GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Katika Watanzania 500 badi 457 wanalia hali mbaya ya Uchumi a.k.a Vyuma Vimekaza halafu hapo hapo tena kuwa Watu wanathubutu kabisa Kujenga Maghorofa makubwa makubwa ya Kupangisha ( Apartments ) hivi humo wanategemea Kupangisha Binadamu au labda wataweka tu pengine ' Mifugo ' yao kama Kuku, Bata, Mbuzi na pengine hata Ng'ombe?
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.