Hivi hakunaga mipaka eeeh?


Hiki ndo nilichokuwa najaribu kuelewa, naona wachache walinielewa, the rest hawaelewi somo
 

Watu wafupi wengi wana matatizo, wote wanaume kwa wanawake


Duh yaani kuanzia juzi humu sina raha. Mlianza vitambi vyetu,sasa ufupi wetu!
 

Khaaaa huyo ni too much aiseee, aunt yako kazi nayo duuu pole zake!!!
 
Duh yaani kuanzia juzi humu sina raha. Mlianza vitambi vyetu,sasa ufupi wetu!

Kama ambavyo nanyi mnakuaga mara mawigi, mara single mothers, mara above 30.....usijali ni upepo tu utapita
 
Hiki ndo nilichokuwa najaribu kuelewa, naona wachache walinielewa, the rest hawaelewi somo

Tena miezi hilo somo ndo sitaki hata kulielewa kwakweli sitaki teh
 
Watu wafupi wengi wana matatizo, wote wanaume kwa wanawake
Eeh wanawake wafupi naona sio sana kama wanaume wafupi.

Duh yaani kuanzia juzi humu sina raha. Mlianza vitambi vyetu,sasa ufupi wetu!
Teh mpendwa Njoo nikukatie kaurefu kidogo. Mgutambi wako kaa nao tu mpendwa, labda baby anaenjoy kuushika shika

Khaaaa huyo ni too much aiseee, aunt yako kazi nayo duuu pole zake!!!
Eeh My kaka kwani hapo nimesimulia. Naona tu uvivu kuandika gazeti hapa. Sio gubu lile + umalaya. Yani ningekuwa mtu wa negativity, ile ndoa ingenidiscourage kuolewa milele. Imagine hata tukienda kwa watumishi kuombewa; karibu wote wanamwambia " dada sioni kama una ndoa, kwa sababu naona tu makelele kwenye nyumba yenu". Ntasimulia tu Vizuri siku moja
 
Weee usinitanie, mmeachana ana mtoto mmoja leo ana watoto 3, umejuaje kama halijabadilika? . Kama vipi si umpe hela atanunua mwenyewe. Hivi ukute tu mkeo kamnunulia mwanaume mwingine boxer utaelewa?

Hapo ndo huwa siwaelewi wanaume kabisa eti unamnunulia bra hapo anajifanya kutoa msaada lakini na kiporo akipasha as usual
 
Heheheh mito bana

My wife wakomakiamua kumsaidia ex flat screen utachukuliaje???

Naona wanaume wanavojitetea kwenye uu Uzi kisa kuhalalisha tu mambo yao. Kibongo hii mwanaume hatoi support bila kutarajia favour,kwanza kwa maisha gani waliyo nayo had Ku handle watoto wa wanaume wenzao. Hapo ukute kwa mke halali mchungu ila kutoa hela ya kulea watoto wa wenziwe wako free
 
Last edited by a moderator:

Maandunje ni janga aisee in nature hata umfanyeje confidence haiongezi mana wanapenda kufanya vtu ili nao waonekane.
 
mambo ya kawaida tu hayo,katoto ukikaa nako hauoni katakupa machungu zaidi,ila kakiku kakubwa kwenye 18 hv kwenda mbele, utaanza kuwa mpole,kwani nawe utakuwa umri unasogea nguvu ya wivu inapunguaa
 
Yani hata Mimi ninge mu mind sana had nyonyo ili iweje uchumi wenyewe magumashi kujifanya billgate ndo nini?

Sasa Ujikute una mtoto wa nje afu akakuta tu text ya baba mtoto. Utakuta zubeda lako lipo nje
 
Shindano la mbio kuwahi kufika ndioa ushindi ila hili la kuunganisha viungo vya uzazi bila hadhari na kuongeza uzao ni kinyume chake.... Kulea ex na mtoto au watoto = mgegedo.... tena hawa hawatong'ozani kwani walishahemka hadi kutoa kiumbe ni kiasi cha kuambiana hapa mazingira yanaruhusu?????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…