe HAI .... niwakati sasa wa melo kuanzisha jukwaa la watu wenye utindio wa ubongo hapa jf
 
Kwani anashindwa kuona mapungufu kama hayo "" .. mungu Mwenye rehema na upendo kwa watu wote " anaweza vipi kuwafanya watu kuwa na mioyo migumu kisha awachome moto "" huo upendo kwa watu wote uko wapi .ikiwa kuna wengine amewafanya na mioyo migumu " ili akawachome moto kwa makusudi
Siajibiwa swali hilo.

Naona watu wanarukaruka tu.

Kwa sababu huyo Mungu ni kamba tupu, hayupo, kaandikwa na watu tu, tena wajinga ambao wamemuandika kabla enzi ya kufikiri kimatiki na uhakiki haijashika hatamu.

Sasa hao watu walioishi miaka iliyopita naweza kuwasamehe kama hawakujua ukweli.

Dunia ilikuwa na ugumu sana wa kupata habari, watu walikuwa wanapata habari kwa mdomo, hata vitabu waliojua kusoma walikuwa wachache sana.

Sasa leo hii tunatembea na internet kwenye simu mfukoni, all one neeeds to do is Google "contradictions in the Quran" kuona jinsi gani Quran ilivyojaa uongo, halafu mtu bado anaamini uongo huu?
 
hahaha ..yaani MTU anapaza kabisa mishipa ya shingo Anataka tumuone ni GT "" HALAFU anasema kwamba upepo nikiumbe HAI .... niwakati sasa wa melo kuanzisha jukwaa la watu wenye utindio wa ubongo hapa jf
Anakwambia upeponi kiumbe cheney uhai, jiwe ni kiumbe chenye uhai.

Unamuuliza, uhaini nini, upate muktadha wake, hata kukujibu hawezi, anakimbia!
 
Contradictions in the Quran

Contradictions in the Qur'an | CARM.org

Contradictions in the Qur'an
by Matt Slick

The Qur'an states that it is a perfect book preserved on tablets in heaven (Surah 85:21-22). If the Qur'an is a perfect book from Allah, then there shouldn't be any contradictions in it. Of course, the Muslims will deny any contradictions exist in the Qur'an, but they do. Some of the contradictions below could be debated, but some of them are clearly contradictions.

A contradiction occurs when one statement on a subject excludes the possibility of another. The first one here is a good example. In Surah 19:67, it states that man was created out of nothing. In 15:26, man is created from clay. Since clay is something, we have a contradiction since "nothing" excludes the possibility of "clay." Both cannot be true.

All quotes from the Qur'an, unless otherwise specified, are from Yusuf Ali and can be found at the Qur'an online.

  1. What was man created from: blood, clay, dust, or nothing?
    1. "Created man, out of a (mere) clot of congealed blood," (96:2).
    2. "We created man from sounding clay, from mud moulded into shape, (15:26).
    3. "The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam; He created him from dust, then said to him: "Be". And he was," (3:59).
    4. "But does not man call to mind that We created him before out of nothing?" (19:67, Yusuf Ali). Also, 52:35).
    5. "He has created man from a sperm-drop; and behold this same (man) becomes an open disputer! (16:4).
  2. Is there or is there not compulsion in religion according to the Qur'an?
    1. "Let there be no compulsion in religion: Truth stands out clear from Error: whoever rejects evil and believes in Allah hath grasped the most trustworthy hand-hold, that never breaks. And Allah heareth and knoweth all things," (2:256).
    2. "And an announcement from Allah and His Messenger, to the people (assembled) on the day of the Great Pilgrimage,--that Allah and His Messenger dissolve (treaty) obligations with the Pagans. If then, ye repent, it were best for you; but if ye turn away, know ye that ye cannot frustrate Allah. And proclaim a grievous penalty to those who reject Faith," (9:3).
    3. "But when the forbidden months are past, then fight and slay the Pagans wherever ye find them, and seize them, beleaguer them, and lie in wait for them in every stratagem (of war); but if they repent, and establish regular prayers and practice regular charity, then open the way for them: for Allah is Oft-forgiving, Most Merciful," (9:5).
    4. Fight those who believe not in Allah nor the Last Day, nor hold that forbidden which hath been forbidden by Allah and His Messenger, nor acknowledge the religion of Truth, (even if they are) of the People of the Book, until they pay the Jizya with willing submission, and feel themselves subdued," (9:29).
  3. The first Muslim was Muhammad? Abraham? Jacob? Moses?
    1. "And I [Muhammad] am commanded to be the first of those who bow to Allah in Islam," (39:12).
    2. "When Moses came to the place appointed by Us, and his Lord addressed him, He said: "O my Lord! show (Thyself) to me, that I may look upon thee." Allah said: "By no means canst thou see Me (direct); But look upon the mount; if it abide in its place, then shalt thou see Me." When his Lord manifested His glory on the Mount, He made it as dust. And Moses fell down in a swoon. When he recovered his senses he said: "Glory be to Thee! to Thee I turn in repentance, and I am the first to believe." (7:143).
    3. "And this was the legacy that Abraham left to his sons, and so did Jacob; "Oh my sons! Allah hath chosen the Faith for you; then die not except in the Faith of Islam," (2:132).
  4. Does Allah forgive or not forgive those who worship false gods?
    1. Allah forgiveth not that partners should be set up with Him; but He forgiveth anything else, to whom He pleaseth; to set up partners with Allah is to devise a sin Most heinous indeed," (4:48). Also 4:116
    2. The people of the Book ask thee to cause a book to descend to them from heaven: Indeed they asked Moses for an even greater (miracle), for they said: "Show us Allah in public," but they were dazed for their presumption, with thunder and lightning. Yet they worshipped the calf even after clear signs had come to them; even so we forgave them; and gave Moses manifest proofs of authority," (4:153).
  5. Are Allah's decrees changed or not?
    1. "Rejected were the messengers before thee: with patience and constancy they bore their rejection and their wrongs, until Our aid did reach them: there is none that can alter the words (and decrees) of Allah. Already hast thou received some account of those messengers," (6:34).
    2. "The word of thy Lord doth find its fulfillment in truth and in justice: None can change His words: for He is the one who heareth and knoweth all, (6:115).
    3. None of Our revelations do We abrogate or cause to be forgotten, but We substitute something better or similar: Knowest thou not that Allah Hath power over all things?" (2:106).
    4. When We substitute one revelation for another,- and Allah knows best what He reveals (in stages),- they say, "Thou art but a forger": but most of them understand not," (16:101).
  6. Was Pharaoh killed or not killed by drowning?
    1. "We took the Children of Israel across the sea: Pharaoh and his hosts followed them in insolence and spite. At length, when overwhelmed with the flood, he said: "I believe that there is no god except Him Whom the Children of Israel believe in: I am of those who submit (to Allah in Islam). (It was said to him): "Ah now!- But a little while before, wast thou in rebellion!- and thou didst mischief (and violence)! This day shall We save thee in the body, that thou mayest be a sign to those who come after thee!but verily, many among mankind are heedless of Our Signs!" (10:90-92).
    2. Moses said, "Thou knowest well that these things have been sent down by none but the Lord of the heavens and the earth as eye-opening evidence: and I consider thee indeed, O Pharaoh, to be one doomed to destruction!" So he resolved to remove them from the face of the earth: but We did drown him and all who were with him," (17:102-103).
  7. Is wine consumption good or bad?
    1. O ye who believe! Intoxicants and gambling, (dedication of) stones, and (divination by) arrows, are an abomination,--of Satan's handwork: eschew such (abomination), that ye may prosper," (5:90).
    2. (Here is) a Parable of the Garden which the righteous are promised: in it are rivers of water incorruptible; rivers of milk of which the taste never changes; rivers of wine, a joy to those who drink; and rivers of honey pure and clear. In it there are for them all kinds of fruits; and Grace from their Lord. (Can those in such Bliss) be compared to such as shall dwell forever in the Fire, and be given, to drink, boiling water, so that it cuts up their bowels (to pieces)?" (47:15).
    3. Truly the Righteous will be in Bliss: On Thrones (of Dignity) will they command a sight (of all things): Thou wilt recognize in their faces the beaming brightness of Bliss. Their thirst will be slaked with Pure Wine sealed," (83:22-25).
 
Tatizo unaweza kuta hiyo habari ya kwamba yai moja la mwanamke linakuwa fertilized na one out of 200 million sperm cells mtu haijui.

Halafu anabishana kwa kutumia Quran au Biblia!
wakati huo huo " Qur'an inamwambia kuwa mungu wa ibrahimu huwa analitoa jua mashariki " na kulipeleka magharibi ..wakati inafahamika wazi kuwa jua halitembei/halizunguki ..
.. wakati huo huo "" Mungu vitabu vyao vina sema kuwa mungu aliumba ardhi na mbingu saba "" pasipo kuziwekea nguzo " UKIMUULIZA MTU HYO HAYA NIONYESHE HIZO MBINGU ..ANAISHIA KUTOA TOA MIMACHO TU ....wengine wanafika mbali wanasema ile Rangi ya blue ya muonekano wa anga ndio mbingu yenyewe ...."" mijitu mingine sijui imerogwa aisee..
 
Back
Top Bottom