Hivi hawa Bongo Movie wanatuonaje?

Hivi hawa Bongo Movie wanatuonaje?

Lakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
Usiwazungumzie wanawake masna hao huko bongo muvi ni sehemu ya kuuzia sura ili biashara zao za kudanga zipae, tofauti yao na wanaokaa kilo ili kupata wateja ni location tu ya kufanyia huo uchafu. Haya ni bongo muvi yupi wa kiume unayeweza kumtolea mfano kuwa anamaisha mazuri?
 
Marehemu alizikwa na sanda. Akafufuka na jezi ya yanga.
 
Shida hapa ni elimu ,waigizaji wengi na madirectors shule hakuna .

Yaan gari linaingia getin muda unaotumika km dakika tano [emoji23][emoji23] yaan utumbo kabisa .
Pia kila movie kuonyesha makalio makubwa sijui ndio kuwatangazia biashara ya madanga.

Kuna series moja ya kibongo inaitwa Siri ya mtungi .yumo Duma mule ndani ,ile series sijawahi ichoka hata Sasa nataman kuitazama ,ile series imebeba uhalisia wa nini waigizaji wa bongo wanapaswa kufanya sio kila movie wao wnaawaza waonyeshe magorofa ya posta na magari makali .
 
Kuna movie ya Yesu ilitafsiriwa kwa kiswahili na yesu akasema tena Yesu wangu[emoji3][emoji3] hii comment nilisomaga humu JF sjawai sahau
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tatizo lilianzia kwako unayeangalia, don't take it serious 🤣🤣....ukichukulia serious kila kitu utaona hawapo serious
 
Bongo movie part 1: Matangazo dk 10 Kutembea dk 20, kulia dk 15, kukumbuka tukio la zamani dk 30, watch out part 2.
 
Bongo movie wanakosa vitu vitatu muhimu:
  • Script writers
  • Directors
  • Bajeti.

Hao hawapo, waliopo Ni kanya boya tu.
 
Leo nikasema ngoja niangalie vya nyumbani nimefungua YouTube. Nikawa naangalia tamthilia moja ya bongo muvi, asa kuna sehem mama mjamzito amepigwa risasi basi watu waliomzunguuka wakaita ambulance. "hallo ambulance kuna ajali hapa" na yule ambulance akajibu "sawa nakuja" 😂

Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea 🤦‍♀️

Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi

Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.

Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.

Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje 👀
Mbona Hollywood wanacheza muvi mtu anapaa? Ngoma droo tu
 
Back
Top Bottom