Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo dakika saba si walikua wanacheza wote?Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
Jkt walikua pungufu hlf baada ya plan ya red card kudunda ndio ikaja plan ya kuongeza dk 7,poor mikiaHizo dakika saba si walikua wanacheza wote?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mchochanganyaga yanga ni kuwa hamjuagi kama mpira ni dakika 90Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
jkt walikuwa pungufu hizo dakika 7 ziliongezwa kuwatafutia simba goli na zikapitiliza mpaka dakika 9Hizo dk zilizoongezwa JKT haiwahusu?simba pekee walikuwa uwanjani ?je kwenye hizo dk JKT wangefunga goli mgelalamika?
Vyura Nye wa ajabu jana Azam wamenyimwa goli la wazi lile la ngoma halafu Leo mnaleta midomo.
Tulieni sindano iwaingie vizuri.
Yule refa ndo refa bora kwa misimu miwili iliyopita
jkt walikuwa pungufu ziliongezwa kuwatafutia simba ushindiHizo Dakika 7 Refa alizoongeza ilikuwa kwa Simba pekee yake?
Angalia video hiyo Uone goli limefungwa dk ya Ngapi!!Pole sana unateseka sanazimeongezwa dakika saba halafu goli limefungwa dakika ya 98, hawa marefa wanaibeba simba wazi kabisa
Kama zilivyoongezwa mlipocheza na Lipuli mkashindwa kusawazisha??kwanini mlishindwa kusawazisha ila sisi tuliweza kupata LA ushindi??Hapo ndipo ilipo tofauti yetu na nyinyijkt walikuwa pungufu ziliongezwa kuwatafutia simba ushindi
Inakuuma sana nichomoe?????zimeongezwa dakika saba halafu goli limefungwa dakika ya 98, hawa marefa wanaibeba simba wazi kabisa
Mkuu soka ni mchezo mpana sana nafikiri ungeanza kufanya utaratibu wa kuanza kufuatilia golfDah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'