MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Mkuu kibaha kwa mtaji wa 1.5 million biashara gani naweza kufanya?Unauza vitu gani na unapatikana wapi, nafanya biashara ya hardware pia, nipo kibaha pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kibaha kwa mtaji wa 1.5 million biashara gani naweza kufanya?Unauza vitu gani na unapatikana wapi, nafanya biashara ya hardware pia, nipo kibaha pwani
Inategemea na biashara unayofanya na eneo ulipo
Kwnz km ndiyo unaiona leo pole umechelewa kuja kundini cha zaidi saiz we karibu si tushazoea.Hivi Wadau haka kaupepo kwenye biashara ni mimi tu ama na kwa Wengine, Hali imekuwa ngumu sana wateja hawaonekani.
Mwezi huu tangu uanze hali imekuwa tofauti sana kupita Maelezo, wateja wanaulizia tu hawanunui,
Share na mimi mawazo yako.
Salasala nina hardware na kiwanda cha tofaliNi kweli, mkuu wewe upo wapi na unafanya nini?
Na hii kiuchumi ni failure , nchi ambayo big spender na driver WA uchumi ni serikali ,hiyo nchi ni taifa mfu .Akaunti za serikali zilikuwa bado zimefungwa baada ya bajeti kuu kwahyo pesa za miradi ilikuwa haijaanza kushuka kwenye halmashauri kwahyo ata wakandarasi na wazabuni walikuwa hawajalipwa.
Mkuu Kiranga au ndio mwanzo wa dhiki kuu yenyewe nini ?Mpaka bilionea wa dunia Warren Buffet kauza hisa zake, masoko ya hisa ya dunia yameanguka kuanzia Japan mpaka Marekani.
Salasala nina hardware na kiwanda cha tofali
kuna serikali inayoinua mtu mmoja mmoja naomba msaada wako kuniorodhosheaHiyo inaitwa mjasiriamali na yanayomzunguka, (the entrepreneur and his her environment, mimi kuna andiko naandika linahusu yasiyotarajiwa, (uncertainty),, hili linasababishwa na jamii kunyamaza yaani kutokuhoji kwa fikra chanya. Fikiria kuhusu jamii ambayo hupokea chochote kile hata kama hakina tija kwao, jamii inatumia jicho lisilo ona hayo yanayo itwa mazingira wezeshi lakini hayawezeshi, kwakifupi tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kutokuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji utaambiwa kama umekua uondoke, mfano hai kuna watu walihoji kuhusu tozo waliambia waende burundi majibu kama hayo haya yanasaidia kufikiri nje ya sabduku . Swali fikirishi je serikali za kiafrika zina mpango wowote wa kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja. Ushauri kwasasa pambambana na hali yako hadi hapo jamii mafuvu yao yatakapoanza kufanya kazi kwa fikra chanya kwasasa jamii
Una leseni ya kudrive gari kama Canter au FAW?Naomba kazi hapo kwenye kiwanda cha tofali
Soma na kuelewa, nimeuliza je serikali zetu za kiafrika zimejipango, kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja,(National economy and social development strategies of prevailing governments)kuna serikali inayoinua mtu mmoja mmoja naomba msaada wako kuniorodhoshea
Una leseni ya kudrive gari kama Canter au FAW?
Imebaki hiyo mkuu, njoo pmShukrani sana mkuu ila hapo kwenye udereva sina leseni. Hakuna nyingine kazi nyingine tofauti na hiyo?