Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna kaukweli vile.
Kuna jamaa uwa nampelekea vitu vya hard ware.juzi nampelekea ana niambia hela hana nije kesho.
Dah nilishangaa sana.
Sijawahi kupeleka kitu akaniambia hela hana
Una vyanzo vingapi vya mapato?
Kama una chanzo kimoja, hata kama serikali ika-print noti mpya, bado utazikosa tu.
Wanasema mwaka mpya wa fedha serikaliMkuu haka kaupepo kalianza toka kati kati ya mwezi wa saba. Mzunguko wa hela umekuwa mdogo sana.
Hata ukitoa 100 kwenye elfu 10 inausga?😀😀😀😀😀😀Hivi ni mimi tu au hadi nyie? Nikichenchi elfu 10 inaisha yote hata nikitoa Tsh 100
Nashtuka tu haipo ishaisha, salama yake ni kutokuichenchi.Hata ukitoa 100 kwenye elfu 10 inausga?😀😀😀😀😀😀
Marejesho siyo poa hata kidogo, na hasa kwenye kipindi hiki chenye mzunguko mdogo wa hela mtaani.Kama kuna kaukweli vile.
Kuna jamaa uwa nampelekea vitu vya hard ware.juzi nampelekea ana niambia hela hana nije kesho.
Dah nilishangaa sana.
Sijawahi kupeleka kitu akaniambia hela hana
Ni kweliWaajiriwa wa serekali na graduate mnajikutaga wajuaji.
Unauza vitu gani na unapatikana wapi, nafanya biashara ya hardware pia, nipo kibaha pwaniKama kuna kaukweli vile.
Kuna jamaa uwa nampelekea vitu vya hard ware.juzi nampelekea ana niambia hela hana nije kesho.
Dah nilishangaa sana.
Sijawahi kupeleka kitu akaniambia hela hana
Sio vya halali mkuu .vya magumashi si unajua mjini.Unauza vitu gani na unapatikana wapi, nafanya biashara ya hardware pia, nipo kibaha pwani
😊😊Et wanashindaa njaa.kuangalia mwez uliopita chakula kilikuwa kinatoka?Ni hatarii mpka ninaeuza chakula hariii mbaya mno mpka najiuliza watu wanashinda na njaaa au vp maana sielewiii wiki sasa mchele hautembei