Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Kaka una amini uwepo wa vitu usivyo viona kwa macho ? Wala kuvihisi ?
Uwepo wa vitu gani nisivyo viona wala kuvihisi?

Sijawahi kukataa uwepo wa Mungu kwa sababu sijamuona wala kumuhisi, unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba nakataa uwepo wa Mungu kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe, si kwa sababu sijamuona kwa macho wala kumuhisi.

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba swali lako kwangu ni irrelevant?

Kwa sababu naweza kukuambia nakubali nyumba yangu ipo nyumbani, wakati mimi nipo kazini siioni sasa hivi.

Lakini, kukubali huku hakuna contradiction.

Kinacho matter si kwamba kitu kinaonekana au hakionekani, naweza kukihisi au siwezi kukihisi.

Kinachomatter ni, jambo lina logical consistency? Lina contradiction?

Mungu wako hana logical consistency, ana contradiction.

Habari za kama anaonekana na kuhisika kwangu si muhimu, sijapinga Mungu kwa sababu sijamuona, unanihoji kwa hoja ambayo sijawahi kuitaja.

Unataka kuleta pingamizi ambalo simo humo.

Mimisi wale wanaosema siamini Mungu yupo mpaka uniletee nimuone hapa.

Nakwambia sikubali Mungu yupo, kwa sababu dhana ya kuwapo kwake inajipinga yenyewe hata kabla sijasema lolote.

Unaelewa tofauti hapo?
 
Hii ni maana finyu sana juu ya kiumbe. Jiwe linaongea kwa ulivyo mchachefu wa maarifa na umekariri ya kuwa kiumbe hakiongei mpaka kiwe na mdomo,na kwa fikra za kufata taratibu za kuainisha jambo kimantiki utakataa na utafikia hitimisho hivi :

"Kiumbe hakiongei kama hakina mdomo,binadamu peke yake ndio anae ongea,kama jiwe halina mdomo na jiwe sio binadamu basi jiwe haliongei na jiwe si kiumbe". Eti hapo mwenyewe unakuwa umefikia hitimisho na umeupata ukweli. Hivi ni vichekesho ambavyo huvipati kwingine isipokuwa kwenu nyie.

Wewe sitashangaa nikikwambia "Birika lina mkono" ukapinga kwamba halina mkono,na ukataka nikupe ushahidi au nithibitishe kama kweli birika lina mkono.
Jiwe lina uhai?
 
Ujinga mwingine huu. Sayansi inawafanya watu wawe wajinga sana ujue.

Tofauti yangu na nyinyi. Mimi natoa ushahidi nyinyi hamkosoi hoja zangu kwanini nasema hamkosoi hoja zangu ?

Nashangaa sana vile mlivyo na ufahamu mdogo sana. Kwanza aya mnazozijengea hoja hamzielewi.

Kwanza nakuuliza swali hili kisha niendelee kuukosoa ufahamu wako.

Hivi Allah anaposema "Yeye ndio analitoa jua kutoka mashariki...." unaelewaje ?

Nithibitishie kwamba kivipi jua halitembei ? Yaani hata akili ya kawaida mnashindwa kuitumia.

Allah aliye juu aliposema katika viumbe vyake kuna ishara ya uwepo wake kwa wale wale wenye kuchanganua mambo,kwa wale wenye kutumia akili.

Sasa nyinyi hata matumizi ya akili humjui bali hiyo akili hamuitumii.
hahaha huyo Allah wako basi atakuwa ni mwehu ""..jua halizunguki dunia " hilo liko wazi "" na hii ndio sabbu ambayo inayotufanya tusiamini kuwa mungu yupo kwa sbabu chicho kitabu kimeshindwa hata kujua kwamba Jua halitembei ..Bali zitembeazo ni sayari na mwezi
 
Maneno yako yanaonyesha uwepo wa Allah sababu umemua kuukataa ukweli sababu wewe ni mtu huru.

Narudi kwenye suala ulilo uliza. Mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ni viumbe kwanza sababu Allah ametueleza juu ya viumbe hivi na ni hai sababu vinaishi na vina mtii yeye.

Majini na watu wamepewa akili na uhuru na kuamua wayafanyayo ambayo yako ndani ya uwezo wao.

Uhai ni uzima uzima wa kimwili,imani na kiroho.
hahaha weweejamaa Sikh sio nyingi utakuwa kichaa.. haya hebu tuambie mbingu ilipo "".. tunataka kuijua
 
Quran inasema Allah kuna watu kawaziba macho wasimjue,kawafunga mioyo wasimjue, halafu atawahukumu kwa kutomjua.

Huyo Allah ni Mungu wa haki au hadithi ya uchizi?

Eti Mungu anakuzuia usimjue, halafu anakuhukumu kwa kuwa hujamjua!
ha haha haha
 
Uwepo wa vitu gani nisivyo viona wala kuvihisi?

Sijawahi kukataa uwepo wa Mungu kwa sababu sijamuona wala kumuhisi, unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba nakataa uwepo wa Mungu kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe, si kwa sababu sijamuona kwa macho wala kumuhisi.

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba swali lako kwangu ni irrelevant?

Kwa sababu naweza kukuambia nakubali nyumba yangu ipo nyumbani, wakati mimi nipo kazini siioni sasa hivi.

Lakini, kukubali huku hakuna contradiction.

Kinacho matter si kwamba kitu kinaonekana au hakionekani, naweza kukihisi au siwezi kukihisi.

Kinachomatter ni, jambo lina logical consistency? Lina contradiction?

Mungu wako hana logical consistency, ana contradiction.

Habari za kama anaonekana na kuhisika kwangu si muhimu, sijapinga Mungu kwa sababu sijamuona, unanihoji kwa hoja ambayo sijawahi kuitaja.

Unataka kuleta pingamizi ambalo simo humo.

Mimisi wale wanaosema siamini Mungu yupo mpaka uniletee nimuone hapa.

Nakwambia sikubali Mungu yupo, kwa sababu dhana ya kuwapo kwake inajipinga yenyewe hata kabla sijasema lolote.

Unaelewa tofauti hapo?


Kaka jibi swali kwanza kisha uulize mengine.

Pili,hujui kulitumia tamko "dhana" ipasavyo,huwezi kutumia tamko lenye kumaanisha kutokuwa na uhakika kwa kukusudia uhakika.
 
Watu wa JF watajisomea wenyewe na kujua kwamba nabishana na kichaa anayesema jiwe lina uhai.


Sasa kichaa mimi au wewe ambae unashindwa kuthibitisha kutokuwa na uhai kwa jiwe ?

Kaka jibu swali langu nililo kuuliza "Je una amini uwepo wa vitu visivyo onekana kwa macho au usivyo hisi ?".

Jibu lilikuwa rahisi ni "Ndio au Hapana"
 
hahaha huyo Allah wako basi atakuwa ni mwehu ""..jua halizunguki dunia " hilo liko wazi "" na hii ndio sabbu ambayo inayotufanya tusiamini kuwa mungu yupo kwa sbabu chicho kitabu kimeshindwa hata kujua kwamba Jua halitembei ..Bali zitembeazo ni sayari na mwezi


Hahaha kaka unanipa raha sana. Jua linatembea na lina vituo vyake kwavyo hupitia yaani. Jua linaizungua dunia.

Kaka wewe sita shangaa ukiniambia au una amini ya kuwa kuna mtu amewahi kwenda mwezini.

Sayansi ya anga niliachaga kuiamini tangu zamani sababu ya udhaifu wake na ungo uliokithiri.
 
Uwepo wa vitu gani nisivyo viona wala kuvihisi?

Sijawahi kukataa uwepo wa Mungu kwa sababu sijamuona wala kumuhisi, unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba nakataa uwepo wa Mungu kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inajipinga yenyewe, si kwa sababu sijamuona kwa macho wala kumuhisi.

Unaelewa hilo?

Unaelewa kwamba swali lako kwangu ni irrelevant?

Kwa sababu naweza kukuambia nakubali nyumba yangu ipo nyumbani, wakati mimi nipo kazini siioni sasa hivi.

Lakini, kukubali huku hakuna contradiction.

Kinacho matter si kwamba kitu kinaonekana au hakionekani, naweza kukihisi au siwezi kukihisi.

Kinachomatter ni, jambo lina logical consistency? Lina contradiction?

Mungu wako hana logical consistency, ana contradiction.

Habari za kama anaonekana na kuhisika kwangu si muhimu, sijapinga Mungu kwa sababu sijamuona, unanihoji kwa hoja ambayo sijawahi kuitaja.

Unataka kuleta pingamizi ambalo simo humo.

Mimisi wale wanaosema siamini Mungu yupo mpaka uniletee nimuone hapa.

Nakwambia sikubali Mungu yupo, kwa sababu dhana ya kuwapo kwake inajipinga yenyewe hata kabla sijasema lolote.

Unaelewa tofauti hapo?


Kaka jibu swali langu kwanza kisha nikulete huku unapotaka tufike.
 
MUNGU YUPO Mmoja ambaye hujidhihirisha kwa baadhi ya watu. Ila kuna Shetani nae huwa anajigeuza na kujifanya ni MUNGU.

Ila MUNGU wa kweli huwatokea baadhi ya watu haijalishi rangi wala kabila almradi umche na umwamini japo ni kweli kwa maandiko tunathibitishiwa kuwa aliwatokea wengi kama kina Enok,Nuhu, Ayubu ambae hakuwa myahudi n.k hivo mjue hata babu zetu wengi wa zamani kuna wengi tu walitokewa na wakaishi na MUNGU ila haijaandikwa mimi naamini hivo.
 
Ukweli pia mjue mababu zetu wengi waliabudu miungu na Mizimu hivo Hapo tukiri tu wengi wao walikuwa kwenye upotevu
 
MUNGU YUPO Mmoja ambaye hujidhihirisha kwa baadhi ya watu. Ila kuna Shetani nae huwa anajigeuza na kujifanya ni MUNGU.

Ila MUNGU wa kweli huwatokea baadhi ya watu haijalishi rangi wala kabila almradi umche na umwamini japo ni kweli kwa maandiko tunathibitishiwa kuwa aliwatokea wengi kama kina Enok,Nuhu, Ayubu ambae hakuwa myahudi n.k hivo mjue hata babu zetu wengi wa zamani kuna wengi tu walitokewa na wakaishi na MUNGU ila haijaandikwa mimi naamini hivo.
Mungu gani mbaguzi anajidhihurisha kwa baadhi ya watu na hajidhihiriahi kwa watu wengine?

Huyo Mungu au hadithi ya mbaguzi?

Ameshindwa kujidhihirisha kwa wote kwa namna ambayo haitaacha utata kwamba yupo?
 
Ukweli pia mjue mababu zetu wengi waliabudu miungu na Mizimu hivo Hapo tukiri tu wengi wao walikuwa kwenye upotevu
Sasa hugu Mungu wa Biblia na Quran anayeabudiwa leo, na hao miungubwa mizimu, kimsingi, wana tofauti gani?

Wote hawawezi kuthibitishika kwamba wapo kweli na si hadithi tu.

Wana tofauti gani?
 
Unajua unachonichekesha wewe ni kitu kimoja una bwabwaja wala hitoi hoja za msingi.

Unapokosoa jambo au kuhisi haliko sawa kwa ufinyu wako wa ki maarifa ubatakiwa hapo hapo utoe ukweli unao uona wewe.

Halafu Qur'an haisemi peponi bali inasema mbinguni.

Mimi nasema ni kweli kazi ya vimondo ni kuwapiga mashetani wanao kwenda kuchukua siri na kuwaletea makuhank na wagangaa.

Sasa wewe unae pinga leta ukweli wako au hoja zako dhidi ya hayo yasemwayo na Allah kama weww unasema ukweli.

Halafu shule ya elimu ya kisekula (secular) haimfanyi mtu kuwa mahiri katika kujenga hoja wala nini,kwahiyo kutolea mfano wa darasa la ngapi kama dhihaka ni ujinga bali upumbavu uliochupa mipaka.

proved fact...uachege ujinga basi we mfuasi wa jihadist mohamed

Asteroids are minor planets, especially those of the inner Solar System. The larger ones have also been called planetoids. These terms have historically been applied to any astronomical object orbiting the Sun that did not show the disc of a planet and was not observed to have the characteristics of an active comet. As minor planets in the outer Solar System were discovered and found to have volatile-based surfaces that resemble those of comets, they were often distinguished from asteroids of the asteroid belt.[1] In this article, the term "asteroid" refers to the minor planets of the inner Solar System including those co-orbital with Jupiter.

There are millions of asteroids, many thought to be the shattered remnants of planetesimals, bodies within the young Sun's solar nebula that never grew large enough to become planets.[2] The large majority of known asteroids orbit in the asteroid belt between the orbits of Mars and Jupiter, or are co-orbital with Jupiter (the Jupiter trojans). However, other orbital families exist with significant populations, including the near-Earth objects. Individual asteroids are classified by their characteristic spectra, with the majority falling into three main groups: C-type, M-type, and S-type. These were named after and are generally identified with carbon-rich, metallic, and silicate (stony) compositions, respectively. The size of asteroids varies greatly; the largest is almost 1,000 km (625 mi) across.
 
Panae kazi Sana hapa kumfanya mwafrika aache kujipendekeza kwenye dini za mataifa mwingine, yapasa kujitambua sasa, kufanya yetu na si ya kwao
Kama hadi madawa,nguo na teknolojia vyote tunategemea mataifa mengine ndio uone ajabu kutumia dini za mataifa mengine?
 
Back
Top Bottom