Hivi hali imekuwa ngumu kwangu tu kwenye biashara ama ni pote

Hivi hali imekuwa ngumu kwangu tu kwenye biashara ama ni pote

Hii hali ndiyo safi mafuvu yanafanya kazi binadamu akipata changamoto ndiyo anaamsha ubongo yaani huzitumia kumbukumbu alizo zihifadhi kutatua matatizo na kuona vizuri huko mbele, japokuwa binadamu huyohuyo ni mvivu wa kufikiri akisha tatua tatizo matako hulia mbwata, yaani hana mundelezo kumbe akili zile tunazoziitumia tukipata tatizo tungelizitumia kila siku tungelikuwa mbali sana
Ni kwel usemayo kaka 😂
 
Gharama za maisha zimepanda sana ila hakuna namna lazima yaendelee.
Noma sana boss,,yaani nimepiga mahesabu najikuta kwa mwezi matumizi yangu.

Bando = 50k kwa mwezi
Kodi = 100k kwa mwezi
Umeme= 5k kwa mwezi
Maji bure
Chakula= 200 -300 k kwa mwezi
Nauli = 150k-200k kwa mwezi hapa nimejumlisha daladala na boda boda kwenda na kurudi kazi na mishe zangu zingine.
Matumizi ya Home kwa mama = 13k per day
Matumizi madogo madogo ya binafsi =50-100k kwa mwezi.

Tangu August ianze nimechukua hatua ya kupunguza bando na chakula now nagusa mlo mmoja tu kwa siku 4 na miwili kwa siku 3. Pia nafanya utaratibu kupunguza nauli nafikiria sana ninunue pikipiki itasave pakubwa sana.

Najibana kupita maelezo.
 
Noma sana boss,,yaani nimepiga mahesabu najikuta kwa mwezi matumizi yangu.

Bando = 50k kwa mwezi
Kodi = 100k kwa mwezi
Umeme= 5k kwa mwezi
Maji bure
Chakula= 200 -300 k kwa mwezi
Nauli = 150k-200k kwa mwezi hapa nimejumlisha daladala na boda boda kwenda na kurudi kazi na mishe zangu zingine.
Matumizi ya Home kwa mama = 13k per day
Matumizi madogo madogo ya binafsi =50-100k kwa mwezi.

Tangu August ianze nimechukua hatua ya kupunguza bando na chakula now nagusa mlo mmoja tu kwa siku 4 na miwili kwa siku 3. Pia nafanya utaratibu kupunguza nauli nafikiria sana ninunue pikipiki itasave pakubwa sana.

Najibana kupita maelezo.
Nunua usafiri kuepuka hizo gharama, ubaya wa maisha kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio gharama zinazidi badala ya kupungua. Na hapo usiombe uugue au uuguze muda mrefu.
 
Nunua usafiri kuepuka hizo gharama, ubaya wa maisha kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio gharama zinazidi badala ya kupungua. Na hapo usiombe uugue au uuguze muda mrefu.
Yaani hatari sana...juzi kati kuna jamaa aliniachia boda yake alisafiri niliweka mafuta ya elfu 5 siku 3 nilifanya mishe hapo ndo nikaona itarahisisha sana mambo yangu.
 
Akaunti za serikali zilikuwa bado zimefungwa baada ya bajeti kuu kwahyo pesa za miradi ilikuwa haijaanza kushuka kwenye halmashauri kwahyo ata wakandarasi na wazabuni walikuwa hawajalipwa.
 
Yaani hatari sana...juzi kati kuna jamaa aliniachia boda yake alisafiri niliweka mafuta ya elfu 5 siku 3 nilifanya mishe hapo ndo nikaona itarahisisha sana mambo yangu.
Hapo bora utafute tu yakwako ila uwe makini sana barabarani.
 
Noma sana boss,,yaani nimepiga mahesabu najikuta kwa mwezi matumizi yangu.

Bando = 50k kwa mwezi
Kodi = 100k kwa mwezi
Umeme= 5k kwa mwezi
Maji bure
Chakula= 200 -300 k kwa mwezi
Nauli = 150k-200k kwa mwezi hapa nimejumlisha daladala na boda boda kwenda na kurudi kazi na mishe zangu zingine.
Matumizi ya Home kwa mama = 13k per day
Matumizi madogo madogo ya binafsi =50-100k kwa mwezi.

Tangu August ianze nimechukua hatua ya kupunguza bando na chakula now nagusa mlo mmoja tu kwa siku 4 na miwili kwa siku 3. Pia nafanya utaratibu kupunguza nauli nafikiria sana ninunue pikipiki itasave pakubwa sana.

Najibana kupita maelezo.
Chakula range yake ni kubwa, 200k to 300k ni range kubwa inatakiwa ujue ni 250k to 300k au iwe fixed. Hakikisha una friji hapo unanunua mboga za pamoja za wiki nzima unaweka. Unga, mchele, vitunguu, mafuta unanunua hata vya wiki tatu au nne.

Umeme wako unalipa kidogo.

Nauli za bodaboda zinaongeza bajeti ya usafiri. Ama ishi karibu na kazini, ama nunua pikipiki ila isiwe zile jamii ya kufanyia bodaboda.
 
Hivi Wadau haka kaupepo kwenye biashara ni mimi tu ama na kwa Wengine, Hali imekuwa ngumu sana wateja hawaonekani.

Mwezi huu tangu uanze hali imekuwa tofauti sana kupita Maelezo, wateja wanaulizia tu hawanunui,
Share na mimi mawazo yako.
Inanyesha kote Kaka
Lakini hakuna namna lazima kupambana kutafuta mlango mwingine wa kutokea
 
Chakula range yake ni kubwa, 200k to 300k ni range kubwa inatakiwa ujue ni 250k to 300k au iwe fixed. Hakikisha una friji hapo unanunua mboga za pamoja za wiki nzima unaweka. Unga, mchele, vitunguu, mafuta unanunua hata vya wiki tatu au nne.

Umeme wako unalipa kidogo.

Nauli za bodaboda zinaongeza bajeti ya usafiri. Ama ishi karibu na kazini, ama nunua pikipiki ila isiwe zile jamii ya kufanyia bodaboda.
Mkuu nashukuru kwa mchango wako.

Kuhusu chakula ilikua hivi kabla sijafanya hayo maamuzi ya kupunguza milo.
Asubuhi chai - 2k
Mchana - 3k
Jioni -5k
Jioni hutumia pesa nyingi kwasababu nitapika hivyo hununua samaki wabichi ndo napendelea. Kwa sasa nimepunguza bajeti ya kula kwa 40% na nategemea itashuka zaidi mpaka nitakapooa.

Kuhusu pikipi nako bei ndo changamoto maana jana ninesikia fununu zishafika 5M though sijajua zile boda boda au zile za kisasa.
 
Una pesa bado unateseka inakutumikisha mahali pa kuwekeza, bado ukishawekeza ufikilie inakuletea vipi faida😀😀😀
Nicheki whatsup 0746 785704. Nikukutanishe na watu wanaojaa kuku Kwa mrija wanasafiri kokote watakapo watu wanaojula milonmitatu nchintatu Tofauti na kulala wanalala nchi ya nne
 
Back
Top Bottom