Hivi hawa marefa wa kibongo huwa mna watoa kijiji gani?

Hivi hawa marefa wa kibongo huwa mna watoa kijiji gani?

View attachment 1084985
Aliyewaita vyura mbute mbute gongo wazi hakukosea. Akili zenu ziko makalioni kama chura ya snura
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
Siku yanga anafungwa na Lipuli ziliongezwa hizo hizo dk 7 mbona hamkulalamika?? Malipo hapa hapa duniani mbinguni tunaweka sahihi tu
 
Angeshinda jkt mngewapongeza marefa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo mana @hajimanara kawakumbusha Mbona nyie mliongezewa dakika 7 na lipuli iringa [emoji1787][emoji1787]
 
We eti refa anaitwa Kambuzi unategemea ataitwa na Caf huyu kuchezesha Afcon?
 
Hizo dk zilizoongezwa JKT haiwahusu?simba pekee walikuwa uwanjani ?je kwenye hizo dk JKT wangefunga goli mgelalamika?
Vyura Nye wa ajabu jana Azam wamenyimwa goli la wazi lile la ngoma halafu Leo mnaleta midomo.

Tulieni sindano iwaingie vizuri.
Yule refa ndo refa bora kwa misimu miwili iliyopita
Ile game ya VYURA na AZAM kuna penalty Azam walinyimwa! Refa katoa advantage ndani ya 18! Shabash! Hakuna advantage ndani ya 18 unless mpira umeingia nyavuni!
 
Kuna watu wanateseka sana humu haswa Vyura
IMG-20190501-WA0050.jpg
 
Back
Top Bottom