GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments ) hivi humo wanategemea Kupangisha Binadamu au labda wataweka tu pengine ' Mifugo ' yao kama Kuku, Bata, Mbuzi na pengine hata Ng'ombe?
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Apartments nyingi zinapangishwa na watu wa nje, wafanyakazi wa balozi, wafanyakazi (leaders) wa makampuni makubwa na wahindi.Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments ) hivi humo wanategemea Kupangisha Binadamu au labda wataweka tu pengine ' Mifugo ' yao kama Kuku, Bata, Mbuzi na pengine hata Ng'ombe?
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Ukifuatilia kwa kina utagundua kuwa biashara zimedoda, watu hawana pa kuwekeza, maana ukiweka bank unaweza jikuta zimebebwa bila maelezo kwa kisingizio cha kujipatia fedha kwa njia isiyohalali au wakasema unatakayisha fedha, sehemu sahihk na salama akbayo matajiri wengi wanaona bora wahifadhi pesa zao no kwenye majengo, wakiizika pesa hapo itakuwa salama kuliko benki, fuatilia utaona ni matajiri wengi wanajenga nyumba sasa, si kwamba wanapenda ila ni mbinu mpya ya kuhifadhi pesa.
Kuna shida sana mkuu kipindi hiki, kuna watu wanamaumivu sana sema wanaogopa hata kusema tu, wengi sana pesa zao wamezishikilia bila sababu.Kuna Mzee mmoja ametokewa na hiki hiki ulichokisema hapa, sasa ni mwaka wa pili huu tayari jina lake la Ubatizo wa Kudumu la ' Marehemu ' linaanza Kuzoeleka.
wateja wapo kaka.. nilienda sehemu tabata kumsindikiza ndugu yangu.. apartment kodi laki 5 kwa mwezi... na tukaambiwa tumechelewa zimejaaa
Fedha inashuka thamani, Biashara hazifanyiki... Purchasing power imeshuka..Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments ) hivi humo wanategemea Kupangisha Binadamu au labda wataweka tu pengine ' Mifugo ' yao kama Kuku, Bata, Mbuzi na pengine hata Ng'ombe?
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Sasa Paso ni gari ya kuiongelea mbele ya wanaume hadharani?Kuna rafiki yangu kaajiriwa mwaka huu mwanzoni juzi amenunua Passo nikampigia kumpa hongera nikamwambia "Kaka naona mambo siyo magumu kabisa" akajibu "Nasikia sikia tu watu wanadai maisha magumu ila mi siamini" alinifurahisha sana.
Long term investment. The Rich makes money when the economy is on the up AND when the economy is on the nosedive!Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments ) hivi humo wanategemea Kupangisha Binadamu au labda wataweka tu pengine ' Mifugo ' yao kama Kuku, Bata, Mbuzi na pengine hata Ng'ombe?
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.