Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Usiwazungumzie wanawake masna hao huko bongo muvi ni sehemu ya kuuzia sura ili biashara zao za kudanga zipae, tofauti yao na wanaokaa kilo ili kupata wateja ni location tu ya kufanyia huo uchafu. Haya ni bongo muvi yupi wa kiume unayeweza kumtolea mfano kuwa anamaisha mazuri?Lakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
Nimeacha baada ya kuona uongo mwingikwahiyo umeacha kuangalia hiyo movie ya kibongo baada ya ambulance kumfikisha majeruhi hospitali
Inabidi tuwachangie ili waweze kuigiza vizuriKama bajeti ndogo wasiigize kabisa kuliko kuigiza vitu visivoeleweka
Wachange na familia zaoInabidi tuwachangie ili waweze kuigiza vizuri
Nilijua wamejirekebisha kumbe hamna kitu bado ujinga ujinga tuKwanza unapata wapi ujasiri wa kutazama bongo movie?
Movie ili iwe nzuri, wekeza kama 200milioniWachange na familia zao
Kwa uigizaji gani? Waende kwanza shule za kuigiza. Hawa ata wakipewa pesa zote za duniani bado wataigiza ujingaMovie ili iwe nzuri, wekeza kama 200milioni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna movie ya Yesu ilitafsiriwa kwa kiswahili na yesu akasema tena Yesu wangu[emoji3][emoji3] hii comment nilisomaga humu JF sjawai sahau
HahahaKuna movie ya Yesu ilitafsiriwa kwa kiswahili na yesu akasema tena Yesu wangu[emoji3][emoji3] hii comment nilisomaga humu JF sjawai sahau
Ogopa sana mbongo muvi akianza kukumbuka maisha ya zamani.Bongo movie part 1: Matangazo dk 10 Kutembea dk 20, kulia dk 15, kukumbuka tukio la zamani dk 30, watch out part 2.
Mbona Hollywood wanacheza muvi mtu anapaa? Ngoma droo tuLeo nikasema ngoja niangalie vya nyumbani nimefungua YouTube. Nikawa naangalia tamthilia moja ya bongo muvi, asa kuna sehem mama mjamzito amepigwa risasi basi watu waliomzunguuka wakaita ambulance. "hallo ambulance kuna ajali hapa" na yule ambulance akajibu "sawa nakuja" π
Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea π€¦ββοΈ
Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi
Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.
Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.
Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje π