Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Hivi hakunaga mipaka eeeh?

leo ntaonekanaje nna roho mbaya kwa watu wenye watoto wao lol.....
Sio mbaya kusaidia, unaposema msaada ni kama unacho unatoa kama hauna basi,ila kwa hawa jamaa ni zaidi ya msaada

Unapenda kuguess sana, sina mtoto mbona au haturusiwi
 
Mmmmh bado hamjani-convince... hao wababa wengine mbona wasimlipie mtoto ada ili mwanae asiumie kisaikolijia???

Huko kuharibu bajeti ya familia kupeleka friji mwisho atapeleka hadi hati ya nyumba


Kumsaidia mwanao tu huku wadogo zake wana shida ni kuwaumiza watoto kisaikolojia
ukisadia saidia watoto wote wanaocheza na mwanao
wakifurahi wote na mwanao atafurahi....
 
Eeeh maziwa ya mtoto yasichache

Ni zaidi ya kusaidia, kwani si baba yao yupo kwanini ukambebee majukumu yake....
Okay na huko kununua hadi friji ni kumfurahisha mtoto pia? Au friji ya kuhifadhia maziwa ya mtoto Hahaha ncheke mie

Haluuuuuuu
 
Yaani nyinyi siwaelewi kabisa...


Hao wengine hata kama sio wake lakini ni mama mmoja na huyo mzazi mwenzake, kwahiyo jamaa anatoa support kwa hao wengine pia ili kuleta usawa na hao wengine wajione sawa na mwenzao vinginevyo makuzi yao wote hata huyo wa kwake mmoja hayatokuwa mazuri kutokana na watoto wa mama mmoja wanakuwa hawalingani katika mfumo wa maisha (kama jamaa lina uwezo na familia yake linahudumia mother house asihuzunike na ndio maana wamama wanaojielewa humwambia huyo mtoto amlete akae kwake ili kile kinachokwenda nje kiletwe ndani ila kwa kutokupenda kulea watoto wa kambo yote hayo hutokea.

Changamoto za kuachana kwa watu ambao hawaoana ni zile zile sema wengine ndo hivyo tena unakuta wameachana huku wakiwa na mtoto wakati hawa wengine wanakuwa hawana mtoto lakini ukichunguza sababu ni zilezile

Baba yao yupo lakini hana kitu
Friji ni kama bakuli siku hizi...inahitajika tu ikibidi isaidiwe
 
Ni kama bakuli kwa wewe ulienazo, huyo jamaa hapo kajichanga changa ndo maana anasema hana kitu, kuna sababu gani kujinyima kasi hicho? Ingekua kajinyima hivo kalipa labda ada, au labda matibabu, hata matumizi tu ya mtoto inaingi akilini ila hii mmmh..... For this nmeanza kuwaelewa watu wasiotaka kuolewa/kuoa mtu mwenye mtoto ni kama vile uke /ume wenza

Sometimes inategemea na mazingira ya mimba huenda binti kwa kubeba mimba kakosa fursa nyingi na jamaa anajifeel guilt hivyo itambidi afanye kila awezalo kumfariji huyo binti
 
Wala hachukii, ila hizo huduma hadi za watoto wa kufikia wa mme tena baba yao yupo mweh ngumu kwakweli....

Haina shida kama uwezo upo, usikute wao maisha hayajakaa sawa

Ujue muelewe kuna wanaume wana huruma sana, so kumsaidia familia ya ex wako siyo ishu kabisa kama uwezo upo. Ofcourse pia inategemea na mlivyoachana

On a personal level, niliwahi kumsaidia ex wangu sana tu na kwa muda mrefu tu (nadhani 4yrs mfululizo) baada ya kuachana, na bila kupasha kiporo wala kufikiria kupasha kiporo. I just felt so coz mambo yao (aliolewa) yalikuwa bado hayajakaa sawa, so out of huruma tu nikawa namtoa si kidogo. You can imagine ningekuwa nimezaa naye........

Watu tumeumbwa tofauti jamani
Ndo maana nimesema kama hawapashi kiporo hakuna ubaya wo wote

cc atoto ila pitia nyingi nyingi kwanza ndo utaelewa
 
Last edited by a moderator:
Hamna cha mlete akae hapa wala nini....mwanaume wa hivyo mwongezee majukumu tu...... atajipanga

Hahaha reporter nimesema wanawake wengi watakimbilia kusema bora tu mtoto aje akae hapo home ili tu hela zisiende nje na yale mawasiliano yatakuwepo but sio kama ambavyo baba anafunga safari Peke yake kwenda kumuona mwanae huko. Wakati mwingine yale mawasiliano baina yao ndo yanaumiza zaidi na sio hata hela.

Kumuongezea majukumu utamuongezea but yule ni mwanae so atajibana tu matumizi atatoa. Hujamsoma huyo mwingine kajitutumua kununua friji amebaki na mfulio. Unadhani majukumu hayajambana?
 
Huyo wa kwanza...Analipa ada za hao wengine????mmmh napapuchi atakuwa anapiga. Hao wengine hawana baba???

nae anapiga

Kiufupi wasikuchoshe..... hana uhusiano na mipaka...ni kuwa wanagonga ndio maana wamebeba majukumu yasiyowahusu

alimjengea nyumba before hajaoa, ni vizuri alivomjengea coz ana mtoto ake ila ada analipa za hao wengine pia....kuna siku wife alishaona meseji za darling darling between them, unadhani huo udarling unatoka wapi kama sio kusababishwa na huduma moto moto chezea kusaidiwa ada, ada zenyewe nursery tu millioni
 
Mambo mengine magumu sana kumeza aisee........

Halafu wanaume wamekuja kutetea hizi figisufigisu

Mie nimeshibdwa kuelewa kwa kweli

Hapo kwenye majukumu nakwambia mwanamke hata chumvi asinunue ili ajue kujipigapiga vizuri kama alivyojipigapiga kununua friji..


Hahaha reporter nimesema wanawake wengi watakimbilia kusema bora tu mtoto aje akae hapo home ili tu hela zisiende nje na yale mawasiliano yatakuwepo but sio kama ambavyo baba anafunga safari Peke yake kwenda kumuona mwanae huko. Wakati mwingine yale mawasiliano baina yao ndo yanaumiza zaidi na sio hata hela.

Kumuongezea majukumu utamuongezea but yule ni mwanae so atajibana tu matumizi atatoa. Hujamsoma huyo mwingine kajitutumua kununua friji amebaki na mfulio. Unadhani majukumu hayajambana?
 
Heheheh mito bana

My wife wakomakiamua kumsaidia ex flat screen utachukuliaje???


Haina shida kama uwezo upo, usikute wao maisha hayajakaa sawa

Ujue muelewe kuna wanaume wana huruma sana, so kumsaidia familia ya ex wako siyo ishu kabisa kama uwezo upo. Ofcourse pia inategemea na mlivyoachana

On a personal level, niliwahi kumsaidia ex wangu sana tu na kwa muda mrefu tu (nadhani 4yrs mfululizo) baada ya kuachana, na bila kupasha kiporo wala kufikiria kupasha kiporo. I just felt so coz mambo yao (aliolewa) yalikuwa bado hayajakaa sawa, so out of huruma tu nikawa namtoa si kidogo. You can imagine ningekuwa nimezaa naye........

Watu tumeumbwa tofauti jamani
Ndo maana nimesema kama hawapashi kiporo hakuna ubaya wo wote
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu kwa mwanao, utaratibu upi tena kwa wanao wa kambo
Ni wanao pia, by association. Wanasema, it ain't never trickin if you got it. Na kutoa ni moyo.

Besides, unataka kumfundisha mwanao kuhusu upendo na kutokuwa m'binafsi. There's a perfect platform.
 
Haina shida kama uwezo upo, usikute wao maisha hayajakaa sawa

Ujue muelewe kuna wanaume wana huruma sana, so kumsaidia familia ya ex wako siyo ishu kabisa kama uwezo upo. Ofcourse pia inategemea na mlivyoachana

On a personal level, niliwahi kumsaidia ex wangu sana tu na kwa muda mrefu tu (nadhani 4yrs mfululizo) baada ya kuachana, na bila kupasha kiporo wala kufikiria kupasha kiporo. I just felt so coz mambo yao (aliolewa) yalikuwa bado hayajakaa sawa, so out of huruma tu nikawa namtoa si kidogo. You can imagine ningekuwa nimezaa naye........

Watu tumeumbwa tofauti jamani
Ndo maana nimesema kama hawapashi kiporo hakuna ubaya wo wote

Teh my kaka itabidi tuongee kwa herufi kubwa, kumbe ndo una huruma hivi. Mie tena dada ako ndo utanihurumia vizuri mweee
 
Mambo mengine magumu sana kumeza aisee........

Halafu wanaume wamekuja kutetea hizi figisufigisu

Mie nimeshibdwa kuelewa kwa kweli

Hapo kwenye majukumu nakwambia mwanamke hata chumvi asinunue ili ajue kujipigapiga vizuri kama alivyojipigapiga kununua friji..

Hahaha haya mambo ni kuomba tu yasikukute. Hutonunua hata chumvi but mwanae atamtunza tu

Lazima waje watetee ila ingekuwa single mother hapa, tena baba mtoto wako bado yupo hai, kama hujitambui unaweza kumuombea mabaya. Ndo waelewe kuwa ubinafsi si mzuri, single mothers nao wana haki ya kulea watoto wao kwenye ndoa zao kama wenyewe wanavyolea hadi watoto wa kambo wa baby mama zao
 
Ni wanao pia, by association. Wanasema, it ain't never trickin if you got it. Na kutoa ni moyo.

Besides, unataka kumfundisha mwanao kuhusu upendo na kutokuwa m'binafsi. There's a perfect platform.

Kumfundisha upendo na kutokua mbinafsi, peleka zawadi wape wote, peleka nguo gawia wote, peleka vipocho pocho wale wote, toys wachezee wote.....ada nayo??? Serious???? Vululu Vululu unabebana na friji eti kufundisha upendo mpendwa ntakupasua na mbinguni nisiende niishie tu motoni
 
Mie nipite bila kusema mengi kwa kuwa nipo na mume ambaye ana mtoto kabla ya kunioa Mimi. Ni hivi Ile usiwaze saaaaana kuhusu hizo "huduma" za "friji" kwa mwenzio wewe realise kwamba hela za mumeo sio zako na ana uhuru wa kutumia anavyopenda! kama vipi tafuta zako tu uzitumie kwa mwanao kwa kuwa hata ukimwambia asipeleke friji atapeleka na asikwambie!
Mbili: usiwaze saaana whether anaendelea na "zaidi ya huduma"! Kwani ufutio huo tuseme akifutia kule unaisha...?! Hahahaha Akaaaa wewe poteza tu make it a non issue, akienda kupeleka vitu sawa yaani poteza atachoka kuchunwa tu ipo siku especially kama anahudumia over! Akiona unamaind ndo atazidisha sifa atakwambia wale ni wanangu! Wewe tena mkumbushe baba naniliu mwezi huu ushapeleka matunzo ya mtoto? Hahahahaha akikwambia ndio wewe chuna siku mbili kisha mwambie mwanetu anahitaji baiskeli achezee hapa ujue anakuwa lonelyyyyy....! Hahahaha si anazo bwanaaa acha ahudumie, as long as unapata share ya mwanao mengine potezea sio hela zako! besides mwanaume akitaka kucheat atacheat tu kama sio na baby mama na mwingine, cha msingi wewe do ur part na ishi happily ukifatilia sana watakunyima furaha hao!
 
Hahaha haya mambo ni kuomba tu yasikukute. Hutonunua hata chumvi but mwanae atamtunza tu

Lazima waje watetee ila ingekuwa single mother hapa, tena baba mtoto wako bado yupo hai, kama hujitambui unaweza kumuombea mabaya. Ndo waelewe kuwa ubinafsi si mzuri, single mothers nao wana haki ya kulea watoto wao kwenye ndoa zao kama wenyewe wanavyolea hadi watoto wa kambo wa baby mama zao

Leo nmejionea ubinafsi, ila hii ni fursa gelofriend imagine ukizaa na hawa wanaume wawili afu ukabahatisha na type hii mwingine kila mtu ukamzalia mtoto moja si unaishi miguu juu ha ha ha ha kila baba akileta friji, zinakua tatu ndani kila baba akileta ada.... Kweli mwanamke kuishi kimasikini umetaka lol :behindsofa::behindsofa:
 
Back
Top Bottom